Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,348
- 3,038
Straight to the point, mfumo wa taarifa za marejesho (e-filing System) unarudisha nyuma kasi ya maendeleo ya uchumi na kuikosesha serekali mapato kwa wakati.
Mfumo huo umezidiwa nguvu na umekua kero kubwa inayorudisha nyuma maendeleo ya uchumi wa biashara hasa kwa wafanyabiashara wadogo
Inamlazimu mtu kuacha shughuli zote kwa siku kadhaa kwa ajili ya kufaili return moja ambayo ilapaswa kufanywa kwa dakika 5, kwa sababu mfumo umekuwa sio rafiki na hauna nguvu ya kupokea marejesho kwa wakati
Lakini pia mfumo huo umekua sababu ya dhuluma kwa wafanyabiashara Kwa sababu ya adhabu ya ucheleweshaji wa marejesho licha ya kuwa makosa ni ya mfumo wenyewe na mamlaka imeshindwa kuboresha mpaka sasa
TRA chukueni hatua au mturudishe kwe utaratibu wa zamani huu wa sasa unauwa uchumi wa nchi Kwa sababu mambo hayaendi kwa wakati mnatutesa na mnatuonea pia.
Kibaya zaidi kila unapojaribu kuwasilisha tatizo la mfumo kwa maofisa wa TRA unajibiwa jaribu link nyengine katika link tatu zilizopo mwisho wa siku hakuna suluhisho lolote linalopatikana zaidi ya kupoteza muda tu na kupoteza mapato kwa sababu hizo link zote ni yaleyale
Ndg. Kamishna tafadhali chukua hatua mfumo wako unaua uchumi wa nchi.
Wafanyabiashara tupaze sauti tutaishia kuumia bila suluhisho haya ni maumuvu makali tuungane kuliongelea hili vinginevyo itakua mazoea
Mfumo huo umezidiwa nguvu na umekua kero kubwa inayorudisha nyuma maendeleo ya uchumi wa biashara hasa kwa wafanyabiashara wadogo
Inamlazimu mtu kuacha shughuli zote kwa siku kadhaa kwa ajili ya kufaili return moja ambayo ilapaswa kufanywa kwa dakika 5, kwa sababu mfumo umekuwa sio rafiki na hauna nguvu ya kupokea marejesho kwa wakati
Lakini pia mfumo huo umekua sababu ya dhuluma kwa wafanyabiashara Kwa sababu ya adhabu ya ucheleweshaji wa marejesho licha ya kuwa makosa ni ya mfumo wenyewe na mamlaka imeshindwa kuboresha mpaka sasa
TRA chukueni hatua au mturudishe kwe utaratibu wa zamani huu wa sasa unauwa uchumi wa nchi Kwa sababu mambo hayaendi kwa wakati mnatutesa na mnatuonea pia.
Kibaya zaidi kila unapojaribu kuwasilisha tatizo la mfumo kwa maofisa wa TRA unajibiwa jaribu link nyengine katika link tatu zilizopo mwisho wa siku hakuna suluhisho lolote linalopatikana zaidi ya kupoteza muda tu na kupoteza mapato kwa sababu hizo link zote ni yaleyale
Ndg. Kamishna tafadhali chukua hatua mfumo wako unaua uchumi wa nchi.
Wafanyabiashara tupaze sauti tutaishia kuumia bila suluhisho haya ni maumuvu makali tuungane kuliongelea hili vinginevyo itakua mazoea