mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
Kuna malalamiko mengi sana TRA wako mtaani kukamata kamata magari ambayo hayajalipiwa Kodi ya Makadirio na kuna mengine yamelipiwa kodi tayari lakini mnalazimisha liingie YARD halafu mtu akienda kulitoa baada ya kua mmejiridhisha limelipiwa YARD wanadai walipwe 25,000 kwa siku au masaa hayo gari au bajaji iliyokaa.
Sikilizieni kama mmepewa target na boss wenu huko juu mwambieni mnaongoza raia na raia ni watu sio manyani, acheni hizi mambo mnatengeneza hasira kubwa kwa watu na mnakuwa wasumbufu sanaa.
Sikilizieni kama mmepewa target na boss wenu huko juu mwambieni mnaongoza raia na raia ni watu sio manyani, acheni hizi mambo mnatengeneza hasira kubwa kwa watu na mnakuwa wasumbufu sanaa.