TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)



Labda nikusaidie tu.

Seasonal Plan yetu kwa msimu 2018/19 ni kutopoteza mchezo hata mmoja.


Nadhani hapo umeelewa?
Iyo plan ulikaa na nani, huu mpira na sio biashara za sokoni
 
Simba hawana game plan.

Wakimpata kocha kama Zahera wanaweza kutwaa Ubigwa wa CAF.

Ila yule shahidi wa Yehova sijui wamemtoa wapi kwa kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wana bunduki lakini wanashindwa kuzitumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…