Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nakubaliana na yeye kwamba Kodi za dhuruma hapana ila hili la kukwepa Kodi halihisiani, Serikali ichukue hatua.Mama hataki kodi za dhuruma!..
Anataka watu walipe kwa hiari[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe nitakuja nikurambe rambe we binti weweWew mpumabafu na nusu yaani kwa hyo hili jukwaa limewekwa ili kuleta uzi wa kula kimasiara acha ujinga ukitaka ikaklalmike wapi na wtz wanzangu wangejuaje kuwa hili jambo siyo sawa
UKO SAHIHI SANA,Sio kila mtu ana nafasi ya kupiga,tunawajibika kama raia na kuwasaidia wengi ambao hawana fursa za kupiga na huduma wanahitaji..
Wale ambao wanafariki kwenye hospital za umma,wamesonhana,hawana maji nk.
Adabu ile ndio inatakiwa kuendelea ila kubambikiana Kodi hapana,hata wachache waliosalia watakimbia.UKO SAHIHI SANA,
ALIPOKUWAPO JPM, WAFANYAKAZI NA WAFANYABIASHARA WALIKUWA NA ADABU. (HILI HATA WEWE UNAJUA)
SASA HAYUPO (KINACHO ENDELEA HATA WEWE UNAJUA).
NINI KIFANYIKE?
nilivyo andika sikumaanisha kwamba naunga mkono wizi/ dhuruma/na uporaji.Sas watoto hawatapata uduma
Swala la Uzalendo kwa Wananchi limekuwa dogo sana, na hii imechagizwa hasa na ukali wa Maisha magumu, kwa kiasi cha punguzo hilo mtu wa kawaida akiipata ni nafuu kwake zaidi.Habari za muda,
Nimeenda Kariakoo kuchukua spare fln ya gari nikafika pale mitaa ya fire nikauliza Bei akasema Bei ya spare hyo Ni 230000 lkn bila risti ataniuzia kwa 180000 mbya Zaid naona wanaongea billa kupepeza macho Wal kuongea kwa chini chini alisema kwa lafudhi ya kihindi " hey rfk hyo nitapatia wee kwa 180000 bila risiti na Kama unataka risiti nitakukatia ya elfu 50 sawaaa alisikika muhindi akiniambia maneno hayo bila kupepeza macho na pale kulikuepo na wateja wengi wamejazana dirishani
Wakt naongea na muhindi nikasika Tena dad ake na huyu muhind akimuambia mteja kifaha unachotaka nitakupa kwa laki tano bila risiti full mbaya Zaid wanaongea kwa saut kubwa sana.
Sas najiuliza mbona tunachezewa hivi na vyombo vipo na mamlaka zipo inamaana hawajuui kinachoendelea kariakoo kweli Kama mmeshindwa kazi kwanini msinipe hyo kazi niweze kuwa identify kila moja na tuwafikishe mahakamani kwa kosa la kuhujumu uchumi.
The same kwa wachina Ni wakwepa Kodi maarufu sna Hapa nnchini na mamlaka zipo na vyomb vipo tutaendelea kuchezewa hadi lini na Hawa wageni?
Imebakia kidg sna nimzabe makofi muhindi yule kwa hasira zangu huku mimi nikilimwa matozo mengi wkt Kuna wapuuzi kadhaa hawalipi Kodi na Wal hawafikishwi mahakamani.
TRA Kama mmeshindwa Kaz bas mtupishe tufanye mmepewa dhamana kusimamia na kukusanya Kodi ila mpo tu mnawaza maposho na Kaz hamafanyi.
Hili taifa ni majanga kwa kweli tunaliwa sna na watu wanaokuja kujifanya wawekezaji.
Hakuna cha mtu wa kulinda kwenye kukiuka sheria,ni uzembe tuu wa serikali.
Haitaisha ndio ila itakuwepo kwa kiasi hasa Kwa mtu mwenye mzigo wa thamani kubwa ila kwa wanunuzi wa bidhaa za thamani ndogo hao ndio wengi.Mkuu wapo wenye tamaa wengi. Na rushwa haitaisha daima maana imekuwa kawaida tukubali
Sheria zinakanyagwa sana na wachache wanaumia
HopelessWee endelea na uzalendo wako ufe kiseeengeee kimasikini na familia yako... Watoto watakuja kusema dingi alikua ana fursa ya kupiga pesa ila kafa kiboya
Kinacho umiza tanzania pesa nyingi kabisa inapotea kuhudumia wanasiasa Tena wanazifuja kwelikweli wakati wao hawana kazi zaid ya porojo na MaLiPo wanayo lipwa nimakubwa mara dufu kulinganiSha na kazi wanazo fanya halafu wachapakazi wanao zalisha hizo pesa wanaambulia mabaki Tena kiduchu sana,Huenda uko sahihi. Laiti angejua ''huko juu'' wanavyozipiga hizo fedha angeenda kwa hao wahindi awe anawasaidia kabisa kuweka doria ili wasikamatwe na TRA, tena bila malipo. Na mbaya zaidi hata hao wahindi na wachina wakilipa kodi itakiwavyo ''huko juu'' bado hazitapona.
Sheli ukiomba risiti unaambiwa mashine imeharibika ni majanga matupuHabari za muda,
Nimeenda Kariakoo kuchukua spare fln ya gari nikafika pale mitaa ya fire nikauliza Bei akasema Bei ya spare hyo Ni 230000 lkn bila risti ataniuzia kwa 180000 mbya Zaid naona wanaongea billa kupepeza macho Wal kuongea kwa chini chini alisema kwa lafudhi ya kihindi " hey rfk hyo nitapatia wee kwa 180000 bila risiti na Kama unataka risiti nitakukatia ya elfu 50 sawaaa alisikika muhindi akiniambia maneno hayo bila kupepeza macho na pale kulikuepo na wateja wengi wamejazana dirishani
Wakt naongea na muhindi nikasika Tena dad ake na huyu muhind akimuambia mteja kifaha unachotaka nitakupa kwa laki tano bila risiti full mbaya Zaid wanaongea kwa saut kubwa sana.
Sas najiuliza mbona tunachezewa hivi na vyombo vipo na mamlaka zipo inamaana hawajuui kinachoendelea kariakoo kweli Kama mmeshindwa kazi kwanini msinipe hyo kazi niweze kuwa identify kila moja na tuwafikishe mahakamani kwa kosa la kuhujumu uchumi.
The same kwa wachina Ni wakwepa Kodi maarufu sna Hapa nnchini na mamlaka zipo na vyomb vipo tutaendelea kuchezewa hadi lini na Hawa wageni?
Imebakia kidg sna nimzabe makofi muhindi yule kwa hasira zangu huku mimi nikilimwa matozo mengi wkt Kuna wapuuzi kadhaa hawalipi Kodi na Wal hawafikishwi mahakamani.
TRA Kama mmeshindwa Kaz bas mtupishe tufanye mmepewa dhamana kusimamia na kukusanya Kodi ila mpo tu mnawaza maposho na Kaz hamafanyi.
Hili taifa ni majanga kwa kweli tunaliwa sna na watu wanaokuja kujifanya wawekezaji.
Hate the game not players, muhindi alikuwa anakusaidia wewe usipasuke na hizo Vat ,Habari za muda,
Nimeenda Kariakoo kuchukua spare fln ya gari nikafika pale mitaa ya fire nikauliza Bei akasema Bei ya spare hyo Ni 230000 lkn bila risti ataniuzia kwa 180000 mbya Zaid naona wanaongea billa kupepeza macho Wal kuongea kwa chini chini alisema kwa lafudhi ya kihindi " hey rfk hyo nitapatia wee kwa 180000 bila risiti na Kama unataka risiti nitakukatia ya elfu 50 sawaaa alisikika muhindi akiniambia maneno hayo bila kupepeza macho na pale kulikuepo na wateja wengi wamejazana dirishani
Wakt naongea na muhindi nikasika Tena dad ake na huyu muhind akimuambia mteja kifaha unachotaka nitakupa kwa laki tano bila risiti full mbaya Zaid wanaongea kwa saut kubwa sana.
Sas najiuliza mbona tunachezewa hivi na vyombo vipo na mamlaka zipo inamaana hawajuui kinachoendelea kariakoo kweli Kama mmeshindwa kazi kwanini msinipe hyo kazi niweze kuwa identify kila moja na tuwafikishe mahakamani kwa kosa la kuhujumu uchumi.
The same kwa wachina Ni wakwepa Kodi maarufu sna Hapa nnchini na mamlaka zipo na vyomb vipo tutaendelea kuchezewa hadi lini na Hawa wageni?
Imebakia kidg sna nimzabe makofi muhindi yule kwa hasira zangu huku mimi nikilimwa matozo mengi wkt Kuna wapuuzi kadhaa hawalipi Kodi na Wal hawafikishwi mahakamani.
TRA Kama mmeshindwa Kaz bas mtupishe tufanye mmepewa dhamana kusimamia na kukusanya Kodi ila mpo tu mnawaza maposho na Kaz hamafanyi.
Hili taifa ni majanga kwa kweli tunaliwa sna na watu wanaokuja kujifanya wawekezaji.
Haitaisha ndio ila itakuwepo kwa kiasi hasa Kwa mtu mwenye mzigo wa thamani kubwa ila kwa wanunuzi wa bidhaa za thamani ndogo hao ndio wengi..
Imagine ukwepe lisiti Ili ukatoe rushwa utakuwa ni taahira na hapo umenunua vitu vya elfu 50,000.