tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,931
- 15,849
Huyo huyo..labda niwe nimemfananishaDuh..sylvester huyu huyu ninaemfahamu au unatania mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo huyo..labda niwe nimemfananishaDuh..sylvester huyu huyu ninaemfahamu au unatania mkuu?
huu ndio muda wa kupiga sasa,awamu ya hii.
ukute katambi na jamaa wa TRA saa hizi wako wanasikilizia namna hii.baada y kukuchomea.View attachment 2032414
No comment mkuu.
Huyu jamaa ndio huyo mwenye majibu machafu,naona hata WhatsApp kaweka picha hiyo hiyo.
wewe ndio nani victor au?Nimefanya nao kazi hao jamaa
Na sisi ndio waanzilishi wa hiyo kampuni.
Nashangaa kama nao wameanza hii michezo ya kihuni.
Ndio hili hili lililonijibu shit siku ile nimerudisha matairi yao yaliyopasuka.
Hapana,Victor bado yuko nao.mimi nilishaacha.wewe ndio nani victor au?
Haya Sasa wenyewe wamekuja ...jibu swali na huu ndio mchezo wenu siku hiziLakini si unakumbuka walikupa bei mbili.ya bila Efd na yenye Efd,unakumbuka vizuri ulichagua ile ya bila EFD ambayo ilikuwa ndogo?
Wewe Utakuwa sylvester katambiwewe itakua ulitafuta mseleleko kama mdau alivysema hapo juu, mimi nimefanya sana biashara na hao jamaa na sijawahi kukutana na tatizo lolote kuna lipindi naweza kuagiza mzigo bila hata kutoa hela na ukanifikia bila tatizo lolote labda ulikutana na madalali wakakupiga
wewe utakua mrs sylvester katambiWewe Utakuwa sylvester katambi
Na wewe unamjua Sylvester mkuu?Wewe Utakuwa sylvester katambi
Wenyewe wanajua,huo ni mchezo wa zamani tuu.Tiraei bado wako kizamani sana.mfano mimi ningekuwa wao ningeenda kukagua import yao halafu nafanya stock taking.tofauti yake ni kwamba wameuza,risit ziko wapi?Haya Sasa wenyewe wamekuja ...jibu swali na huu ndio mchezo wenu siku hizi
Watanzania mmezidi upole kama ulinunua siku mbili yakaharibika yapeleke tume ya ushindani ukiambatanisha na copy ya risiti lakini madhaifu mengine ni mamlaka husika kama tbsHao jamaa nawajua.
Wako mikocheni karibu na Oxford printers.
Wanauza matairi ya kichina sijui feki yale coz kuna siku nilienda kununua matairi hapo, siku mbili tu yakapasuka,nilivyowarudishia nikakutana na lijamaa flani jeusi hivi lina sura mbaya sijui ndio limeneja lao,nikalielezea shida yangu ,basi likawa linanijibu shit tu.nikajisemea hizi kampuni za wachina hata watu wanaowaajiri huwa ni wajinga wajinga tu kama hilo jamaa.
bishara haiendi hivyo mkuuWenyewe wanajua,huo ni mchezo wa zamani tuu.Tiraei bado wako kizamani sana.mfano mimi ningekuwa wao ningeenda kukagua import yao halafu nafanya stock taking.tofauti yake ni kwamba wameuza,risit ziko wapi?
Pale huwa kuna utaratibu wa kurefund any damage inayosababishwa na manufacturer,so sijajua nini kilitokea siku hiyo mpaka huyo mdau akajibiwa shit kama anavyosema mwenyewe.Watanzania mmezidi upole kama ulinunua siku mbili yakaharibika yapeleke tume ya ushindani ukiambatanisha na copy ya risiti lakini madhaifu mengine ni mamlaka husika kama tbs
Pia wanaweza kuteketeza mali kama haijakidhi viwangoPale huwa kuna utaratibu wa kurefund any damage inayosababishwa na manufacturer,so sijajua nini kilitokea siku hiyo mpaka huyo mdau akajibiwa shit kama anavyosema mwenyewe.
Mataga acha gubu.