TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Kupaki basi sio sababu ya kutofungwa, Yanga walifanya makosa mengi kwenye defence ila Simba hawakuwa clinical enough.
Hahahaaa. Wakikujib nitag.

Wanakaa kusingizia eti tumepaki Basi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jana ndio nilijua kwanini Ajib alikuwa anawekwa bench akiwa Simba.
 
Ndio hapo sasa wanabaki ooh uchawi ooh tumetoa hongo sasa na umasikini huu tulionao hongo tunaitoa wapi sieee.

Wajitazame upya kwa kweli la sivyo watatafutana msimu huu.
Na bundi ndo kashatua Simba tusubiri timbwili la uchaguzi,mwaka huu wasipomaliza wa Saba kwenye ligi sijui itakuaje,naiona nafasi ya Saba ileeeee inawanyemelea Simba
 
Jana ndio nilijua kwanini Ajib alikuwa anawekwa bench akiwa Simba.
Hahahaaaa. Na baada ya kutoa ule mpira nje ndio akawapagawisha hatari.

Mbinu tu ile na pia alijua Mikia wengi wenu mnaamini shirk hivyo akajua mngeamini tu hiyo kitu. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Itaendelea vipi haliyakuwa mpira haijui halafu yanashangilia kutoa suluhu na timu bora kabisa ya SIMBA
Naomba nikusalimie kwanza Mtani. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sipati picha ulivyonuna jana.

Watani zangu kuku mweus na aretasludovick wako wapi jamaani maana sijui wana hali gani huko waliko maana walitamba sana juzi.
 
Mtani mpaka sasa bado sijaamini kilichotokea.
 
Naomba nikusalimie kwanza Mtani. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sipati picha ulivyonuna jana.

Watani zangu kuku mweus na aretasludovick wako wapi jamaani maana sijui wana hali gani huko waliko maana walitamba sana juzi.
Aisee naona mtani unafuraha sana huamini kama timu yako imenusurika na kichapo sipati picha jana ulivyokuwa ukiomba mpira uishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…