TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Kwaakweeeliiii nipo hoiiii hawa yanga niwatakie tu kila la kheri sifa kuu zimfikie beno kakolanya vinginevyo [emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26]
Acha tu na pole kwa upande wa pili kule pia[emoji23] [emoji23]
 
Haa haa Vyura wanautafuta mpira kwa tochi aisee!

Si kwa mipasi ile daaadaadekiiiiii
Mkuu.. Inabidi tufanye mpango tuhame ligi.. Mana hapa Bongo tushakosa mpinzani
 
Back
Top Bottom