TPDF ranks position 27 in the World!

Hahahahaha!!! Kakangu isinichekeshe, yaani hivi WanaTPDF bado ndio hawa wanatumia UZI bunduki ambazo hasa hutumiwa na vikosi vidogovidogo vya waasi?????? Doh!! Kheri KDF
Bunduki hii ya UZI haina shabaha, hutoa Risasi nyingi bila kujali shabaha!!! Hiyo huwezi kupeleka kwa vita siku hizi utapigwa!!!
 
Bunduki hii ya UZI haina shabaha, hutoa Risasi nyingi bila kujali shabaha!!! Hiyo huwezi kupeleka kwa vita siku hizi utapigwa!!!
We kweli pomole hujui Tanzania special force walitumia IWI Galil MAR Carbine, Meprolight sights kutoa kichapo kwa m23,2013( at that time ilikuwa nchi pekee Africa inayomilikyi silaha hiyo hatari)mpaka military specialist walishangaa if there is country in Africa use it, so kujua aina gani ya bunduki tunazotumia you have no choice but to wait another mission by the best army in Africa an 27 around the world "TPDF" najua inakukera but that is the reality.
 

Hiyo ndo Bunduki KDF wanatumia, M4A1 watch in the videos i posted. But that is not for the Elite, It is now becoming for general use by the GSU. Sasa wewe hapa unatupa picha hizo wasema ni za kitambo, kwani hamna picha za juzi? Askari wenu hasa hutembea na nini? Rungu??
 
Sasa kilichofanya wastegate wapige loot for 4days ni nn?
Poor training indeed..!you better compare ur army with Rwanda b'cos you have no match to Uganda since they took ur migingo due to ur weakest army in the region.
Gun is not wallet kwamba kila unapomuona mjeda awenayo mkononi b'cos we have peace and live as one family..! Owkey kikuyun
 
Bunduki hii ya UZI haina shabaha, hutoa Risasi nyingi bila kujali shabaha!!! Hiyo huwezi kupeleka kwa vita siku hizi utapigwa!!!
Ndg Edward Wanjara. hii bunduki ya UZI umeifahamu wapi hadi useme haina shabaha? Acha kujidanganya kupitia game za computer kama project IGI. Na ndio shida ya wachambuzi wengi wa maswala ya kijeshi. Watu wakitazama movie au kucheza game ya mission yoyote na wao wanajiona wanajua maswala ya kijeshi.
 
Tuache utani, wajeda wetu hawa wapasua matofari kwa kichwa leo ndo wapo nafasi ya 27 kwa ubora duniani???
 
Tuache utani, wajeda wetu hawa wapasua matofari kwa kichwa leo ndo wapo nafasi ya 27 kwa ubora duniani???
wewe unachojua kuhusu jwtz in kupasua tofali kwa kichwa basi, kweli kuna watu na viatu, pole lkn fatilia mambo one day u will know the truth!
 
Jeshi letu bado liko chini sana, hatuna military power kabisa, tunaweza kabiliana na vibaka wa hapa na pale, baadhi ya terrorists, pirates, ila hakuna manpower wala technology power ya kutamba hata kidogo, sanasana tutatishana na baadhi ya nchi za Africa na chache za Asia, hadi ifike siku tunatengeneza silaha zetu wenyewe naongelea advanced military equipments, kuanzia vitu kama rocket launchers kwenda hadi kwenye heavy bombs, defence machines za nguvu, unmanned aircrafts na marine vehicles. Tusitambe hata kidogo.. Nipo mstari wa mbele kusaidia jeshi, hata nikiingia kufanya research ya kutengeneza silaha barida tu. Hawa ndio watu wanaosimama between hii amani ndogo iliyopo sasa hivi na total annihilation ya makundi ya kigaidi yanayoexpand kila kona, they deserve our respects.
 
Leo hii, madude mengine mapya ya polisi yameanza kuingia Kenya. Haya yanakusudiwa kubadilisha magari wanayotumia polisi nchini Kenya. Hili moja hapa linasafirishwa barabara ya Mombasa kuelekea Nairobi
 
Yaaa ni kweli, lkn ni jambo lisilo patana na akili kuwa DRC au Nigeria au Kenya kuwa juu ya Tanzania.

Yaani Congo kashindwa kuwaondoa M 23 baada ya TPDF kutia pua nchi ipo salama halafu wakae juu yetu ?.UPDF tumewafunza kila kitu sisi wenyewe halafu wakae juu yetu ??????.
 


Umeanza vizuri umemaliza vibaya.Kenya ina 1st generation fighterjet
 
Umeanza vizuri umemaliza vibaya.Kenya ina 1st generation fighterjet
Sawa wewe Jibambe


- Terrorism & War Updates
Published On: Wed, Aug 10th, 2016

Fighter Jets Pound On Al-Shabaab Bases In Militant-held Jilib Town, Militant Causalities Reported
A Makeshift Al-Shabaab Camp Destroyed by KDF Fighter Jets in Gedo Region, Somalia






Kenya Fighter Jets Over Kismayu Somalia




UGANDA PEKEE ITAWA HANDLE JWTZ vilovyo

 
Anabonyezabonyeza Buttons tu [emoji95] [emoji95] [emoji95]
 
There are several factors that are taken into consideration while ranking of world militaries and sadly how well trained an army is its not one of them. So hawa madwanzi since waliwachapa ma rebels wa congo sasa wanajiona wanaeza letea kila mtu ubavu let them try watachekea chooni. Finally huyu general wao ni pimbi sana, how did he even arrive at number 27???
[HASHTAG]#someonetellTanzanians[/HASHTAG] kwa jeshi hakunaga viduku.
 
Yaani Congo kashindwa kuwaondoa M 23 baada ya TPDF kutia pua nchi ipo salama halafu wakae juu yetu ?.UPDF tumewafunza kila kitu sisi wenyewe halafu wakae juu yetu ??????.
Hawa watoto hawajui mambo ya jeshi thus why wanaongea utumbo tu, ukweli jwtz walikuwa hawatoi ishu zao kwenye social media iliyopelekea baadhi ya watanzania kutojua mziki wa hawa jamaa.
You must know the best way to win war is to make your enemy undermined you.
Wahenga walisema "Always the actions talks than words"
So Kenyans it does not matter either you agree or not, Tpdf is the best army in Africa and 27 position around the word.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…