Tetesi: TRA Kitengo cha makadirio ya kodi ndio mnyama mkali na katili

Tetesi: TRA Kitengo cha makadirio ya kodi ndio mnyama mkali na katili

Hicho kitengo ni hovyo kabisakinakadiria kodi kutokana na mauzo ya jumla ikiwemo mtaji wa mtu, gharama za uendeshaji na mengineyo badala ya kukadiria kutokana na faida aipatayo mtu baada ya kutoa mtaji wake na gharama za uendeshaji kama umeme, kodi ya pango na wafanyakazi
 
Ujinga ulianza pale tulipokuwa kuwa tunasomewa mapato kila baada ya miezi kadhaa mkuu alipoona matirion alikuwa akifurah nakutuaminisha mambo n safi

Ukweli upo hivi kuna mtu wa kitengo kanipa info hizi mkuu anapokutana nao kwenye vikao huwa anawakazia wafanye chochote wanachoweza mapato yanongezeke na wao wamekuja kwa mtindo huu wa kukadiria juu ya kipato unachoingiza sasa mambo yakibackfire wahanga n wao maafisa wa Tra
Kifup mkuu akiwa mbele ya kamera anataka kuonyesha anatupenda Sana akiwa na hawa jamaa wa tra anawakolomea anataka mapato sasa wao wafanye nn zaidi ya kutukamua

Kuhusu mradi wa bagamoyo n unamapungufu yake lakn tunachotaka Watanzania watuwekee Watanzania tuusome asiishie tu kuukosoa ili tujiridhishe nasisi maana hata mradi wa stiggeler's gorge nao uwekwe wazi mkataba wake ili tujue ukweli hii yakuficha ficha mambo ndio inaleta kutoaminiana
 
Tatizo la watanzania wanataka kila kitu mpka wapewe na waletewe na pia awapendi kusoma kabisa yani kila kitu kiko wazi kuanzia madaraja ya kukadiriwa mpaka mpka tax table ambapo unaangalia income yako na kiasi cha kodi unachotakiwa kulipa pili.kama una mauzo yanayozidi milioni ishirini unatakiwa kujikadiria nasio ukadiriwe amabapo utatakiwa baada ya mwaka na ulete mahesabu yako ya biashara.Tatizo la wafanyabiashara awasomi sheria na sheria zipo hata kwenye mtandao wao kingine sis watanzia tunapenda kutupiana lawama ndo mana humu kwenye huu uzi kila mtu anasema kuna rafiki yangu sijui kuna mtu na sie yeye alienda sawa
Mh Rais ulisema jana watu wajilipuwe ila wengi walishindwa maana Uwenda kwa hasira ulio nayo juu ya uzembe na ubadhirifu kikao kingebadilika na unge weza hata taman upeleke mahakaman watu na adhabu yao iwe kunyongwa mpaka kufa.

Mh. Rais mambo kitengo cha makadirio na kile cha ukaguzi wa ndani wa mlipa kodi wanafanya nisawa nakuweka sumu ndani ya mto mkubwa ambao unategemewa na watu kwa maji yao binafsi na malisho. Kwa hakika Nadhan kile kitatokea ni kifo kwa kile kizazi na kansa zisizoisha. Yani kifo cha uchungu.

Mh. Rais watu wameumizwa, na watu wamefunga biasha baada tu yakukutana na mnyama mkali TRA kitengo cha makadirio. Wale jamaa ni wababe na wakishakuandikia makadirio yako kama Huna imani hata nyumbani hufiki.

Hivi kweli Unapomwambia mtu ukalipe figure hii na kam hutaki basi tutaonana. Anamanisha nini? Mh. Rais watu wamepata magonjwa ya moyo na wengine wamepoteza maisha.

Mbaya zaidi kile umekuona pale Kariakoo ndio Tanzania nzima mlipa kodi anavyopata shuruba. Unaweza fikiri wameambiwa wafanye hivyo au Wamepewa elimu moja tu kuwabambika watu makadirio ya juu ya kodi.

Kijana mmoja siku moja nilimkuta anasimulia yaliyomkuta alipoenda lipa kodi; jamaa alijaza form kwa uaminifu ila kichapo chake nadhani alijiuliza nifunge au nikimbie nchi? Huwezi kuamini kuna watu wamekimbia nchi kwa hii kodi, yani amepewa makadirio yake na ameyaona ni makubwa ameshikwa kabali lazima alipe mwisho mzee wa watu anaamua kula kona.

Wafanyabiashara wadogo ambao tungeweza kusanya hata laki laki na wapo tayari Wamepewa bils kubwa kiasi wengi wao wamefunga biashara.

Shida ipo wapi Labda?

Mh. Rais, tuna kizazi kina tamaa kuliko tamaa yenyewe. Yani kijana kwa muda mfupi anataka awe na maisha ya mtu aliyefanya kazi zaidi hata ya miaka 20. Jambo hili limewasukuma wengi kuwa magaidi na watu wasio kuwa msaada wa Taifa ila dhahma kwa Taifa.

Uwazi ktk kukokotoa makadirio ni mdogo sana, jambo ambalo watu wengi wanashindwa pambana na mnyama huyu mkali wa makadirio.

Elimu kwa mlipa kodi bado ni shida. Na hili ni lazima niseme mlipa kodi anapewa elimu ya Kwanini alipe kodi ila sio analipaje kodi na apambane vipi kujitetea asiumizwe na huyu mnyama mkali (TRA kitengo cha makadirio).

Rushwa iliyoota mapembe: Mkuu hapa asikudanganye mtu, yaani kama kuna taasisi Rushwa imewashinda ni TRA. Why? Ni kwa sababu hakuna anachopata mtoa taarifa sana sana wakikujua ndio wanakufilisi kabisa na hamna njia nzuri za kupeleka malalamiko kwa siri na yakafanyiwa kazi. Wanaokula Rushwa ambao ni maafisa wa TRA ukikaa hata kwenye vijiwe wanajulikana, ila sasa kwakuwa hakuna njia salama na maafisa wengine wanajua kula na wenzao hili limekuwa shida kuwaondoa.

TRA kama TRA kuwa taasisi inayofanana na JKT au TISS badala ya kuwa taasisi ya kuwajali wateja wao maana mlipa kodi ni mteja kama wateja wengine na ni mtu wa thamani sana kwa taifa. Kwanini anachukuliwa kama muhalifu au jambazi pindi anaingia ktk ofisi ya TRA? Ikumbukwe mataifa mengine mlipa kodi ni mfalme kiasi kila raia ana akaunti na TRA kama sehemu ya kuonyesha returns zake na kupata refunds.

TRA kutokuwa na muundo wa kisasa na udhibiti wa ndani ulio na kazi za ndani tu pasipo kutoka nje. Mfano ni kwanini auditor asafiri aje amkabe mteja X kwa kulipa kodi while kuna wahusika ktk Wilaya ile na mbaya zaidi akifika anaanza kusema huyu kapendelewa na kumuadhibu mteja badala ya kumuadhibu mfanya makadirio? Mimi nadhani wakaguzi wangewaadhibu watu wa ndani badala ya wateja, heshima na adabu ingekuwepo. Yaani siku hizi wilayani unakuta maofisa from mkoani HQ wamekuja na unaambiwa kabisa hawa wamekuja kukusanya za sikukuu; Yaani ina maana TRA kuna kitu hakipo sawa.

Ukaaji wa maofisa TRA ktk eneo moja na kuwa mabwana badala ya watumishi wa watu ikumbukwe afisa wa TRA ni mtumishi wa umma Wala sio vingine hivyo waishi utumishi wao.

Mifumo ya kutoa taarifa iwe ya siri zaidi kuweza kuwataja hawa wanyama wakali ndani ya TRA. Ikumbukwe sio wote ni maofisa wabaya ila wachache ni wakatili sana.

Mkuu usiishie kutengua ila ni muda muafaka kuisafisha TRA maana wamefanya jambo baya sana kuwanyanyasa raia wenzao ktk ofisi za serikali bila sababu yoyote.

Muda umefika kuimulika TRA kwa jicho la tatu na kuweka mdhibiti ndani ya TRA au kuongeza Uwazi zaidi na kuondoa vikwazo na urasimu. Naamini inawezekana kwanini ni TRA yetu tu kwani wenzetu wanafanyeje? Na kwanini tushindwe?

Mwisho hizi ni tetesi na maoni unaweza kuchunguza kwa kupata ukweli.

Asante
Kwanini neno ' kukadiria kodi'?

Tengeneza formula ambayo ni rahisi ambyo mfanyabiashara anaweza kuitumia kujua kiasi Cha kodi anachodaiiwa.

Kitengo Cha IT, Develop app then wafanyabiashara witumie kujikadiria na kulipa Kodi.

Vunja kitengo Cha ‘kukadiria kodi' weka kitengo Cha kuhakiki, tengeneza mfumo ambao si rahisi kwa watumishi wa chini kukutana na wafanyabiashara moja kwa moja
 
Kuna jamaa mpuuzi mmoja anaitwa Makune pale Kahama kawalostisha wengi sana kwa kuwakomoa kwa kodi kubwa kubwa nashangaa kwa nini hawakumtaja[emoji26]
 
Mh Rais ulisema jana watu wajilipuwe ila wengi walishindwa maana Uwenda kwa hasira ulio nayo juu ya uzembe na ubadhirifu kikao kingebadilika na unge weza hata taman upeleke mahakaman watu na adhabu yao iwe kunyongwa mpaka kufa.

Mh. Rais mambo kitengo cha makadirio na kile cha ukaguzi wa ndani wa mlipa kodi wanafanya nisawa nakuweka sumu ndani ya mto mkubwa ambao unategemewa na watu kwa maji yao binafsi na malisho. Kwa hakika Nadhan kile kitatokea ni kifo kwa kile kizazi na kansa zisizoisha. Yani kifo cha uchungu.

Mh. Rais watu wameumizwa, na watu wamefunga biasha baada tu yakukutana na mnyama mkali TRA kitengo cha makadirio. Wale jamaa ni wababe na wakishakuandikia makadirio yako kama Huna imani hata nyumbani hufiki.

Hivi kweli Unapomwambia mtu ukalipe figure hii na kam hutaki basi tutaonana. Anamanisha nini? Mh. Rais watu wamepata magonjwa ya moyo na wengine wamepoteza maisha.

Mbaya zaidi kile umekuona pale Kariakoo ndio Tanzania nzima mlipa kodi anavyopata shuruba. Unaweza fikiri wameambiwa wafanye hivyo au Wamepewa elimu moja tu kuwabambika watu makadirio ya juu ya kodi.

Kijana mmoja siku moja nilimkuta anasimulia yaliyomkuta alipoenda lipa kodi; jamaa alijaza form kwa uaminifu ila kichapo chake nadhani alijiuliza nifunge au nikimbie nchi? Huwezi kuamini kuna watu wamekimbia nchi kwa hii kodi, yani amepewa makadirio yake na ameyaona ni makubwa ameshikwa kabali lazima alipe mwisho mzee wa watu anaamua kula kona.

Wafanyabiashara wadogo ambao tungeweza kusanya hata laki laki na wapo tayari Wamepewa bils kubwa kiasi wengi wao wamefunga biashara.

Shida ipo wapi Labda?

Mh. Rais, tuna kizazi kina tamaa kuliko tamaa yenyewe. Yani kijana kwa muda mfupi anataka awe na maisha ya mtu aliyefanya kazi zaidi hata ya miaka 20. Jambo hili limewasukuma wengi kuwa magaidi na watu wasio kuwa msaada wa Taifa ila dhahma kwa Taifa.

Uwazi ktk kukokotoa makadirio ni mdogo sana, jambo ambalo watu wengi wanashindwa pambana na mnyama huyu mkali wa makadirio.

Elimu kwa mlipa kodi bado ni shida. Na hili ni lazima niseme mlipa kodi anapewa elimu ya Kwanini alipe kodi ila sio analipaje kodi na apambane vipi kujitetea asiumizwe na huyu mnyama mkali (TRA kitengo cha makadirio).

Rushwa iliyoota mapembe: Mkuu hapa asikudanganye mtu, yaani kama kuna taasisi Rushwa imewashinda ni TRA. Why? Ni kwa sababu hakuna anachopata mtoa taarifa sana sana wakikujua ndio wanakufilisi kabisa na hamna njia nzuri za kupeleka malalamiko kwa siri na yakafanyiwa kazi. Wanaokula Rushwa ambao ni maafisa wa TRA ukikaa hata kwenye vijiwe wanajulikana, ila sasa kwakuwa hakuna njia salama na maafisa wengine wanajua kula na wenzao hili limekuwa shida kuwaondoa.

TRA kama TRA kuwa taasisi inayofanana na JKT au TISS badala ya kuwa taasisi ya kuwajali wateja wao maana mlipa kodi ni mteja kama wateja wengine na ni mtu wa thamani sana kwa taifa. Kwanini anachukuliwa kama muhalifu au jambazi pindi anaingia ktk ofisi ya TRA? Ikumbukwe mataifa mengine mlipa kodi ni mfalme kiasi kila raia ana akaunti na TRA kama sehemu ya kuonyesha returns zake na kupata refunds.

TRA kutokuwa na muundo wa kisasa na udhibiti wa ndani ulio na kazi za ndani tu pasipo kutoka nje. Mfano ni kwanini auditor asafiri aje amkabe mteja X kwa kulipa kodi while kuna wahusika ktk Wilaya ile na mbaya zaidi akifika anaanza kusema huyu kapendelewa na kumuadhibu mteja badala ya kumuadhibu mfanya makadirio? Mimi nadhani wakaguzi wangewaadhibu watu wa ndani badala ya wateja, heshima na adabu ingekuwepo. Yaani siku hizi wilayani unakuta maofisa from mkoani HQ wamekuja na unaambiwa kabisa hawa wamekuja kukusanya za sikukuu; Yaani ina maana TRA kuna kitu hakipo sawa.

Ukaaji wa maofisa TRA ktk eneo moja na kuwa mabwana badala ya watumishi wa watu ikumbukwe afisa wa TRA ni mtumishi wa umma Wala sio vingine hivyo waishi utumishi wao.

Mifumo ya kutoa taarifa iwe ya siri zaidi kuweza kuwataja hawa wanyama wakali ndani ya TRA. Ikumbukwe sio wote ni maofisa wabaya ila wachache ni wakatili sana.

Mkuu usiishie kutengua ila ni muda muafaka kuisafisha TRA maana wamefanya jambo baya sana kuwanyanyasa raia wenzao ktk ofisi za serikali bila sababu yoyote.

Muda umefika kuimulika TRA kwa jicho la tatu na kuweka mdhibiti ndani ya TRA au kuongeza Uwazi zaidi na kuondoa vikwazo na urasimu. Naamini inawezekana kwanini ni TRA yetu tu kwani wenzetu wanafanyeje? Na kwanini tushindwe?

Mwisho hizi ni tetesi na maoni unaweza kuchunguza kwa kupata ukweli.

Asante
Hawa jamaa ni watu wanyama sana. Wanataka kunifungia biashara kwa makadirio ambayo biashara yangu kamwe haiwezi kulipa.
Wanadai rushwa. Hawa jamaa kusema kweli lazima sasa washughulikiwe. Lakini sio peke yao. Wanatumwa na hao senior managers
 
Hicho kitengo ni hovyo kabisakinakadiria kodi kutokana na mauzo ya jumla ikiwemo mtaji wa mtu, gharama za uendeshaji na mengineyo badala ya kukadiria kutokana na faida aipatayo mtu baada ya kutoa mtaji wake na gharama za uendeshaji kama umeme, kodi ya pango na wafanyakazi
Wamejua kwamba tumejua ndiyo maana waziri wa fedha amkiri kwamba kuna haja ya kufanya mabadiriko yaani kumbe ujanja waliokuwa wanautumia mmeujua na hawana jinsi bali kucheza kwenye ngoma yenu ila siyo kulala na kuamka ''It will take time''
 
Kuna jamaa mpuuzi mmoja anaitwa Makune pale Kahama kawalostisha wengi sana kwa kuwakomoa kwa kodi kubwa kubwa nashangaa kwa nini hawakumtaja[emoji26]

Labda RC wa huko alishirikiana na TRA ya huko kuchuja majina ya Wafanyabiashara wa kwenda Ikulu
 
Tatizo ni matajiri kufanywa chochote, tunasahau ukiwa unakamua punda usipigie mwanae.
 
Cha ajabu hao wakadiriaji ukiwaambia bado sina uzalishaji wowote kwa sasa ni ukusanyaji rasilimali hawataki hata kukuongoza kujaza "nill return". Wako radhi wakuelekeze kwa washauri wao mitaani ukajazie huko ili wagaiwe chochote kwa fedha utakayolipia huduma hiyo. Wakadiriaji Mungu Anawaona!
 
Tangu zama za kale mtoza ushuru ameandikwa kwenye maandiko matakatifu ni watu wahatari na wengi wao ni wadhulumaji
 
Awamu zilizopita TRA ilikuwepo ila haya hatukuwahi kuyasikia.sasa tatizo liko wap?
walikuwa wanakula kwa urahisi sasa alipo ingia mkubwa kaziba kila eneo inabidi wamuumize mteja why kuna watu walitoa rushwa ila same wakajikuta wanlipa same walichokitolea rushwa sasa wafanyabiashara walipo hamia kulipa kodi nakutotoa rushwa ndio machungu wanayapata
 
Kufungia biashara za watu kwa hila ni kosa la uhujumu uchumi. Kama biashara zikifungwa, kodi zinapatikanaje?
Tuende mbali kwenye kuhakikisha haki za wote zinalindwa. Kama kuna waliokuwa wanatumia nafasi zao za kuwa TRA kunyanyasa wafanyabiashara kwa kudai na kupokea rushwa, nao wawajibike. Kila mtu apimwe kama anachomiliki kinaendana na kipato chake. Vinginevyo hili tatizo halitaondoka
 
walikuwa wanakula kwa urahisi sasa alipo ingia mkubwa kaziba kila eneo inabidi wamuumize mteja why kuna watu walitoa rushwa ila same wakajikuta wanlipa same walichokitolea rushwa sasa wafanyabiashara walipo hamia kulipa kodi nakutotoa rushwa ndio machungu wanayapata

Namkubali sana JPM. Maana jamaa walijisahau sana. Walifikiri ni untouchables
Jumba bovu limewaangukia. Kila mtu atabeba furushi lake asepe fasta
 
Mfanyabiashara wa kati na wachini hana weekend wala sikukuu hila watoto wadogo wasio na uzoefu hata wakuuza pipi wanakadiria kwa kukomoa.
 
Kama kunamtu anadhani Rais au TRA watabadilisha namna ya kumkamua mfanyabiashara asahau,,
 
Back
Top Bottom