TPDF ranks position 27 in the World!

Rudi kwenye mada toa ushuzi wako hapa.
 
Rudi kwenye mada toa ushuzi wako hapa.
y

Usitishie watu nyau wewe Anael kichwa wazi! wewe ndie ulihama mada, mara unajua kwanini jw ilianzishwa, mara kwani jw ndio ilileta tetemeko halafu unatukana mwenzio kumbe wewe mwenyewe kichwa wazi hujui lolote! Nimeandika hivyo to shake you back to your senses, usihemuke hovyohovyo, fungua ubongo kabla hujafungua domo lako na kukimbilia kwenye keyboard kutishia wenzio! Bs
 
Wewe dogo toa upunga wako hapa. JWTZ ni namba 27 duniani wewe unasemaje?
 
Wewe dogo toa upunga wako hapa. JWTZ ni namba 27 duniani wewe unasemaje?

Hizo ni takwimu za kayumba skuli, hakunaga hiyo kitu, rudi kafanye utafiti
 
Basi endelea kuuza vocha za voda au tigo.

Annael Kichwa wazi, Kwa kukusaidia tu tembelea site hii ujifunze sio kuropokaropoka kwenye jamvi: www.globalfirepower.com "Countries ranked by military strength 2016", kwa taarifa yako Tanzania ni ya 96, nchi ya 27 ni Spain.
Kuna vigezo zaidi ya 50
 
Labda 27 kwa kupasua matofali
Kenya namba moja kwa unyooone na wizi duniani. Jeshi la kenya wamelegea kama mrenda ndio maana wanashangaa kuona wanaume wakipasua tofari.
Hebu muone askari huyu wa kenya kapigwa fimbo moja tu mkono ukapukutika. Mwanajeshi gani lege lege hivyo kama mrenda!!!?
 
Annael Kichwa wazi, Kwa kukusaidia tu tembelea site hii ujifunze sio kuropokaropoka kwenye jamvi: www.globalfirepower.com "Countries ranked by military strength 2016", kwa taarifa yako Tanzania ni ya 96, nchi ya 27 ni Spain.
Kuna vigezo zaidi ya 50
Vigezo vipi hivyo si uvitaje!!? Mbona kama hujiamini vile!!!?
 
Vigezo vipi hivyo si uvitaje!!? Mbona kama hujiamini vile!!!?

Tembelea hiyo site ujionee, usije kusema nimebuni maana inaonyesha wewe ni Zero kabisa, kama huna bundle nipe namba ni kutigo-pesa, maana na huu ukata hamkawii kupiga mizinga!
 
Sikubaliani na Vigezo vilivyotumika, nchi yetu ni kubwa na ina mipaka nane na bahari ya Hindi.
Kimantiki Amani ya nchi yetu na wingi wa mipaka ni kielelezo cha kutosha kusema Jeshi letu inafanya kazi kubwa kiasi ya kuwa juu katika ranks za ubora wa majeshi ya Dunia tofauti ilivyo sasa.
Anyway kwa sababu wakubwa wamesema Jeshi letu liko chini katika ranks za majeshi, kiuhalisia hali hiyo itumike kulihimalisha jeshi letu na tusiwape updates zozote juu ya uimara wa Jeshi letu.
 
Tembelea hiyo site ujionee, usije kusema nimebuni maana inaonyesha wewe ni Zero kabisa, kama huna bundle nipe namba ni kutigo-pesa, maana na huu ukata hamkawii kupiga mizinga!
Wewe ni mtanzania au wa kuja?
 
Wewe ni mtanzania au wa kuja?

Kweli wewe ni Ana kichwa wazi! Kwani hiyo ndio mada? Ghafla umekuwa uhamiaji! Nilijua kwamba wewe ni mweupe kabisa hautakawia kulia meee! Zama hizi za TEHAMA data ziko kiganjani huwezi mdanganya mtu!
 
Kweli wewe ni Ana kichwa wazi! Kwani hiyo ndio mada? Ghafla umekuwa uhamiaji! Nilijua kwamba wewe ni mweupe kabisa hautakawia kulia meee! Zama hizi za TEHAMA data ziko kiganjani huwezi mdanganya mtu!
Nimekuuliza swali unaleta porojo. Jibu swali nililokuuliza. data ziko kiganjani nani anaziweka? Mbona unakuwa mshamba kiasi hicho?
Unadhani kama TPDF haitaki kutoa hizo data watazipata wapi?
Usiwe kichwa panzi basi wewe. TPDF ndio wanaotoa data na ndio hao wamekueleza ni namba 27. Sasa wewe unakuja na porojo hapa kuweka bra bra bra. Hebu waulize hao wamepata wapi hizo info?
 
Shu


Shule ndogo, kichwa kidogo na akili ndogo sana, kaa ulivyo usinipotezee muda! Bs
 
Shu



Shule ndogo, kichwa kidogo na akili ndogo sana, kaa ulivyo usinipotezee muda! Bs
Basi kojoa ukalale au endelea kuuza vocha za voda na tigo.
 
Kwani nyinyi mipoenda somalia mlipatana na al shabbab wasitumie baadhi ya mbinu hivi unajua vita kweli wewe acheni upumbavu piganeni atutaki kulialia hiyo ni haki yao kupigana wanavyoweza
 
Kwani nyinyi mipoenda somalia mlipatana na al shabbab wasitumie baadhi ya mbinu hivi unajua vita kweli wewe acheni upumbavu piganeni atutaki kulialia hiyo ni haki yao kupigana wanavyoweza
haki....kueka maisha ya civilians at risk ndio haki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…