Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,456
Umaskin na ukosefu wa Ajira ndo changamoto uzalendo hamna kabisa.
Huyo mtanzania uliempigia sim akazingua matatizo Yana anzia apo..!
Usiombe umkute HR wa kibongo kwenye haya makampuni ya kichina hasa jinsia ya Ke aisee unakuta nae kashakua roho ya kichina.
Huyo mtanzania uliempigia sim akazingua matatizo Yana anzia apo..!
Usiombe umkute HR wa kibongo kwenye haya makampuni ya kichina hasa jinsia ya Ke aisee unakuta nae kashakua roho ya kichina.