TPDF malizieni kazi, M23 wamejikusanya karibu na nyumbani kwao Kanyabayonga na wapo Kama wote!

TPDF malizieni kazi, M23 wamejikusanya karibu na nyumbani kwao Kanyabayonga na wapo Kama wote!

Ndio mimi nikawa nasema hapa,hawa uasi unakomaa kwasababu wakishaona wanashindwa wanaandika barua ya mazungumzo.
Hata mwaka jana waliandika barua ya kuachia maeneo yote waliyoteka baada ya jeshi la Congo kuzidisha kipigo,jeshi la Congo lilipowasikiliza tu na kuwapa muda wakawa wamekosa maana M23 walijipanga upya.
Hawa UNAMID wanatakiwa waondoke kama Felix alivyosema.
Wanalindwa na UN na mataifa makubwa,bila hivyo kuikamata kigali hata siku 3 aichukui,congo army wana mig 23 na su-25 kuna mdau huko juu kachekesha anadai 2012 south africa ilipeleka helicopter ndio zilisaidia kuwakimbiza m23,congo wamezuiliwa kutumia jet fighter zao kwenye hii vita
 
Hao tpdf kiboko yao ni Alshabab wa Somalia.
Leo kijana wa TPDF umwambie umepangiwa mission somalia atalia mpaka kamasi limtoke.
Sipondei jeshi letu lakini ukweli ni kwamba jwtz bado sana
Alshabab anawasumbua KDF sio TPDF. Nikupe techinique tunayoitumia TPDF ni kusafisha kwanza wahamiaji haramu afu full scale war inaanza. Kwa nchi kama KENYA lazima ALSHABAB wawasumbue mfano nenda pwani ya kenya wasomali ni wengi mnoo sasa hapo utapambana nao vipi wakati ni GHOST MILLITANTS
 
Hao tpdf kiboko yao ni Alshabab wa Somalia.
Leo kijana wa TPDF umwambie umepangiwa mission somalia atalia mpaka kamasi limtoke.
Sipondei jeshi letu lakini ukweli ni kwamba jwtz bado sana
Jesh letu ipo imara al shabab awapgan ww ukienda kwao mnapshana wao wanakuja kuuwa kijj sasa nyie mtabaki tu uko awana mda nanyie
 
Vita ya somalia ni tofauti na vita ya congo..

Magaidi siku zote hawaenda frontline.. Ukiwa somalia unaweza kupishana na ustazi kavaa kilemba fresh anatoka 5 star hotel subiri dk 2 uskilizie mlipo wake humo ndani.. Wale wanavaa fresh ila mwilini wamevaa mikanda ya mabomo..

Somalia wanapigana vita ya jihadi so ni ngumu sana kuwashinda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jesh letu ipo imara al shabab awapgan ww ukienda kwao mnapshana wao wanakuja kuuwa kijj sasa nyie mtabaki tu uko awana mda nanyie
Alshabab vita vyao n ambushi, wale wanapigana ili wafe siyo kuwashinda

Wanajeshi wa marekan walikuwa kule walikuwa wanaondoka mmoja mmoja hadi wakaisha wote..

Kenya yupo somalia kulinda maslai yake Tanzania hatuna intarest na somalia
 
Hao tpdf kiboko yao ni Alshabab wa Somalia.
Leo kijana wa TPDF umwambie umepangiwa mission somalia atalia mpaka kamasi limtoke.
Sipondei jeshi letu lakini ukweli ni kwamba jwtz bado sana
Kuna mengi huyajui mkuu, ni vyema kukaa kimya kuliko kuongelea fani usiyokuwa na uelewa nayo.
 
Wanalindwa na UN na mataifa makubwa,bila hivyo kuikamata kigali hata siku 3 aichukui,congo army wana mig 23 na su-25 kuna mdau huko juu kachekesha anadai 2012 south africa ilipeleka helicopter ndio zilisaidia kuwakimbiza m23,congo wamezuiliwa kutumia jet fighter zao kwenye hii vita
Umenipa jambo jipya. Nachukua hii
 
Jana nilikuwa naangalia kwenye TV moja ikieleza jinsi RAIA MUTOMBOKI wanavyotoa Dozi kali kwa Wahutu wa FLDR wanasema wanataka Wahutu hao waondoke Kongo na warudi kwao Rwanda.

Mimi nikawa najisemea Moyoni kuwa Karibuni AMANI ya kudumu itapatikana Mashariki mwa DRC.
Alshabaab ni wagumu wale ,na vita yao ni unconventional warfare , kushinda vita vya itikadi za kidini ni ngumu sana .
Watu wameweka imani yao na itikadi zao kwenye mioyo , ni ngumu kutoboa hapo .
Jeshi imara kama la Ethiopia liliingia hapo Somalia na kutembeza mkong'oto ila baadaye yakawashinda wakaondoka ,kaja KDF na UDF mpaka sasa wote wanafamba tu
 
Back
Top Bottom