Ngoja kwanza tuwajambishe kidogo ili pawepo na heshima. Tukiwaambia TZ namba 27 wawe wanatikisa vichwa tu bila hata kubweka chochote.Usipoteze nae muda ni mjinga. JWTZ opetates the most deadliest MRLS in the world, world class. A-100, A-200 A-300. The latest Chinese MRLS ukiyaweka Arusha or Moshi hakuna wakukaa Nairobi.
Mimi nimesema General sio major general, colonel, brigedia, Jw ni jeshi la wananchi wa Tanzania, JKT ni Jeshi la Kujenga Tanganyika, kuitwa Jeshi la Kujenga Taifa ni jina tu la kisiasaThe largest army in terms of numbers ni Tanzania. Coz za kawaida ndani ya JWTZ ni miaja hiyo tembelea monduli ukaone.
Alipigani tu na isr
Eeeh! Mwamunyange alikua JKT? Dah! Yaani nina miaka mingi sana sijapata kukaa karibu na wajinga. Hivi wajua nini ni JKT? Na pia humjui Mwamunyange. Eti Generals hawapigani vita? We unakichaa? Gen James Aloyce Mwakibolwa juzi tu katoka vitani na kushinda vita na kupandishwa kua Mej Gen. Generals wanaenda vitani, na wanakua frontline if necessary. Wao ndio watoa muongozo na maplanners mpuuzi wewe. kuanzia cheo cha Mej Gen ni kiongozi wa brigades, ambazo huitwa Division, Brig Gen ni kiongozi wa brigade, Col ni kiongozi wa battalion lieutenant ni kiongozi wa platoon, na lieutenant ni lazima awe kijana si juu ya miaka 35. Wewe ni mjinga kupindukia pia hujui chochote, mbulula
Wewe mjinga sana JKT ni division ya JWTZ.Mimi nimesema General sio major general, colonel, brigedia, Jw ni jeshi la wananchi wa Tanzania, JKT ni Jeshi la Kujenga Tanganyika, kuitwa Jeshi la Kujenga Taifa ni jina tu la kisiasa
Misri ndio wenye jeshi kubwa Africa, hebu anagalia kwenye hizo Wikipedia zako unazoziamin watakuambia, Misri usishindanishe na Tanzania hatuwawezi kila idara kwa sabab wamestaarabika mapema. Nchi zilizostaarabika Africa ni Zanzibar, Misri na South AfricaMsamehe huyo Hajielewi
Mshamba wewe soma hapaMimi nimesema General sio major general, colonel, brigedia, Jw ni jeshi la wananchi wa Tanzania, JKT ni Jeshi la Kujenga Tanganyika, kuitwa Jeshi la Kujenga Taifa ni jina tu la kisiasa
Ndo maana hata kijana limejitegemea, jeshi la Kujenga Taifa, kwanini wasiweke moja kwa moja TanzaniaWewe mjinga sana JKT ni division ya JWTZ.
Hizo ni siasa zenu watanganyika, Lakin sisi hatulielewi, ndo maana kwenye wizara mkapandishia, wizara ya ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa, bwana mwenye akili nyingi au huoni Kuna kitu apo kwanini isiitwe wizara Ya ulinzi mpaka wapandishie na jkt, karibu yote yataishaMshamba wewe soma hapa
http://www.jkt.go.tz/home/jistoria-ya-jkt.html
Ndo yale yale limeanzishwa kwa ajili Ya Tanganyika sio TanzaniaMshamba wewe soma hapa
http://www.jkt.go.tz/home/jistoria-ya-jkt.html
Amani inaletwa na Jeshi ,ndio maana likaitwa Jeshi la Wananchi.Amani inaletwa na raia sio jeshi,
Umeona hizi hapa. M-17 Serries yote toka Russia inahamia TZJeshi ki ajitajitahidikkn jaman tuachane na hiz ndege za kichina.
wewe nshakuweka kwa ignore list yangu.....endelea kujibamba
Mchezo umekwisha. Fungeni madomo yenu sasa tuanze kuongea vitu vingine. Don't compare TPDF with your weak army.Hata mimi, naona akifungua kinywa chake ni AIBU TUPU!
Nashangaa kwa nini mnampa muda wenyu humu?
wengine wanatia aibu kwa wanainchi wenzao kwa yale mambo wanaandika humu na mipicha ya zana yenye imeandikwa us army,nyinine ata zinabendera ya nchi ingine but still jamaa anaropoka ata haoni hiyoHata mimi, naona akifungua kinywa chake ni AIBU TUPU!
Nashangaa kwa nini mnampa muda wenyu humu?