DOKEZO TRA fanyeni kazi zenu ipasavyo, Wahindi na Wachina wanalichezea taifa hili

DOKEZO TRA fanyeni kazi zenu ipasavyo, Wahindi na Wachina wanalichezea taifa hili

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

goroko77

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2019
Posts
8,845
Reaction score
13,072
Habari za muda,

Nimeenda Kariakoo kuchukua spare fln ya gari nikafika pale mitaa ya fire nikauliza Bei akasema Bei ya spare hyo Ni 230000 lkn bila risti ataniuzia kwa 180000 mbya Zaid naona wanaongea billa kupepeza macho Wal kuongea kwa chini chini alisema kwa lafudhi ya kihindi " hey rfk hyo nitapatia wee kwa 180000 bila risiti na Kama unataka risiti nitakukatia ya elfu 50 sawaaa alisikika muhindi akiniambia maneno hayo bila kupepeza macho na pale kulikuepo na wateja wengi wamejazana dirishani

Wakt naongea na muhindi nikasika Tena dad ake na huyu muhind akimuambia mteja kifaha unachotaka nitakupa kwa laki tano bila risiti full mbaya Zaid wanaongea kwa saut kubwa sana.

Sas najiuliza mbona tunachezewa hivi na vyombo vipo na mamlaka zipo inamaana hawajuui kinachoendelea kariakoo kweli Kama mmeshindwa kazi kwanini msinipe hyo kazi niweze kuwa identify kila moja na tuwafikishe mahakamani kwa kosa la kuhujumu uchumi.

The same kwa wachina Ni wakwepa Kodi maarufu sna Hapa nnchini na mamlaka zipo na vyomb vipo tutaendelea kuchezewa hadi lini na Hawa wageni?

Imebakia kidg sna nimzabe makofi muhindi yule kwa hasira zangu huku mimi nikilimwa matozo mengi wkt Kuna wapuuzi kadhaa hawalipi Kodi na Wal hawafikishwi mahakamani.

TRA Kama mmeshindwa Kaz bas mtupishe tufanye mmepewa dhamana kusimamia na kukusanya Kodi ila mpo tu mnawaza maposho na Kaz hamafanyi.

Hili taifa ni majanga kwa kweli tunaliwa sna na watu wanaokuja kujifanya wawekezaji.
 
Wewe peke yako ndo umebak na uchungu na Taifa hili
Huenda uko sahihi. Laiti angejua ''huko juu'' wanavyozipiga hizo fedha angeenda kwa hao wahindi awe anawasaidia kabisa kuweka doria ili wasikamatwe na TRA, tena bila malipo. Na mbaya zaidi hata hao wahindi na wachina wakilipa kodi itakiwavyo ''huko juu'' bado hazitapona.
 
Acha lichezewe tu kama pamoja na tozo zote mbali na kodi unazozisemea bado huduma muhimu kwa wanchi wengi hazijafika.

Hata ziliowafikia bado ni mbovu kwa mfano hospitalini hakuna dawa, maji na umeme vinasuasua sana, shule hovyo halafu kuna watu wanakula kwa urefu wa kamba zao hadi wanapata muda wa kucheza sinema
 
Mkuu hauko sawa hata kama serikali ikikusanya hiyo kodi itaishia kughalamia mafuta ya chopa la Nnape kuzunguka nchi nzima kukagua vibao
Kwa hyo mm unanishauri niungane na wahindi kulididimiza Zaid uchumi wa nchii yetu ingawa mm binafs nilikubali anipe kwa Bei punguvu sas ningefanyaje mm
 
Hata ww ukipewa hyo nafasi unaitwa ndani unapewa mlungura na nyuzi yako utakuja kufuta hii.
Hpn mkuu mm siyo muumin San wa Mali nyingi nipate kula na kutibiwa tu na pa kulala pa kawaida Basi mm Niko sawaa
 
TRA waajili watu wa kutosha ili wafanye kazi, siyo kushinda ofisini tuuu wawe watu wa site kila siku.
Kbsaa mkuu ipatikane watu wa kuzurura tu na kufiziaa watu ktk maduka na wawe na pingu kbsa uone Kam tutaibiwaa
 
TRA waajili watu wa kutosha ili wafanye kazi, siyo kushinda ofisini tuuu wawe watu wa site kila siku.
Tatizo sio kuajili watu wa kutosha unaweza kuajiri watu hata dunia nzima nabado watu wakafanya huo ujinga,swala inabidi watu waeleimishwe umuhimu wa kodi katika maisha yao na kwa Nchi na hill linatakiwa liananze na viongozi katika kudhibitu matumizi ya Fedha zinazokusanywa.

Tatizo kubwa ambao wanatakiwa wafanye hivyo ndio wapigaji namba mmoja,nani ataona umuhimu huo wa kulipa kodi??
 
Huenda uko sahihi. Laiti angejua ''huko juu'' wanavyozipiga hizo fedha angeenda kwa hao wahindi awe anawasaidia kabisa kuweka doria ili wasikamatwe tena bila malipo. Na mbaya zaidi hata hao wahindi na wachina wakilipa kodi itakiwavyo ''huko juu'' bado hazitapona.
Inatia hasira sana
 
Kama wewe ni Good Citizen taja jina la duka. Stop complaining, be vigilant
Hao wahindi wameshindiakana na wanafahamika kwa mauzo ya spare za gar kubwa scania howo faw na horse sas duka lipo mkabala na KFC restaurant kwa nyuma Kuna maduka mengi Happ ya spare za scania wamejazana hapo
 
Ukiona hivyo ujue hakuna usawa katika ulipaji wa kodi, maana kama mtu angechajiwa kiasi ambacho anakihimili basi hakuna sababu ya kukwepa kodi, hili linatokea kwa sababu TRA wamekua wakibandika Wafanyabiashara kesi mahakamani na kuwakadiria Kodi zisizolipika.
 
Back
Top Bottom