Makadirio ya kodi yapo kisheria hivyo unaweza ku set software yako sambamba na sheria ya makadirio na ikawa sawa.It is possible kukadiria kodi. Tuliwah kupeleka proposal mama hiii kwa mkuu wa wilaya(jinala mkoa kapuni) propasal ikapigwa chini japokuwa ma IT wa walikubali.
Sent using Jamii Forums mobile app
TRA ni kama polisi, wanatekeleza sheria zilizopo. Hawafanyi kazi kwa kauli za mtu ...Je, Kwa nini TRA hawatekelezi kauli ya Rais?
Sheria ya makadirio imewekwa kwa wafanyabiashara wasio na records ambazo zinaweza kutumika kupata kodi halisi. Kama una keep records huwezi kukadiriwa.
Ndio maana nikasema tatizo ni elimu kwa wafanyabiashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kodi ya kufikirika. Ingia kwenye TRA website lipo jedwali la makadirio. Swala la kuwa na Mhasibu ni muhimu biashara inavyokuwa kubwa. Kasome uone mipaka ya makadirio ili ujue wakati gani utahitaji kuwa na kumbukumbu sahihi za mahesabu ambayo ndio huleta umuhimu wa Mhasibu!Mnalizimisha vibiashara vya milion 4 .. 5 awe na mhasibu wa kumfanyia mahesabu hamjui hata amefikaje hapo ukiangalia frem , na store mnakuja na makodi ya kufikirika
Kwani wanakadiria wanajiwekea tu figure yoyote inayowajia kichwani....si kuna vitu wana viangalia
Sasa hivyo vitu vikisetiwa kwenye system lazima itatoa majibu yale yale au karibu na yao
Haya mambo ya makadirio yanatengeneza loophole kubwa sana ya wafanyabiashara kupigwa
Mnaweza mkawa na biashara inayofanana, mitaji inayofanana na mauzo yanayokaribianan nendeni sasa kwenye makadirio ndo utajua tofauti yenu...why
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini hata ukinunu gari jipya bado ushuru wake unadiscourage sana, ndio kusema serikali yetu haitaki tumiliki magari mazuri?? Au tunatengeneza ya kwetu ili wajapani wasituharibie soko, ubavu huo tunao??Nimeeleza Hapo Kuwa Msingi wa kodi sio tu kukusanya Mapato Pia Ni tool ya ku incourage au ku discourage kitu
Mfano Wa Hilo ulilosema kodi Hapo inatozwa ku discourage Matumizi ya aina hiyo
Wao TRA hawahesabu umepata faida au hasara kiasi gani, wao wanaangali mauzo yako kwa muda fulaji let say kwa mwezi au.kwa.mwaka. The wanakata chao.Huwezi ku set kujua Pohamba kesho atakuja kununua nini kwa kiasi gani zaid ya kuweka EFD Machine kwa ajili ya kutoa risiti pindi akija kununua
Huwezi kujua kesho Umeme utakatika itabidi ninunue diesel ya kuendesha Generator
Huwezi kujua Gharama Na Mapato ya Biashara kabla ya kufanya Biashara husika unaweza kupata budgeted expenditure Na Budgeted sales ambavyo vyote sio vitu sahihi vya kukokotolea kodi
TRA wana Motor vehicle valuaton calculator kwa kweli kila ninapoanza mchakato wa kununu chombo cha usafiri huwa nachoka kabisa. Lakini sina jinsi. Ule mkato unaumiza sana, mimi si mtaalam wa mambo ya Kodi naona kama nanyonywa.Gari unalonunua kutoka nje unapata invoice kutoka kwa muuzaji ambaye unaweza ku collude nae na kuweka value ndogo ili ulipe kodi kidogo. Ndio maana nchi nyingi zimeweka standards ili kupunguza ukwepaji kodi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Makadirio huwa yanafanywa inapokuwa huna Mfumo Mzuri wa kuweka records zako na kuweza kupata Actual ProfitWao TRA hawahesabu umepata faida au hasara kiasi gani, wao wanaangali mauzo yako kwa muda fulaji let say kwa mwezi au.kwa.mwaka. The wanakata chao.
Asante mkuu, kwa elimu hii. kw hiyo nikiwa na mahesabu watakata kodi kutoka kwenye profit sio sales??Makadirio huwa yanafanywa inapokuwa huna Mfumo Mzuri wa kuweka records zako na kuweza kupata Actual Profit
Hapo ndipo Wahindi wa mjini wanapowazidi Akili
Muhindi Kariakoo Hata auze Kachori anajitahidi awe Na EFD Receipts unadhan kwa sababu gani?
Anakuwa Ana maintain records zake vyema kuondoa Tatizo la kukadiriwa kodi kwa Kuwa ana Taarifa zote Lakin akija kwako Mswahili huna chochote ulicho maintain ambacho no reliable unategemea nini?
Asante mkuu, kwa elimu hii. kw hiyo nikiwa na mahesabu watakata kodi kutoka kwenye profit sio sales??
Kwa kutumia Microsoft excel 'if function' unaweza kadiria Kodi yako ya biashara kulingana na faida na kufanya accounting zingine zote za VATHakuna Soft Dunia nzima ya ku determine corporate Tax
Kodi ya Mapato itokanayo Na Biashara huwezi ku pre determine Bali unaweza kukadiria then kadri Biashara inavyoendelea utajua level ya Biashara
Hata Baada ya kumaliza operations zako unapewa Muda wa Takriban Miezi mitatu kuweka sawa hesabu zako then unakagua hesabu zako Mwishowe unapata hesabu kamili
Zipo baadhi ya kodi ambazo unaweza ku pre determine mfano kodi ya ku import Magari Lakin Kwenye Biashara Hata Wewe Mwenyewe huwezi kujua level ya Biashara yako mpaka December wakati upo January
Pia Msingi wa kodi sio tu kukusanya kodi
Zipo kodi zinatozwa Kwenye bidhaa kwa lengo la ku discourage Biashara husika
Mfano Mifuko ya Plastic inatozwa kodi ku discourage production sio kupata pato hivyo kodi yake inalingana Na thamani ya Mauzo
Kwa kutumia Microsoft excel 'if function' unaweza kadiria Kodi yako ya biashara kulingana na faida na kufanya accounting zingine zote za VAT
Sasa ukienda huko kwenye accounting software kama SAGE wala hakuna kutumia maarifa tena kila kitu inakufanyia.
Huyu jamaa anaongea vitu gani huyu watu wamefunga biashara zao kwa makadirio ya hivyo hivyo , uwe na mwahasibu , usiwe naye kodi iko hivyo hivyo yaana kuna biashara flana mpaka wakaziweka flat rate flani kuwa hiyo biashara lazima mtu alipe kiasi flani
Hoja Ni software ya ku pre determine corporate Tax, Hakuna hiyo soft ware wala haitokuja kupatikana labda Kama hujui maana ya corporate tax inavyopatikana
Hesabu za (If function) base yake Ni Makadirio wakati corporate tax base yake Ni uhalisia
Labda tunapishana kwenye kuelewa hoja ya mleta mada na uhalisia wa kodi inavyopatikana, kazi ya taxman (TRA) na namna gani utakadiriwa kodi.Hoja Ni software ya ku pre determine corporate Tax, Hakuna hiyo soft ware wala haitokuja kupatikana labda Kama hujui maana ya corporate tax inavyopatikana
Hesabu za (If function) base yake Ni Makadirio wakati corporate tax base yake Ni uhalisia