TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Update ya kuhusu kikosi cha kwanza cha Ndala

Naona Zahera kashinda.. Kindoki anaanza golini leo.

Sasa natamka rasmi.. Ndala anakula si chini ya goli 7.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafasi ya hizi timu katika Msimamo wa TPL
3. Yanga SC - Point 12
5. Simba SC - Point 10

Namuona mnyama mkali mwituni akienda kupindua meza kibabe siku ya leo.
Chelsea Liverpool Droo,Real Madrid na Atletico Droo pia Simba na Yanga Leo droo
 
Naona mmekutana mambumbumbu mnajazana ujinga tu. Time is the best answer, subirini hiyo sa 11. Kambi Morogoro kazi uwanjani hatuna mbwembwe za uturuki wala kufuga mabeberu sisi.

Tambwe akiwakosa leo Ajib hawaachi. Usimsahau Makambo
Simba anakufa.kifo kibaya na ndo mwanzo wa migogoro Simba leo
 
Mnyama ninachojua kapoteza point tano mpaka sasa
 
Kikosi cha Yanga kinachotarajiwa Kuanza

1. Klaus Kidoki
2. Paul Godfrey
3. Gadiel Michael
4. Vicent Andrew 'Dante'
5. Kelvin Yondani (C)
6. Feisal Salum 'Fei toto'
7. Deus Kaseke
8. Papy Tshishimbi
9. Herietier Makambo
10. Ibrahim Ajibu
11. Mrisho Ngasa
 
Uwepo wa Kindoki unatuhakikishia ushindi leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…