Haifai kabisa mijitu isiyo amini ndoto zaoInabidi unichie number yako wakija kunisemelea unitatulie na Mimi bila mia!(jokes π
Ila all in all snitch sio mwana!
Umaskini mbaya sanaTRA should investigate all those who display money in the media and if they do ever pay any taxes. FIU should investigate how it was obtained.
Daaaaaah inaonyesha una roho ya hila na chuki mkuuuu........Sasa unawaelekeza TRA wakamfanyaje Sasa kama mtu ameamua kutumia hela yake kujenga ina maana amekosea nin jmn...........inauma Sana ukipata maendeleo afu mtu mmoja akatafuta namna ili ufilisiweSina wivu na mafanikio ya mtu yeyote. Jana Mwijaku kazindua nyumba anayodai imegharimu Tsh 1.3 Bilioni. Mwijaku ni msanii wa bongo movie ambaye hivi karibuni amegeuka kuwa "CHAWA".
Sheria ya Mamlaka ya Mapato (TRA) inaruhusu kukagua mapato ya mtu yeyote au kampuni yeyote kujiridhisha kama analipa kodi kadri ya mapato yake.
View attachment 2863227
KwaniniChawa hakaguliwi
Inaonyesha ana roho mbaya Sana aiseee..... mwijaku anajidhalilisha kwa makusudi ili mkono uende kinywani afu mjinga mmoja anaomba TRA wamkague.......this is shame aseMleta mada unaonekana maisha yamekupiga kinoma,
Umasikini huzaa chuki na roho ya korosho,
Pambana ujitoe kwenye dhiki,hiki ulichokileta hapa hakiwezi kukupa unafuu kwenye maisha yako binafsi,
muda haumsubiri mtu,angalia usije ukawapa watu kazi ya kukulea uzeeni mwako.
Mwijaku anaonekana kama dishi limeyumba ila amini domo lake linamuingizia pesa nyingi tu.Sina wivu na mafanikio ya mtu yeyote. Jana Mwijaku kazindua nyumba anayodai imegharimu Tsh 1.3 Bilioni. Mwijaku ni msanii wa bongo movie ambaye hivi karibuni amegeuka kuwa "CHAWA".
Sheria ya Mamlaka ya Mapato (TRA) inaruhusu kukagua mapato ya mtu yeyote au kampuni yeyote kujiridhisha kama analipa kodi kadri ya mapato yake.
View attachment 2863227