TPDF ranks position 27 in the World!

TPDF ranks position 27 in the World!

wengine wanatia aibu kwa wanainchi wenzao kwa yale mambo wanaandika humu na mipicha ya zana yenye imeandikwa us army,nyinine ata zinabendera ya nchi ingine but still jamaa anaropoka ata haoni hiyo
Kwakwakwakwakwa wewe tulia unyolewe. Naona mmeanza kuufyata. Hapo nakuonesha tu aina ya vifaa tulivyo navyo. Sisi hatupendi show off kama zenu za kipuuzi huku mkiteketea kama kuku huko somalia.

Nimekupatia Source hapa jaribu kujisomea ujue sisi hatutanii tunafanya kabisa.
Tanzania Bids for Russian Military Supplies
Defence Ministers of Russia and Tanzania concluded an agreement on cooperation : Ministry of Defence of the Russian Federation

Soma hapo kisha uje na upuuzi wako tena. Naona ninakukera sana baada ya kukuumbua
 
Hivi mbona hamuna heshima na jeshi lenu la JWTZ kwa kuwaanika kwenye aibu kama hii.
Kaka watanzania ndio tulivyo..sijui tuliumbwaje...hawawezi kuAppreciate hata kitu kidogo kwny nchi yao simply bcoz of politics..ndo maana KENYA mtazidi kutushinda tu..
 
Kwakwakwakwakwa wewe tulia unyolewe. Naona mmeanza kuufyata. Hapo nakuonesha tu aina ya vifaa tulivyo navyo. Sisi hatupendi show off kama zenu za kipuuzi huku mkiteketea kama kuku huko somalia.

Nimekupatia Source hapa jaribu kujisomea ujue sisi hatutanii tunafanya kabisa.
Tanzania Bids for Russian Military Supplies
Defence Ministers of Russia and Tanzania concluded an agreement on cooperation : Ministry of Defence of the Russian Federation

Soma hapo kisha uje na upuuzi wako tena. Naona ninakukera sana baada ya kukuumbua
hujaniudhi ndugu...nakuonea huruma na nina uhakika kuna watz wenzako wanakuonea aibu kwa hivi vituko ulivyonavyo
 
hujaniudhi ndugu...nakuonea huruma na nina uhakika kuna watz wenzako wanakuonea aibu kwa hivi vituko ulivyonavyo
Kwikwikwi wewe leta taarifa hapa kama unataka kuniumbua au kama unataka kuonesha uwezo wa KDF hapa. Hapa ni free discussion, unachokifanya hapa ni kujihami. Soma hapa tena
Tanzania acquires new amphibious tanks, rockets and other weapons from China | defenceWeb
Hii taarifa ya 2014 uje na taarifa za maana.

Halafu ndani ya maelezo hayo kunasehemu imeandikwa
Tanzania is believed to be the first operator of the Type 07PA 120 mm morta
 
hujaniudhi ndugu...nakuonea huruma na nina uhakika kuna watz wenzako wanakuonea aibu kwa hivi vituko ulivyonavyo
Halafu soma kwenye comment SA wanavyoogopa kwamba tunaweza kuwavamia na kuwakamua. Kwikwikwikwi TZ ni level nyingine rafiki.
 
Mchezo umekwisha. Fungeni madomo yenu sasa tuanze kuongea vitu vingine. Don't compare TPDF with your weak army.
TPDF is another level.
Umethibitisha kama Misri Wana jeshi wengi kushinda sisi kwa kutumia hizo Wikipedia zako?
Misri another level ndugu hata mmarekani anamkubali mmisri kwa ajili ya protection kwa waisraeli
 
Umethibitisha kama Misri Wana jeshi wengi kushinda sisi kwa kutumia hizo Wikipedia zako?
Misri another level ndugu hata mmarekani anamkubali mmisri kwa ajili ya protection kwa waisraeli
Tanzania amphibious tanks
Soma hapa:

China Defense Blog: Photos of the day: China Marine in Tanzania

Amp.jpg
 
Sasa tafuta na dhana za Misri kama hutolia na upumbavu wako
Toa ushuzi wako hapa. Pumbavu nini. Unakuja kuleta matusi hapa acha usengerema. Mimi sio mla urojo kama wewe sawa.
Mimi sio mteja wako sawa. Nenda yapo madangulo utapata wateja. Mwanaume unakuwa kama mwanamke!!? Wewe sio ridhiki.
 
Toa ushuzi wako hapa. Pumbavu nini. Unakuja kuleta matusi hapa acha usengerema. Mimi sio mla urojo kama wewe sawa.
Mimi sio mteja wako sawa. Nenda yapo madangulo utapata wateja. Mwanaume unakuwa kama mwanamke!!? Wewe sio ridhiki.
Ndo mana Tananganyika mnatung'ang'ania ili tukushughulikieni, maana mabaradhuli mko wengi, kwa bahati mbaya sisi hatuli watu kama nyinyi tunakula waarabu, wazungu,
 
Ndo mana Tananganyika mnatung'ang'ania ili tukushughulikieni, maana mabaradhuli mko wengi, kwa bahati mbaya sisi hatuli watu kama nyinyi tunakula waarabu, wazungu,
Bahati nzuri asilimi 80 ya wakazi ya Zanzibar wametoka bara. Wewe wala sio mzanzibar bali wewe ni mkenya unajifanya mzenji.
 
Hujui chochote kuhusu vita. Kua na ndege kali inadepend unadili na nani. Videge vya south africa mainly ni Eupen, saab, Sweden. Injini moja na haviwezi dog fight. Hivi vijidege na vingine will be rendered useless kama vikiingia kwenye territory ya adui aliyewekeza vilivyo kwenya Surface-to-Air defence kama ilivyo Tanzania. Pia ujue tu, Tanzania is the only country in Africa with capacity to mobilize millions of solders, all well trained, within a short period of time. Tanzania has the highly trained troops that have for over 45yrs engaged in and won numerous of wars and covert operations.
You are just good at running your mouth...Wapi mimi nimebishana kuhusu hayo unayoongeaa?
 
Bahati nzuri asilimi 80 ya wakazi ya Zanzibar wametoka bara. Wewe wala sio mzanzibar bali wewe ni mkenya unajifanya mzenji.
Wametoka bara tangu miaka hio, hakuna mzanzibar wa sasa utakae mwambia kwamba kwao bara, na iwapo kwamba asilimia 80% Wametoka bara, mbona wazanzibar wanataka kujitenga na bara, na nipe namba zako za simu tuongee ili nikuthibitishie mie wa wapi, tatizo sisi na nyinyi jinsi tunavyoongea tu inaonesha kwamba ni tofauti ila mambo tu
 
Wametoka bara tangu miaka hio, hakuna mzanzibar wa sasa utakae mwambia kwamba kwao bara, na iwapo kwamba asilimia 80% Wametoka bara, mbona wazanzibar wanataka kujitenga na bara, na nipe namba zako za simu tuongee ili nikuthibitishie mie wa wapi, tatizo sisi na nyinyi jinsi tunavyoongea tu inaonesha kwamba ni tofauti ila mambo tu
Rudi kwenye mada sasa mtoto wa mama.
 
Back
Top Bottom