TPL: Simba SC vs Stand United - October, 21.

TPL: Simba SC vs Stand United - October, 21.

Simba klabu kubwa inastahili watu wa Hadhi ya juu kama huyu Tripple C mwamba wa Lusaka.
Nadhani falsafa ya mwekezaji mkuu wa Simba SC ni kuiona timu ikiwa katika nafasi ya ushindani uwanjani kama zilivyo Clubs za Afrika Kaskazini, Afrika Magharibi na baadhi ya Clubs za Afrika ya Kati

Miongoni mwa hatua alizochukua kufanikisha hilo ni kuhakikisha Simba inapata wachezaji wenye kaliba ya Chama na wenzake

Kwenye CAF Campions League msimu huu, Simba inaweza kufika mbali
 
Simba klabu kubwa inastahili watu wa Hadhi ya juu kama huyu Tripple C mwamba wa Lusaka.
Nadhani falsafa ya mwekezaji mkuu wa Simba SC ni kuiona timu ikiwa katika nafasi ya ushindani uwanjani kama zilivyo Clubs za Afrika Kaskazini, Afrika Magharibi na baadhi ya Clubs za Afrika ya Kati

Miongoni mwa hatua alizochukua kufanikisha hilo ni kuhakikisha Simba inapata wachezaji wenye kaliba ya Chama na wenzake

Kwenye CAF Campions League msimu huu, Simba inaweza kufika mbali
 
Leo hawajacheza wale tuliowazoea lakini still mpira umepigwa mwingi sanaaa.Na hii ndio tafsiri ya kikosi Kipana. Lazima tutafika mbali.
Nadhani falsafa ya mwekezaji mkuu wa Simba SC ni kuiona timu ikiwa katika nafasi ya ushindani uwanjani kama zilivyo Clubs za Afrika Kaskazini, Afrika Magharibi na baadhi ya Clubs za Afrika ya Kati

Miongoni mwa hatua alizochukua kufanikisha hilo ni kuhakikisha Simba inapata wachezaji wenye kaliba ya Chama na wenzake

Kwenye CAF Campions League msimu huu, Simba inaweza kufika mbali
 
Nadhani falsafa ya mwekezaji mkuu wa Simba SC ni kuiona timu ikiwa katika nafasi ya ushindani uwanjani kama zilivyo Clubs za Afrika Kaskazini, Afrika Magharibi na baadhi ya Clubs za Afrika ya Kati

Miongoni mwa hatua alizochukua kufanikisha hilo ni kuhakikisha Simba inapata wachezaji wenye kaliba ya Chama na wenzake

Kwenye CAF Campions League msimu huu, Simba inaweza kufika mbali
Timu bovu hilo kwa CAF Championship... hawawezi kuwafunga timu tatu kubwa za Misri..Enyimba,Tp Mazembe,LIBORO,Timu kubwa za South Africa..huwezi kukosa magoli kiasi kile alafu ukapambane na miamba ya soka
 
Timu bovu hilo kwa CAF Championship... hawawezi kuwafunga timu tatu kubwa za Misri..Enyimba,Tp Mazembe,LIBORO,Timu kubwa za South Africa..huwezi kukosa magoli kiasi kile alafu ukapambane na miamba ya soka
Simba SC ina..
1. Juuko ambae alimdhibiti vilivyo mchezaji bora wa ligi ya Ubeligiji Samatta
2. MK14 ambae beki bora wa ligi ya Uingereza, Erick Bailly anaijua shughuli yake
3. Tanzania 1, Aishi Manila
4. Chama, ambae anamkalisha benchi mchezaji bora wa TP Mazembe, Kalaba katika timu ya Taifa
5. Wawa.. Beki bora kuwahi kushuhudiwa katika timu ya Taifa ya Ivory Coast.
6. Kiungo bora kwa sasa nchini, Jonas Mkude
7. n.k

Sasa hao wachezaji wa hizo timu wanatoka mbinguni?? Na michuano ya sisi mabingwa ianze.
 
Simba SC ina..
1. Juuko ambae alimdhibiti vilivyo mchezaji bora wa ligi ya Ubeligiji Samatta
2. MK14 ambae beki bora wa ligi ya Uingereza, Erick Bailly anaijua shughuli yake
3. Tanzania 1, Aishi Manila
4. Chama, ambae anamkalisha benchi mchezaji bora wa TP Mazembe, Kalaba katika timu ya Taifa
5. Wawa.. Beki bora kuwahi kushuhudiwa katika timu ya Taifa ya Ivory Coast.
6. Kiungo bora kwa sasa nchini, Jonas Mkude
7. n.k

Sasa hao wachezaji wa hizo timu wanatoka mbinguni?? Na michuano ya sisi mabingwa ianze.
Mo salah anamwogopa Julko kuliko anavyomwogopa Sergio ramos
 
Simba SC ina..
1. Juuko ambae alimdhibiti vilivyo mchezaji bora wa ligi ya Ubeligiji Samatta
2. MK14 ambae beki bora wa ligi ya Uingereza, Erick Bailly anaijua shughuli yake
3. Tanzania 1, Aishi Manila
4. Chama, ambae anamkalisha benchi mchezaji bora wa TP Mazembe, Kalaba katika timu ya Taifa
5. Wawa.. Beki bora kuwahi kushuhudiwa katika timu ya Taifa ya Ivory Coast.
6. Kiungo bora kwa sasa nchini, Jonas Mkude
7. n.k

Sasa hao wachezaji wa hizo timu wanatoka mbinguni?? Na michuano ya sisi mabingwa ianze.
unakumbuka Egypt walichukua AFCON back to back..bila ya kuwa na wachezaji wa Ulaya...kuna wachezaji wengine wanacheza Ulaya zari tu..mechi na Yanga shots on target 14 hawafungi..
Simba SC ina..
1. Juuko ambae alimdhibiti vilivyo mchezaji bora wa ligi ya Ubeligiji Samatta
2. MK14 ambae beki bora wa ligi ya Uingereza, Erick Bailly anaijua shughuli yake
3. Tanzania 1, Aishi Manila
4. Chama, ambae anamkalisha benchi mchezaji bora wa TP Mazembe, Kalaba katika timu ya Taifa
5. Wawa.. Beki bora kuwahi kushuhudiwa katika timu ya Taifa ya Ivory Coast.
6. Kiungo bora kwa sasa nchini, Jonas Mkude
7. n.k

Sasa hao wachezaji wa hizo timu wanatoka mbinguni?? Na michuano ya sisi mabingwa ianze.
Kalaba ameisha toka wachukue AFCON miaka 6 imepita hata Mazembe hapati namba..
Simba SC ina..
1. Juuko ambae alimdhibiti vilivyo mchezaji bora wa ligi ya Ubeligiji Samatta
2. MK14 ambae beki bora wa ligi ya Uingereza, Erick Bailly anaijua shughuli yake
3. Tanzania 1, Aishi Manila
4. Chama, ambae anamkalisha benchi mchezaji bora wa TP Mazembe, Kalaba katika timu ya Taifa
5. Wawa.. Beki bora kuwahi kushuhudiwa katika timu ya Taifa ya Ivory Coast.
6. Kiungo bora kwa sasa nchini, Jonas Mkude
7. n.k

Sasa hao wachezaji wa hizo timu wanatoka mbinguni?? Na michuano ya sisi mabingwa ianze.
Hujui wachezaji wanaocheza Ulaya hawapendi kuja kucheza huku ila sheria zinawabana...alafu naona hao wachezaji uliowataja hawakucheza Mwanza na Mbao,Ntwara na Ndanda na Taifa na Yanga..mechi tatu dk 270 wanashindwa kufunga goli...
 
Back
Top Bottom