TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Halafu yanga kikosi chetu siyo kipana. Inshaallah dirisha dogo nina imani mwalimu atafanya usajili mzuri.
 
Naona timu yetu ya Simba inaendelea kuonesha kuwa ina viungo ambavyo si vitamu kwenye mboga!!

Twende kazi...
 
Yanga wanachachamaa sasa!....nafikiri wakati wa half time wamepewa msosi!
 
Back
Top Bottom