Stephen M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 371
- 379
Ratiba imewasaidia Azam maana wametoka kucheza juzi wana uchovu tungewafunga vizuriHivi kwanini machi ya kumalizia Ligi kati ya Azam na Yanga imerukwa.
Na watakutana lini ?
Lengo langu ni kuuona huu mpambano ambao nadhani utakuwa mzuri.
Maana kwakweli sasa hivi Yanga wanaupiga mpira mwingi sana na Azam pia.
Ni hamu ya kuwaona wakikipiga pale kwa Mchina.
Sisi Simba tuko kimataifa kwanza.
Tunakuombeni nyote mtuombee tufike fainali na kunyakua Kombe la Club Bingwa wa Africa.
Kwa faida yetu na yenu na taifa kwa ujumla.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app