TRA fuatilieni hii kampuni ya wachina inayoitwa Hiview International Co Ltd, wanakwepa kodi sana

TRA fuatilieni hii kampuni ya wachina inayoitwa Hiview International Co Ltd, wanakwepa kodi sana

Masurura yetu

Member
Joined
Dec 3, 2021
Posts
14
Reaction score
30
Mimi ni mjasirilismali,nina duka la matairi ya magari huku Mwanza.

Nilielekezwa kwenye hiyo kampuni tajwa hapo juu kuwa wanauza matairi ya jumla,basi nikafunga safari mpaka dar nikawatafuta mpaka ofisini kwao,ofisi zao ziko mikocheni sehemu inaitwa njia panda ya mawaziri.

Nilivyofika nikaandika order yangu nikalipia wakanipa risiti ya malipo tu,wakaniambia mzigo wangu wataupeleka wenyewe kwa transporter wangu na documents zote watampa transporter,nami sikuona ni tatizo kwani documents zinatakiwa ziambatane na mzigo njiani ili kuepuka usumbufu.

Kweli mzigo walipeleka kwa transporter lakini bila documents zozote, na mbaya zaidi siku hiyo TRA walikuwa na ukaguzi maeneo hayo ya Ilala hivyo mzigo wangu ukakamatwa na TRA, transporter akanijulisha hilo suala,nikawapigia wahusika kwa kutumia hizi number 0713174... na 0763235... ili kujua kulikoni. Hiyo number ya kwanza ni ya mtu niliyeambiwa anaitwa Sylvester ndiye meneja wa hiyo kampuni,huyo jamaa baada ya kumueleza shida yangu alichonijibu ni kuwa wao mzigo ukishafika kwa transporter hauwahusu tena na ana majibu mabaya sana utadhani sio Mtanzania. Sasa TRA wamenipiga fine ya 1.5m kwa makosa yaliyosababishwa na hao wapuuzi.

Nimejaribu kufanya uchunguzi kwa baadhi ya jamaa zangu Kariakoo kuhusiana na hii kampuni,wengi wanasema hawa jamaa ndiyo michezo yao hiyo,hawatoi risiti kwa wateja na mzigo ukikamatwa wao hawakusaidii chochote.

Wito wangu kwa TRA ifuatilieni hii kampuni kwa ukaribu muwachukulie hatua za kinidhamu kwa sababu wanafanya biashara za kihuni.

Nimeambatanisha risiti ya malipo waliyoniandikia ofisini kwao kama ushahidi.

IMG_20211204_100017.jpg
 
Ukiwa na muda fuatilia watarejesha pesa yako na garama usumbufu.
 
Mkuu,nadhani mwenye makosa ni wewe mwenyewe,ulitoa 5 Milioni bila kupewa hata copy ya Risiti kweli??na naona Risiti yenyewe hapo imeandikwa kwa mkono tu!!na kwa nini hukubeba mzigo wako na kwenda kuusafirisha wewe mwenyewe kwenye malori??matatizo kama haya huwa mnajitakia tu,kumbuka mwisho wa mwaka huu,vijana wa TRA wanasaka pesa za Sikukuu
 
Hao jamaa nawajua.
Wako mikocheni karibu na Oxford printers.
Wanauza matairi ya kichina sijui feki yale coz kuna siku nilienda kununua matairi hapo, siku mbili tu yakapasuka,nilivyowarudishia nikakutana na lijamaa flani jeusi hivi lina sura mbaya sijui ndio limeneja lao,nikalielezea shida yangu ,basi likawa linanijibu shit tu.nikajisemea hizi kampuni za wachina hata watu wanaowaajiri huwa ni wajinga wajinga tu kama hilo jamaa.
 
Mkuu,nadhani mwenye makosa ni wewe mwenyewe,ulitoa 5 Milioni bila kupewa hata copy ya Risiti kweli??na naona Risiti yenyewe hapo imeandikwa kwa mkono tu!!na kwa nini hukubeba mzigo wako na kwenda kuusafirisha wewe mwenyewe kwenye malori??matatizo kama haya huwa mnajitakia tu,kumbuka mwisho wa mwaka huu,vijana wa TRA wanasaka pesa za Sikukuu
Mkuu EFD hao jamaa hawana?
 
Mimi ni mjasirilismali,nina duka la matairi ya magari huku Mwanza.

Nilielekezwa kwenye hiyo kampuni tajwa hapo juu kuwa wanauza matairi ya jumla,basi nikafunga safari mpaka dar nikawatafuta mpaka ofisini kwao,ofisi zao ziko mikocheni sehemu inaitwa njia panda ya mawaziri.

Nilivyofika nikaandika order yangu nikalipia wakanipa risiti ya malipo tu,wakaniambia mzigo wangu wataupeleka wenyewe kwa transporter wangu na documents zote watampa transporter,nami sikuona ni tatizo kwani documents zinatakiwa ziambatane na mzigo njiani ili kuepuka usumbufu.

Kweli mzigo walipeleka kwa transporter lakini bila documents zozote, na mbaya zaidi siku hiyo TRA walikuwa na ukaguzi maeneo hayo ya Ilala hivyo mzigo wangu ukakamatwa na TRA, transporter akanijulisha hilo suala,nikawapigia wahusika kwa kutumia hizi number 0713174... na 0763235... ili kujua kulikoni. Hiyo number ya kwanza ni ya mtu niliyeambiwa anaitwa Sylvester Katambi ndiye meneja wa hiyo kampuni,huyo jamaa baada ya kumueleza shida yangu alichonijibu ni kuwa wao mzigo ukishafika kwa transporter hauwahusu tena na ana majibu mabaya sana utadhani sio Mtanzania. Sasa TRA wamenipiga fine ya 1.5m kwa makosa yaliyosababishwa na hao wapuuzi.

Nimejaribu kufanya uchunguzi kwa baadhi ya jamaa zangu Kariakoo kuhusiana na hii kampuni,wengi wanasema hawa jamaa ndiyo michezo yao hiyo,hawatoi risiti kwa wateja na mzigo ukikamatwa wao hawakusaidii chochote.

Wito wangu kwa TRA ifuatilieni hii kampuni kwa ukaribu muwachukulie hatua za kinidhamu kwa sababu wanafanya biashara za kihuni.

Nimeambatanisha risiti ya malipo waliyoniandikia ofisini kwao kama ushahidi.

View attachment 2032318
Lakini si unakumbuka walikupa bei mbili.ya bila Efd na yenye Efd,unakumbuka vizuri ulichagua ile ya bila EFD ambayo ilikuwa ndogo?
 
Mimi ni mjasirilismali,nina duka la matairi ya magari huku Mwanza.

Nilielekezwa kwenye hiyo kampuni tajwa hapo juu kuwa wanauza matairi ya jumla,basi nikafunga safari mpaka dar nikawatafuta mpaka ofisini kwao,ofisi zao ziko mikocheni sehemu inaitwa njia panda ya mawaziri.

Nilivyofika nikaandika order yangu nikalipia wakanipa risiti ya malipo tu,wakaniambia mzigo wangu wataupeleka wenyewe kwa transporter wangu na documents zote watampa transporter,nami sikuona ni tatizo kwani documents zinatakiwa ziambatane na mzigo njiani ili kuepuka usumbufu.

Kweli mzigo walipeleka kwa transporter lakini bila documents zozote, na mbaya zaidi siku hiyo TRA walikuwa na ukaguzi maeneo hayo ya Ilala hivyo mzigo wangu ukakamatwa na TRA, transporter akanijulisha hilo suala,nikawapigia wahusika kwa kutumia hizi number 0713174... na 0763235... ili kujua kulikoni. Hiyo number ya kwanza ni ya mtu niliyeambiwa anaitwa Sylvester Katambi ndiye meneja wa hiyo kampuni,huyo jamaa baada ya kumueleza shida yangu alichonijibu ni kuwa wao mzigo ukishafika kwa transporter hauwahusu tena na ana majibu mabaya sana utadhani sio Mtanzania. Sasa TRA wamenipiga fine ya 1.5m kwa makosa yaliyosababishwa na hao wapuuzi.

Nimejaribu kufanya uchunguzi kwa baadhi ya jamaa zangu Kariakoo kuhusiana na hii kampuni,wengi wanasema hawa jamaa ndiyo michezo yao hiyo,hawatoi risiti kwa wateja na mzigo ukikamatwa wao hawakusaidii chochote.

Wito wangu kwa TRA ifuatilieni hii kampuni kwa ukaribu muwachukulie hatua za kinidhamu kwa sababu wanafanya biashara za kihuni.

Nimeambatanisha risiti ya malipo waliyoniandikia ofisini kwao kama ushahidi.

View attachment 2032318
Nawe mleta mada mshamba sana.hii ulitakiwa ukaireport direct kwa meneja wa tra kinondoni.
 
Mkuu,nadhani mwenye makosa ni wewe mwenyewe,ulitoa 5 Milioni bila kupewa hata copy ya Risiti kweli??na naona Risiti yenyewe hapo imeandikwa kwa mkono tu!!na kwa nini hukubeba mzigo wako na kwenda kuusafirisha wewe mwenyewe kwenye malori??matatizo kama haya huwa mnajitakia tu,kumbuka mwisho wa mwaka huu,vijana wa TRA wanasaka pesa za Sikukuu
Waliniambia risiti mpaka pesa ipelekwe Bank ionekane ndio wanaprocess order,na kwa sababu nilikua na haraka na vile jamaa zangu wengine wanafanya nao biashara sikuwa na wasiwasi wowote.
 
Back
Top Bottom