TRA Tanzania
Senior Member
- Jul 16, 2022
- 128
- 370
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inawakarabisha wananchi wote kutembelea banda letu katika uzinduzi wa mbio za mwenge wa Uhuru kitaifa 2024 utakaofanyika katika viwanja vya Chuo kikuu cha Ushirika wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro tarehe 2/4/2024.
Aidha TRA itaendelea kutoa elimu ya kodi katika maeneo yote ambapo mwenge wa Uhuru utalala.
Aidha TRA itaendelea kutoa elimu ya kodi katika maeneo yote ambapo mwenge wa Uhuru utalala.