mwangalingimungu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,301
- 733
Bora nikuachie, maana kwa ubishi kama huu unaweza hata kunikatalia kwamba leo si Jumapili.Acha kukurupuka kipindi hicho haikuwa Kombe la Dunia. Ndo maana Yanga walifungiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora nikuachie, maana kwa ubishi kama huu unaweza hata kunikatalia kwamba leo si Jumapili.Acha kukurupuka kipindi hicho haikuwa Kombe la Dunia. Ndo maana Yanga walifungiwa.
Ndio Jukumu lake hilo,mpira ukipita Kwa beki golikipa inabidi adake,ndio maana Timu hata iwe na mabeki wazuri namna gani lazima itafute golikipa mzuri piaSijasema hasidake... hujanielewa tu. ndio maana nikampongeza, ukuta wake ameuzibia makosa yote.
Nielewe!
We ulikuwa unaiona hiyo bahari?Nilikuwa Uwanjani Naangalia
Hujui lolote kuhusu hilo. Safari hii baada ya kujitoa aliamua kukubali hoja ya Yanga.Bora nikuachie, maana kwa ubishi kama huu unaweza hata kunikatalia kwamba leo si Jumapili.
Ndio NilionaWe ulikuwa unaiona hiyo bahari?
Haya bwana Kwa style hii tusitarajie makubwa toka Kwa Kagere maana watakuwa wanawambia mashabiki tumeona bahari na mashabiki wanaaminiHata mimi niliiona
Big up Simba mmecheza soka la kimataifa,yanga miharo imewagonga chupi Leo wakiomba mpira uishe
Simba mmejitahidi kutoa droo hakuna anayebisha hiloBig up Simba mmecheza soka la kimataifa,yanga miharo imewagonga chupi Leo wakiomba mpira uishe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kagera sugar mbambe wenu wa siku zote atawapiga
Kila timu ilikuwa na game plan yake!
Game plan ya Yanga ilizaa haya matokeo.
Kama mganga anasaidia kwa nini ile bilioni mbili yenu mliyotumia kwenye usajiri mngetumia kusajiri mganga awasaidie.?Mara hii tu mganga mmeshamsahau?mpeni pongezi mganga
Hahaha pashachafukaMbuzi marehemu bibi yako,nyinyi ndo mmeanza matusi
Kakolanya katusaidia sana ukweli usemwe tu waziDaa mkuu kweli kabisa sio kwa msako huo yaani ilikuwa saka mke wangu balaaa tupu ,kakolanya katuokoa sana maana leo sijui mashabiki wa yanga tungeongea nin tukaeleweka,mana si kwa msako huo.