Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hawana uwezo huo wa kushinda.Tuna golikipa namba one Tanzania na wachezaji wa kimataifa wanaojua kazi yao,wangeanzaje kutufunga
Ndio hapo sasa wanabaki ooh uchawi ooh tumetoa hongo sasa na umasikini huu tulionao hongo tunaitoa wapi sieee.
Wajitazame upya kwa kweli la sivyo watatafutana msimu huu.