Kwa logic ndogo haya maneno yalifaa endapo simba wangekuwa wanaongoza ligi na yanga akiwa ameshinda FA ndipo mgekuwa mnatoa maneno kama haya, mda huu timu zote zingekaa kimya maana ziko nyuma ya yanga pamoja na upana waoKwa Yanga hi usitegemee akiwa bingwa afanya lolote Africa kwa kikosi hiki
Massive investment inahitajika kupambana kule
Usitegemee kutembeza bakuli litasaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app