TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Sina maneno mengi ila pongezi zangu zote ziende kwa Beno Kakolanya golikipa wa timu ya Yanga ,
Yeye ndio aliyeamua matokea ya sare kwenye derby hii iliyochezwa leo uwanja wa Taifa.

Anastahili kuwa man of the match.


IMG_20180930_202747_278.jpeg
 
Da Ila leo Vyura Mungu anawaona du
kwanini Msifanye hivi kwa tim ya Taifa
 
Back
Top Bottom