Nani kakuambia kuwa sina pesa? Eti unaniambia nitafute pesa. Halafu usiniambie hayanihusu kwa kuwa kusema hivyo ni UPUMBAVU.Tafuta pesa mkuu achana na kuchokonoa yasiyokuhusu, kapata gap ya kutengeneza pesa ,akapiga pesa nawe tafuta ya kwako!,nani ni mmiliki wa UDA,Nyati crossborder transporters?,mtoa mada tumia muda wako kupigania ya kwako achana na yasiyokuhusu
Wewe hekalu lako liko wapiMimi huyu jamaa nilimuona hazimo alivyojitoa ufahamu na kujizima data mpaka akatembelea makario heti anashangaa nyumba ya Ali kiba??? Kweli? Nyumba ya Ali Kiba ndo ya kumzuzua mtu? Anaishi Dar es Salaam hipi? Kila kona na mitaa ya Dar watu wana mahekaru ya kutisha! Huyu jamaa ni Chawa hila kwa uchawa niliouona kwa Ali Kiba imezidi!
Google search "mwijaku na nyumba ya Ali Kiba". Ni aibu!
[emoji16][emoji16]
Ndo kitega uchumi chake kikubwa kinachomuweka mjiniKwani kazi yake anafanyia kwenye matako?
Wakati anafanya uchawa mlikuwa mnamdhiaki leo hii katambulisha nyumbabyake mnataka TRA WamchunguzeSina wivu na mafanikio ya mtu yeyote. Jana Mwijaku kazindua nyumba anayodai imegharimu Tsh 1.3 Bilioni. Mwijaku ni msanii wa bongo movie ambaye hivi karibuni amegeuka kuwa "CHAWA".
Sheria ya Mamlaka ya Mapato (TRA) inaruhusu kukagua mapato ya mtu yeyote au kampuni yeyote kujiridhisha kama analipa kodi kadri ya mapato yake.
View attachment 2863227
We unalipa kodi sahihiNani kakuambia kuwa siona pesa? Eti unaniambia nutafute pesa. Halafu usiniqmbie hayanihusu kwa kuwa kusema hivyo ni UPUMBAVU.
HII issue ingekuwa haituhusu Watanzania basi Mwijaku mwenyewe asingeiweka public.
Anyway kwa uandishi wako tu inaonekana huna kisomo
DueNdo kitega uchumi chake kikubwa kinachomuweka mjini
Means umejipa usemaji wa watanzania toka lini?,uoga wako unakupelekea kuongelea small fish ila mapapa unaogopa, ndio maana upo kimya mlala hoi kufungwa 30yrs kwa kukutwa na si called nyama ya swala wakati mpigaji mkubwa wa tembo pale iringa ni tajiri mkubwa na wapumbavu wengine wanataka awe mbunge wa iringa, it's crazeNani kakuambia kuwa siona pesa? Eti unaniambia nutafute pesa. Halafu usiniqmbie hayanihusu kwa kuwa kusema hivyo ni UPUMBAVU.
HII issue ingekuwa haituhusu Watanzania basi Mwijaku mwenyewe asingeiweka public.
Anyway kwa uandishi wako tu inaonekana huna kisomo
WAANZE NA WABUNGE ZILE MIL 58 KILA MWEZISina wivu na mafanikio ya mtu yeyote. Jana Mwijaku kazindua nyumba anayodai imegharimu Tsh 1.3 Bilioni. Mwijaku ni msanii wa bongo movie ambaye hivi karibuni amegeuka kuwa "CHAWA".
Sheria ya Mamlaka ya Mapato (TRA) inaruhusu kukagua mapato ya mtu yeyote au kampuni yeyote kujiridhisha kama analipa kodi kadri ya mapato yake.
View attachment 2863227
Tako linalipiwa kodi siku hizi?
Maana inasemekana amejenga kwa malipo ya kutatuliw malinda