TPDF ranks position 27 in the World!

TPDF ranks position 27 in the World!

Ndo hivi askari wa Kenya sahi wanatumia BMW for escort

1479213917000.jpg
jeshi la wazee tz na polisi wanatumia hizii..
 
Kwa lipi la maana?
Wameshindwa kusaidia maafa tu! Wamezawadiwa hiyo rank. Amini usiamini.
We ondoa ujinga wako ulitaka jeshi lizuie tetemeko au huoni serikali inavyoendelea kutoa misaada, rudi shule don't talk nonsense here.
 
We ondoa ujinga wako ulitaka jeshi lizuie tetemeko au huoni serikali inavyoendelea kutoa misaada, rudi shule don't talk nonsense here.

Ukweli umekuuma eeehh?
Kwa hiyo kwa kuwa serikali haikuleta tetemeko jeshi kusaidia ilikuwa noma?
Unajua imechukua mwezi mmoja kabla ya msaada wa kwanza kutoka?
Usichangie usichokijua.
 
Ukweli umekuuma eeehh?
Kwa hiyo kwa kuwa serikali haikuleta tetemeko jeshi kusaidia ilikuwa noma?
Unajua imechukua mwezi mmoja kabla ya msaada wa kwanza kutoka?
Usichangie usichokijua.
We kijana usitumie makalio kufikir,
Kwan jeshi linaongozwa na nani?
Jeshi linatumika pale linapohitajika na amri toka kwa serikali, alafu naona unachanganya mada, huu uzi unahusiana na ubora wa majeshi duniani, sasa we kwa akili yako unafikiri wanapanga kutokana na jeshi limesaidia vp kwenye majanga, wanaangalia uwezo kivifaa, nidhamu, intelligence, quality of training combatants, successfully military operations e.t.c
So usilete uharo wako hapa.!!
 
Nani alikuambia tunapigania kisiwa hicho?? Na uzuri gani wa kukipigania?? wakenya sio watu wakukurupuka hivihivi
ww bwana mdogo ninavyoelewa jeshi lipo tayari kwa lolote kulinda ardhi ya nchi,but it's better msikurupuke maana m7 atajipa sifa za kijnga baada ya kuwakanyakaga.
 
Back
Top Bottom