Umesahau zile za westgate na el adde.hahaaaaaaa mdebwedoss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau zile za westgate na el adde.hahaaaaaaa mdebwedoss
Ndo hivi askari wa Kenya sahi wanatumia BMW for escort
Tuseme hawa ni wanaolinda kaka zangu huko Bongo?View attachment 434738sijataja mtu [emoji23] [emoji23]
Ndo haoTuseme hawa ni wanaolinda kaka zangu huko Bongo?
Nchi ipo swalamaa huko nyie wanakesha lakini bado mnajambishwa hovyo, kdf wachovu sanaa!!!View attachment 434738sijataja mtu [emoji23] [emoji23]
Yeah yeah i've that a thousand times from u guysNchi ipo swalamaa huko nyie wanakesha lakini bado mnajambishwa hovyo, kdf wachovu sanaa!!!
Hahahaa.!! Ni maneno ya ushindani but we still one family under EAC thus why we depend and help to each other in different issues.Yeah yeah i've that a thousand times from u guys
We ondoa ujinga wako ulitaka jeshi lizuie tetemeko au huoni serikali inavyoendelea kutoa misaada, rudi shule don't talk nonsense here.Kwa lipi la maana?
Wameshindwa kusaidia maafa tu! Wamezawadiwa hiyo rank. Amini usiamini.
We ondoa ujinga wako ulitaka jeshi lizuie tetemeko au huoni serikali inavyoendelea kutoa misaada, rudi shule don't talk nonsense here.
We kijana usitumie makalio kufikir,Ukweli umekuuma eeehh?
Kwa hiyo kwa kuwa serikali haikuleta tetemeko jeshi kusaidia ilikuwa noma?
Unajua imechukua mwezi mmoja kabla ya msaada wa kwanza kutoka?
Usichangie usichokijua.
kisiwa cha migingo mmeshachukua au mnaogopa kipigo, nyie bado vibonde.
Nani alikuambia tunapigania kisiwa hicho?? Na uzuri gani wa kukipigania?? wakenya sio watu wakukurupuka hivihivikisiwa cha migingo mmeshachukua au mnaogopa kipigo, nyie bado vibonde.
ww bwana mdogo ninavyoelewa jeshi lipo tayari kwa lolote kulinda ardhi ya nchi,but it's better msikurupuke maana m7 atajipa sifa za kijnga baada ya kuwakanyakaga.Nani alikuambia tunapigania kisiwa hicho?? Na uzuri gani wa kukipigania?? wakenya sio watu wakukurupuka hivihivi