Boveta
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,174
- 3,804
Hawawezi kujipiga kanzuTRA watengeneza maduka ya mfano waanze kupractice kulipa Kodi wao wenyewe waone?
Tatizo huko kuna watu ambao hawajawahi hata kuuza genge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawawezi kujipiga kanzuTRA watengeneza maduka ya mfano waanze kupractice kulipa Kodi wao wenyewe waone?
Tatizo huko kuna watu ambao hawajawahi hata kuuza genge
na watu wanaenda kufunga mzigo uganda wanaketa tanzania,mzigo uliopita hapo hapo bandari ya dar.watu wanatoka njombe,mbeya songea wanaenda kufunga mzigo uganda, wanaicha dar ambayo ni karibu zaidi.Kwa Nguo za 40 milion kama utachukua za kiwango sana ni nusu kontena hiyo ndio maana Wafanyabiashara wanachanganya lonya lonya nyingi kwa Suruali Jean hapo ni belo kadhaa tuu daah...ndio maana Uganda na Kenya nguo bei rahisi kuliko Tanzania TRA imefungia fursa kwa Watanzania..
Na watu tunaona na tunatazama tu wakati ustawi wa watu unadidimizwa na mfumo mbaya wa kukukotoa kodina watu wanaenda kufunga mzigo uganda wanaketa tanzania,mzigo uliopita hapo hapo bandari ya dar.watu wanatoka njombe,mbeya songea wanaenda kufunga mzigo uganda, wanaicha dar ambayo ni karibu zaidi.
Haki ya shetani ccm ni mafii[emoji90][emoji90][emoji90]Sasa hapo kuna brain gani masta.
Mzigo wa mil 40.. tax 26 M
Bado akiwa dukani alipe VAT, Income tax, SDE, PAYEE etc...
Killing all possibility of making our economy a success
Nchi yetu ina viongozi wakatili sana hilo jambo limeanza miaka nenda rudi eti mashuka na vitu vingine wanafata Nairobi na Uganda wakati sisi tuna eneo la bahari kubwa kuliko Kenya na hao Uganda wanapitisha vitu kwetu...na watu wanaenda kufunga mzigo uganda wanaketa tanzania,mzigo uliopita hapo hapo bandari ya dar.watu wanatoka njombe,mbeya songea wanaenda kufunga mzigo uganda, wanaicha dar ambayo ni karibu zaidi.
90% ya mashuka,makoti,sweta nzito unazozio a mikoa ya njombe na mbeya wanatoa ugandaNchi yetu ina viongozi wakatili sana hilo jambo limeanza miaka nenda rudi eti mashuka na vitu vingine wanafata Nairobi na Uganda wakati sisi tuna eneo la bahari kubwa kuliko Kenya na hao Uganda wanapitisha vitu kwetu...
Daah hatari sana wana kodi kero ambazo haziwafanyi wafanyabiashara kuleta mzigo mwingi Tanzania mimi nipo pia kwenye usafirishaji wa bidhaa kutoka SA yaani magari yanayopakia mizigo ya Zambia na Malawi ni mengi sana kuliko yanayoleta Tanzania,Nchi yetu ina vipengele ambavyo hujawahi kuona Duniani pana muda unaweza kulipia kodi mzigo Zambia maana kodi yao ni kidogo na ukiamua huo mzigo ukulele Tanzania na ulipe kodi tena unapata faida pia ila kodi ya Tanzania ni kubwa saana...na hii huwa inatokea kama unataka kuuza Zambia..kodi ingekua ya kawaida tungeleta sana maana yapo mengi sana hapo Dragon city Jhb...90% ya mashuka,makoti,sweta nzito unazozio a mikoa ya njombe na mbeya wanatoa uganda