TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Fainali ya ueropa ligi kati ya atletico madrid vs olimpic marseille , mpira ulianzishwa kwa kupiga nje pia na haikuwa gumzo. Kwa Tanzania kwa vile tunaamini katika ushirikina basi imekuwa gumzo na kuonekana jambo la ajabu sana.View attachment 883447
Mkuu m nimeuliza ina maana gani sijazungumzia hzo habari za ushirikina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…