Tetesi: TRA Kitengo cha makadirio ya kodi ndio mnyama mkali na katili



Umesema kuwapa wakusanya kodi nguvu ya wenyewe kuwa wakadiriaji ni tatizo. Kodi zinatakiwa ziendane na risiti za mauzo itapunguza rushwa
 
Alafu atakuja mjinga mjinga atakuambia biashara zilizokufa ni za wapiga dili,,ukweli ni kwamba TRA sio rafiki wa mfanyabiashara,TRA iangaliwe kwa jicho la tatu,serikali inapata lawama nyingi kutoka kwa wafanya biashara kwasababu ya ujinga wa TRA.
 

Maslai yako yameguswa siku hizi umekuwa Na akili,umepata jibu sasa Ben 8 Na TL uliowaumiza hawakustahili
 
Kodi 1m kwa mwaka, ili ulipe chini ya hapo kulingana na kujitetea kwako anakwambia rekebisha laki4 ili ulipe laki5 kwa mwaka...hawa jamaa ni funza ndani ya miili ya watu
 
Kuwasingizia TRA Na Matrafiki walivotugeuza ng'ombe wa maziwa ni kuwaonea wao wao ni loudspeakers tu.Wamekuwepo awamu hata zilizopita kwann walaumiwe awamu hii. Wao wanatii maagizo ya ilani ya Kusomesha watu no ili waishi kama mashetani.
 
Mm inaniuma sana kukamuliwa kodi then watetezi wa wanyonge wakiishi kama malaika Kwa kodi yangu,wanamiliki Magari makali,mijengo hatari Kwa kodi yangu,ambao hata nipige kazi miaka 1000 siwafikii
 
Mtanzania Leo anakwenda nunua bidhaa mfano nguo Uganda bei nafuu hali zinapita bandarini kwetu,Zambia dizeli Lita sh 1200 Na yanapita bandarini kwetu,kulipia ushuru wa GARI Tz ni ghali kuliko gharama ya kutengeneza GARI Japan. Thus tunanunua second end nikiichoka namuuzia mwingine hivo hivo mafundi wote mjini washakorokochoa.Wenzetu GARI ikisumbua wanauza screpa.Kodi kubwa makusanyo kiduchu,wenzetu kodi ndogondogo kidogo Lkn wanakusanya kingi mara kumi zaidi yetu,kodi ikiwa kidogo ni aibu kuikwepa siwezi kimbizana Na TRA talipa,ikiwa kubwa lzm tukutane bar tuyajenge,matokeo yako serikali inakosa kodi.
 
Huenda wanaamriwa kukusanya kiasi kikubwa kutoka kwa wafanyabiashara na ndio maana mwisho wa siku wao wanafukuzwa na wakubwa wanabakishwa

Wawatue mizigo matrafiki pia wanawapa malengo makubwa sana Kwa siku thus trafiki akikukosa Na kosa ananuna.Wanakwenda speed sana wamejikita kwenye kukusanya zaidi kuliko kuelimisha ili watimize malengo,
 
Hawa jamaa wako na mbinu nyingi...biashara zao hazitumii majina yao...kama ni pesa wanapokea ofisini na sio nje...wako na bahasha zao kama hukuwa na bahasha ulikotoka....yaani basi tu jamani
 
TRA wakiweka system ya kueleweka mianya ya Rushwa automatically itapungua, kama serikali walivyofanya uhamiaji kwenye utoaji wa passport mpya, kila kitu ni system unakutana na immigration officer kwenye finger print na kuverify forms hiyo rushwa wataomba saa ngapi

Tatizo serikali yetu wapo too manual ndio maana Rushwa haziwezi kuisha

By the way wakiweka system za kueleweka kwenye idara za serikali mambo yataenda faster hata Idadi ya wafanyakazi itapungua mishaara na posho wanazolipwa for doing nothing zitaenda kujenga Taifa
 
Kinachonishangaza ni kwa nini tukadirie badala ya kuwa na mfumo wa kukadiria ambao huwapa nafasi hawa wafanyabiashara kuwabambikia kesi wafanyabiashara ili baadaye wawadai rushwa.
 
They're not being "facilitators" as they say they are.
Wawatue mizigo matrafiki pia wanawapa malengo makubwa sana Kwa siku thus trafiki akikukosa Na kosa ananuna.Wanakwenda speed sana wamejikita kwenye kukusanya zaidi kuliko kuelimisha ili watimize malengo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…