joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #41
Wewe ndio choko, kati ya mtoni na baharini wapi maji yanapita kwa kasi?, wapi MAJI ni machafu, wapi ndani kuna matakataka na mawe mengi?, ninyi hamna kitu mnaweza, kila kitu lazima mtatoa sababu, yaani ninyi in hovyo sana.Mtu anayelinganisha ugumu wa kuopoa gari kutoka mtoni na baharini ana matatizo ya akili. Bahari ni ligi nyingine tofauti.
Kushughulika na kuokoa, walikuwepo siku ya tatu ndio waliofanikisha kuupata mwili wa dereva. Hawahusiki na kutoa magari kwasababu hiyo ni ajira ya makampuni ya kibinafsi, Serikali haipaswi kugombana na kampuni binafsi kwasababu zinalipa kodi.Hivi "jeshi" la zimamoto na uokozi wajibu wao ni nini hasa kwenye majanga kama haya?
Mabeyo big up generalTeam kutoka JWTZ imefika Wami ikiwa na Gari mbili za uokoaji na imefanikiwa kulichomoa Lori hilo leo, awali kabla ya Jeshi kuingilia kati waokoaji wa kwanza walishindwa kutokana na madai ya uwepo wa kina kirefu, kasi ya maji, maji machafu nk, hadi kufanya Mwajuma akate tamaa na kurudi DSM.
MY TAKE; Tanzania hoyeeeeeee
Una force ujinga ili na nyie muonekane mnaweza..Msikilize huyo mwenye Private Company abazungumzia kina cha MAJI na kasi ya MAJI pamoja na matatizo yaliyowafanya kushindwa kulitoa. Kasi ya maji ni kubwa kiasi cha kusomba Engine ya Scania tani 30.
Kale kagari kalikozama pale likoni uzito wake haifiki hata 200kg, lakini hakakusombwa na maji, hiyo in dalili kwamba maji ya likoni hayatembei yametulia
Mtashindwaje kutoa gari mtoni bana, mwezi unaisha..Unaonekana una pepo we inabidi nikusaidie tu kukutoa weka namba yako ya cm hapa
Kenya Jeshi lenu la majini halijawahi kununua vifaa vipya, yote hayo yameshatumika yamepakwa Rangi upya, Kenya mpo na meli moja kubwa, MV jasiri ambayo ni used mlinunua toka Spain, imezeeka sana INA ina zaidi ya miaka 25.
Tanzania tulinunua meli kubwa 2 za kisasa na mpya toka China 2012 ndio hizo hapo katika picha, vifaa vyote hapo in vipya tulivimlnunua 2013, Kenya hamna Amphibious tanks hata moja,
YUN CHUN CLASS tunazo mbili, ni meli kubwa sana kuliko hiyo yenu MV- Jasiri, zote ni mpya zimetengenezwa 2012.Meli za vita tunazo kadhaa ilhali nyie hata moja hamna, hamjafikia hadhi ya kuitwa navy, mnayo tu aina ya kuvua samaki.
Hajarudi kukujibu!YUN CHUN CLASS tunazo mbili, ni meli kubwa sana kuliko hiyo yenu MV- Jasiri, zote ni mpya zimetengenezwa 2012.
Urefu. 17.1M
Displacement 63tonnes
Weka size ya MV- jasiri tulinganishe. Kwanza ni chakavu haina mitambo ya kisasa, ni ndogo na ni hiyo moja pekee.
Tunazo meli mbili saizi ya kati, Nazi zipo mbili zenye kubeba vifaru(amphibious tanks), Kenya hamna hizo wala hata amphibious tanks hamjawahi ziona.
Navy ya Tanzania huwezi linganisha na Kenya
Kweli huyo mote napomkimbiza anakua arudi ajibu wengine ndio kawaida yakeHajarudi kukujibu!
Huyo mjinga yeye ni kupotosha pamoja na uwongo ndio anachojua,
Kwenye hoja huwa harudi na akirudi anabadilisha mada.
Atarudi na swaga za nchi yenu kubwa ina ardhi yenye rutuba, madini na amani tele lakini masikini, havihusiani kabisa na mada husika.Hajarudi kukujibu!
Huyo mjinga yeye ni kupotosha pamoja na uwongo ndio anachojua,
Kwenye hoja huwa harudi na akirudi anabadilisha mada.
HahahahaAtarudi na swaga za nchi yenu kubwa ina ardhi yenye rutuba, madini na amani tele lakini masikini, havihusiani kabisa na mada husika.