TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Hivi nyie Simba vp
mnaniamsha kwenye kiti mara 10
Narudi kukaa bila mafanikio
kha
 
Hivi nyie Simba vp
mnaniamsha kwenye kiti mara 10
Narudi kukaa bila mafanikio
kha
wanakurudisha jkt enzi za kuambiwa chini juu chiniii juuuu ganda hapo hapo
 
Kwaakweeeliiii nipo hoiiii hawa yanga niwatakie tu kila la kheri sifa kuu zimfikie beno kakolanya vinginevyo [emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26]
 
Mama.e Yanga hamna timu, attack moja second half tunawatia ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…