Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anasema alitumwa na Mzee, kwani TRA si ipo chini ya Mzee.Mwenye mamlaka ya kuunda kikozi kwa ajili ya kukusanya kodi ni kamishna wa TRA... Mamlaka nyingine yoyote hata kama ni ya uteuzi, HUWA ZINAAGIZA MWENYE MAMLAKA YA KUFANYA HIVYO AFANYE... na si kuunda wenyewe
Huwa wanawaagiza waliowateuwa kufanya hivyo... Kisheria ni ngumuanasema alitumwa na Mzee, kwani TRA si ipo chini ya Mzee.
Serikali haifanyi kazi kwa "hear say" kijana .Ole sabaya anaposema alipata amri kutoka juu aoneshe uthibitisho wa barua au documents zinazomuonesha kuwa aliagizwa. Mahakamani hakufanyiki maigizo na serikali haifanyii kazi maneno matupu.TRA haikuwa mamlaka ya uteuzi ya Lengai Ole Sabaya
Mamlaka ya juu ilikuwa inajua na ilibariki operesheni hiyo
Waziri wa fedha wa wakati huo alikuwa anajua na kubariki zoezi zima
Gavana wa benki kuu alikuwa anafahamu na alitambua kazi nzuri kwa kumpongeza hadharani (In a televised record)
Kama hakutumwa na makusanyo alifanya na kukabidhi ama mamlaka iliyomtuma au hazina kwanini walizipokea?
Mashahidi wanatakiwa kuongezeka (waziri wa fedha na mipango wa wakati huo) ( gavana wa benki kuu), (katibu mkuu hazina na mlipaji mkuu wa serikali), kiongozi wa wilaya au mkoa husika zoezi lilikofanyikia walikuwa na taarifa na hawakuzuia.
Hata mamlaka iliyopo sasa ilikuwa na taarifa lakini hakuna hata mmoja aliyetoa notisi ya kujiuzulu kwa kutoridhika na operesheni iliyokuwa inafanyika.
Huyo kijana Lengai Ole Sabaya aachiwe samba na Freeman Aikaeli Mbowe WAACHIWE wote maana kesi zao zimegubikwa na chuki za kisiasa
Hadi mawe yatamkanaKAIMU Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Arusha, Kayobio Majogoro(41), ameieleza mahakama kwamba ofisi yake haikuwa na taarifa kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya, kuongoza kikosi kazi maalumu kwenda kukusanya kodi katika Jiji la Arusha.
Akiongozwa kutoa ushahidi wake na wakili wa Serikali mwandamizi, Ofmed Mtenga mbele ya hakimu mkazi, Patrisia Kisinda shahidi huyo amedai kuwa kwa mujibu wa sheria mwenye mamlaka ya kuunda kikosi kazi maalum ni kamishna mkuu wa TRA. Ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kuwa mkuu wa wilaya hawezi kuwa na jukumu la kukusanya kodi.
Katika shauri hilo la uhujumu namba 27,2021, washtakiwa wengine ni Enock Mnkeni, Watson Mwahomange, John Aweyo, Sylvester Nyegu, Jackson Macha na Nathan Msuya.
Chanzo: Nipashe
Mzee anaendesha nchi kwa kufuata utaratibu wa serikali kwa maana ya Sheria ,Taratibu na Kanuni (STK) hii haikua kampuni yake kwamba anaweza kuamua tuu nani akakusanye kodi. Hii kesi huyu dogo hachomokianasema alitumwa na Mzee, kwani TRA si ipo chini ya Mzee.
You have nailed to the fresh woundMwenye mamlaka ya kuunda kikosi kwa shughuri hiyo ni kamishna wa TRA... FULL STOP
Watamkana lakini wataanguka waoHadi mawe yatamkana
Labda alitumwa kukusanya KODI RUSHWA na siyo kodi ya kawaida inayojulikana na watu wote...!TRA haikuwa mamlaka ya uteuzi ya Lengai Ole Sabaya
Mamlaka ya juu ilikuwa inajua na ilibariki operesheni hiyo
Waziri wa fedha wa wakati huo alikuwa anajua na kubariki zoezi zima
Gavana wa benki kuu alikuwa anafahamu na alitambua kazi nzuri kwa kumpongeza hadharani (In a televised record)
Kama hakutumwa na makusanyo alifanya na kukabidhi ama mamlaka iliyomtuma au hazina kwanini walizipokea?
Mashahidi wanatakiwa kuongezeka (waziri wa fedha na mipango wa wakati huo) ( gavana wa benki kuu), (katibu mkuu hazina na mlipaji mkuu wa serikali), kiongozi wa wilaya au mkoa husika zoezi lilikofanyikia walikuwa na taarifa na hawakuzuia.
Hata mamlaka iliyopo sasa ilikuwa na taarifa lakini hakuna hata mmoja aliyetoa notisi ya kujiuzulu kwa kutoridhika na operesheni iliyokuwa inafanyika.
Huyo kijana Lengai Ole Sabaya aachiwe samba na Freeman Aikaeli Mbowe WAACHIWE wote maana kesi zao zimegubikwa na chuki za kisiasa
Mantiki kali! Bila shaka rais wa taifa na waziri wa fedha walfuatilia habari za duka la rejareja na risiti zake!! Maana sisi sote tunajua hawana kazi nyingine au muhimu zaidi, sivyo?TRA haikuwa mamlaka ya uteuzi ya Lengai Ole Sabaya
Mamlaka ya juu ilikuwa inajua na ilibariki operesheni hiyo
Waziri wa fedha wa wakati huo alikuwa anajua na kubariki zoezi zima
anasema alitumwa na Mzee, kwani TRA si ipo chini ya Mzee.
Unamaanisha anaachiwa mvua kadhaa bila shaka.Anaachiwa huyo
Anadharirisha jezi ya Yanga huyo. Aivue, alavae jezi yake ya Simba.Arusha. Kaimu meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Arusha, Kayobyo Majogolo(41) ambaye ni shahidi wa pili katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita ameieleza mahakama kuwa kwa mujibu wa sheria anayepaswa kukusanya kodi ni mamlaka hiyo tu.
Akiongozwa kutoa ushahidi wake na wakili wa Serikali mwandamizi, Ofmed Mtenga mbele ya hakimu mkazi, Patrisia Kisinda shahidi huyo amedai kuwa kwa mujibu wa sheria mwenye mamlaka ya kuunda kikosi kazi maalum ni kamishna mkuu wa TRA.
Ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kuwa mkuu wa wilaya hawezi kuwa na jukumu la kukusanya kodi.
Katika shauri hilo la uhujumu namba 27,2021, washtakiwa wengine ni Enock Mnkeni, Watson Mwahomange, John Aweyo, Sylvester Nyegu, Jackson Macha na Nathan Msuya
View attachment 1950953
Anaachiwa huru katunze hii comment bankUnamaanisha anaachiwa mvua kadhaa bila shaka.
Jipe moyo tu,huyo keshapotea.Anaachiwa huru katunze hii comment bank
Kule wanakochukua hela kwa masandarusi?Anaachiwa huru katunze hii comment bank