At least unanipa tip kuwa yawezekana nyumba siyo ya Mwijaku, nakuelewaNingumu kumuamini chawa
Kwanza ungeleta ushahidi kuwa nyumba niyake kweli.
Lakini mwijaku kwakuwa ambassador wa makampuni mbalimbali means mshahara unapitia benki so ningumu kukwepa Kodi
Usichanganye mambo yasiyofanana. Naongelea issue ya Mwijaku kumiliki nyumba ya thamani ya Tsh 1.3 Bilion wakati vyanzo vyake vya mapato ni vya "mashaka"Means umejipa usemaji wa watanzania toka lini?,uoga wako unakupelekea kuongelea small fish ila mapapa unaogopa, ndio maana upo kimya mlala hoi kufungwa 30yrs kwa kukutwa na si called nyama ya swala wakati mpigaji mkubwa wa tembo pale iringa ni tajiri mkubwa na wapumbavu wengine wanataka awe mbunge wa iringa, it's craze
Kwa vile ameitangaza nyumba yake kwenye vyombo vya habari, kuijadili siyo wivu. Bali kila mwenye akili sawa sawa lazima ajiulize maswali kuhusu vyanzo vya mapato yake.Point ni zilezile UKITOBOA utaambiwa UNALIWA yani mmejaa wivu kum*m*ke na Bado mtaumia sana...Mbaya zaidi wengi ni wanaume ndo wanaongoza kuonea wivu wanaume wenzio..Yani kama umepata muda wa kujadili Kipato cha mwanaume mwenzio na kukisimanga basi unatabia za KE au Bado unaumri mdogo sana
Ungewaita kwanza watu wa valuation kujiridhisha na hiyo value. Mwijaku ni mtu wa media, kelele mingi mingi zinaweza zisiwe na uhalisia.Usichanganye mambo yasiyofanana. Naongelea issue ya Mwijaku kumiliki nyumba ya thamani ya Tsh 1.3 Bilion wakati vyanzo vyake vya mapato ni vya "mashaka"
AiseeeeTako linalipiwa kodi siku hizi?
Maana inasemekana amejenga kwa malipo ya kutatuliw malinda
CCMtu yeyooote akiwa na sifa ya kuwa CHAWA maana yake yuko tayari kwa lolote kwa mpambe wake! Atakachoambiwa afanye atafanya! Kuwa container ya cocaine! Kutanuliwa malinda! Kuuwa! Kwa ufupi hakuna dhambi mbaya na maisha ghari kama kuwa CHAWA! Sasa wewe ni chawa na unamiliki mjengo kama uo! Nyumba ni kama mke ina gharama ya kuitunza! Hizo gharama utazimudu kwa hasara ya maisha yako!
Acheni izo bhana hii bongo watu wengi tu wanatoboa kwa janja janja. Uyo mwijaku alivyokua hana kitu mliziambia izo mamlaka zichunguze umasikini wake?Sina wivu na mafanikio ya mtu yeyote. Jana Mwijaku kazindua nyumba anayodai imegharimu Tsh 1.3 Bilioni. Mwijaku ni msanii wa bongo movie ambaye hivi karibuni amegeuka kuwa "CHAWA".
Sheria ya Mamlaka ya Mapato (TRA) inaruhusu kukagua mapato ya mtu yeyote au kampuni yeyote kujiridhisha kama analipa kodi kadri ya mapato yake.
View attachment 2863227
Wewe bado kuanzia fikra mpaka maishaNani kakuambia kuwa sina pesa? Eti unaniambia nitafute pesa. Halafu usiniambie hayanihusu kwa kuwa kusema hivyo ni UPUMBAVU.
HII issue ingekuwa haituhusu Watanzania basi Mwijaku mwenyewe asingeiweka public.
Anyway kwa uandishi wako tu inaonekana huna kisomo
Kujitoa ufahamu kama wa huyu jamaa siwezi kwa kweliMimi huyu jamaa nilimuona hazimo alivyojitoa ufahamu na kujizima data mpaka akatembelea makario heti anashangaa nyumba ya Ali kiba??? Kweli? Nyumba ya Ali Kiba ndo ya kumzuzua mtu? Anaishi Dar es Salaam hipi? Kila kona na mitaa ya Dar watu wana mahekaru ya kutisha! Huyu jamaa ni Chawa hila kwa uchawa niliouona kwa Ali Kiba imezidi!
Google search "mwijaku na nyumba ya Ali Kiba". Ni aibu!
Huyo Lucas mwashambwa atakuja kuliwa mkund* siku moja kwa tabia yake ya uchawa
NENDA kasome sheria ya Mamlaka ya Mapato kwanza haihusiki na kuchunguza maskini. Pili inaitwa Mamlaka ya Mapato na siyo Mamlaka ya MafukaraAcheni izo bhana hii bongo watu wengi tu wanatoboa kwa janja janja. Uyo mwijaku alivyokua hana kitu mliziambia izo mamlaka zichunguze umasikini wake?