TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Fainali ya ueropa ligi kati ya atletico madrid vs olimpic marseille , mpira ulianzishwa kwa kupiga nje pia na haikuwa gumzo. Kwa Tanzania kwa vile tunaamini katika ushirikina basi imekuwa gumzo na kuonekana jambo la ajabu sana.View attachment 883447
Mkuu m nimeuliza ina maana gani sijazungumzia hzo habari za ushirikina
 
Fainali ya ueropa ligi kati ya atletico madrid vs olimpic marseille , mpira ulianzishwa kwa kupiga nje pia na haikuwa gumzo. Kwa Tanzania kwa vile tunaamini katika ushirikina basi imekuwa gumzo na kuonekana jambo la ajabu sana.View attachment 883447
Tatizo mikia walidanganywa
FB_IMG_15383778237420350.jpeg
View attachment VID-20181002-WA0000.mp4
 
Back
Top Bottom