TPL: kutoka uwanja wa Taifa Yanga SC vs Mwadui FC

Kiwango kipo chini sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakipo chini kihivyo.
Ukiangalia ligi za Ghana, Zambia, etc.. level ni moja tu. tatizo letu watanzania hatujali ligi zetu, tungezijali ingekuwa poa sana.
Sasa angalia timu kama Simba. Kuna uwezekano, mwaka kesho wasicheze ligi yeyote ya kimataifa. Investment kubwa, lakini ideas ndogo.
Utakuja kuniambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…