TRA: Hatukumtuma Sabaya kukusanya kodi

Rais anapoongea, huwa kuna wanaoandika.
 
Rais anapoongea, huwa kuna wanaoandika.
Notes za presidential aids ni useless kama Rais ametoa direct order hapo hapo jambo lifanyike.

Kuna siku JPM alikuwa frustrated na Lukuvi. Akamwambia Waziri wa Mambo ya Kigeni “wewe Kabudi baki hapa tatua huu mgogoro wa ardhi haraka”!

Unadhani Kabudi aliondoka Morogoro that night kwenda ofisini kwake Dodoma kusubiri barua ya maagizo ? Bosi anakutuma kwa mdomo ubishe ?

Mnafanya kazi wapi nyinyi watu ?????
 
K
Katika watu wasiofikiri kumbe nawewe umooo?
 
Elewa ninachoongea, hata kama ni direct orders, mchukua note ni lazima afanye kazi yake. Wewe unadhani baada ya kumuagiza vile Kabudi hayakuwekwa kwenye maandishi? Pamoja na utekelezwaji wake kuanza lakini kwenye maandishi lilishawekwa na siyo swala la kusubiri barua bali ni swala la kumbukumbu ya maagizo aliyotoa rais, pia kwa ajili ya ufuatiliaji.
 
Wewe advocate umefafanua vizuri sana
 
Hebu tumia akiri basi. Kisheria rais hana mamlaka ya kumtuma yeyote kukusanya kodi ispokuwa kamishna tu. Shida wabongo wengi akiri hamna ndo mana mnaburuzwa
 
Huyu mtoto anatolewa kafara
 
Mbona hili jina si miongoni mwa majina ya kiTanzania !. “Nzabayanga Ntizibangizwa”🙄🙄🙄
 
Unajua Kazi ya commissioner wa TRA?!!..Mkuu wa wilaya anaenda kutafuta Kodi?!!.. Alikua na wakaguzi wa Mapato?!!...Tufukirie zaidi!!
 
TRA naona ni wanafiki tuu vitu vyote alivyofanya Sabaya tulikua tunaona ITV hasa lile la maduka ya Moshi alivyoenda na baadhi ya maafisa wa TRA nilishangaa sana ila sikuona taarifa yeyote kutoka TRA kupinga leo wao tena wanakuja kupinga waliekuwa wanamtuma wakati watu washaumia..kwa hiyo Nchi hii mtu yeyote anaweza kufanya operations za kihuni na mamlaka husika zinakaa kimya mpaka watuhumiwa wapelekwe mahakamani..
 
Hakuna video iliyowahi kuonyesha Sabaya alikuwa na maofisa wa TRA kwenye hii ujangili wake ambao ndio msingi wa kesi rather walikuwa no wahuni ambao hata sio watumiaji wa serikali na ndio hao ameshtakiwa nao.

Hebu jiulize mbona dereva wake hajashtakiwa au kuunganishwa na Sabaya ingali alikuwa kwenye hiyo kampeni bubu?

Huyo bwana Hana pa kushika maana aliyemshikilia kamba imekatika watu walikuwa wanamsubiria tu kamba ikatike.

Mwenzie Makonda alipoa mapema maana nae angekuwa ananyea debe kama angeendelea upuuzi wake
 
Huyu lazima ale mvua za kutosha
 
Nchi ina mifumo ya hovyo sana mkuu
 

Maagizo ya bosi nje sheria taratibu na kanuni ni batili, kwamba utii kila kitu bila kujali taratibu
 
kwani Gavana nae anakinga ya kutokushitakiwa,kwanini asipande kizimbani kutoa ushahidi kesi ikaisha mbona bongo kunakua na mlolongo mrefu huku mtu akisota rumande na hakuna hata anaejali bali watu wako buzy kumtetea mbowe wao aachiwe huru eti mpaka ushahidi utakapo kamilika mbona kwa watu wengine wala hawapigi kelele.Shame on upinzani wa Tz
 
Ingekuwa US ,nchi inaendeshwa kwa verbal instructions, Trump mpaka leo angekuwa President. Revisit Governor being told to find 11000 votes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…