DOKEZO TRA, kodi za kuingiza Magari ni kichefuchefu kwa Wananchi

DOKEZO TRA, kodi za kuingiza Magari ni kichefuchefu kwa Wananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

chotera

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
6,560
Reaction score
15,864
Narudia kuandika tena,

Ifikie hatua muwe waelewa huwezi kujifanya una calculator ya kodi kwenye magari ambapo kodi yenyewe unatoza asilimia 80% hadi 100% ya manunuzi hii sio sawa.

Kwa mikodi yenu mikubwa ndio maana hamuwezi mkawa na walipa kodi wengi.

Mkumbuke kodi kubwa inawafanya kuathiri biashara ya mafuta kwa ujumla, biashara ya vipuri.

Hakuna sababu ya kodi asilimia 80 hadi 100 wakati ndani ya nchi hatuna uzalishaji wa magari au viwanda vya magari hakuna na kodi inakua ya kuumiza sio sawa.

Kweli mtanzania anunue gari dola 5000 kodi apigwe dola 4000 hadi 5000 halafu mtakuja na formular zenu za ajabu ajabu aibu sana hii.

Uchumi hauwezi ukakua kwa mtindo huo muelewe magari ni kifaa au chombo kinachorahisisha kuinua uchumi kwa namna moja au nyingine.

* Bandari Kuwepo Tanzania haimsaidii nafuu ya maisha mtanzania, kila bidhaa iko juu viongozi sio wabunifu wapo wapo tu.
 
Hii nchi yetu vitu vingi unaweza kudhani vinafanyika kwa lengo la kutukomoa kabisa

Yaani kuingiza gari hapa kwetu ni kama kufanya anasa kabisa na sio usafiri

Ukiandaa 10M kuagiza kigali basi uandae 10M ya kodi, kama vile hatuna bandari yetu

Tumekuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe
 
Hii nchi yetu vitu vingi unaweza kudhani vinafanyika kwa lengo la kutukomoa kabisa

Yaani kuingiza gari hapa kwetu ni kama kufanya anasa kabisa na sio usafiri

Ukiandaa 10M kuagiza kigali basi uandae 10M ya kodi, kama vile hatuna bandari yetu

Tumekuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe
Weka akilini, lengo la TRA ni kuchukua 90%-110% ukiagiza gari hakikisha hela ulio nayo kama balance inafika 110% ya ile uliolipa Japan.
 
Bandari ya Tanzania wanufaika wakubwa kuhusu kupata gari nzuri ni Nchi jirani ila sio Watanzania maana tunatumia gari chakavu sana kutokana na gari zenye miaka ya karibuni kuwa na kodi kubwa na tusiyoweza kulipa kwa kipato chetu...viongozi mnafurahia kuona IT nyingi nzuri kuliko gari zinazobaki hapa maana Tanzania pana kodi ya Railway Levy toka miaka hiyo wakati hakuna hata Reli inayokarabatiwa au kujengwa na vipengele vingine vingi tu ili mradi kuwaibia Wananchi harafu hamtaki matumizi ya Dollar wakati ninyi server yenu ni usd mwanzo mwisho ndio mmetupakia rangi ya Tsh ili kutukamua vizuri..
 
Bandari ya Tanzania wanaufaika wakubwa kuhusu kupata gari nzuri ni Nchi jirani ila sio Watanzania maana tunatumia gari chakavu kutokana na gari zenye miaka ya karibuni kuwa na kodi kubwa sana...viongozi mnafurahia kuona IT nyingi ni nzuri kuliko zinazobaki Tanzania pana kodi ya Railway Levy toka miaka hiyo wakati hakuna hata Reli inayokarabatiwa au kujengwa..

Inasikitisha sana ukiona waganda, wazambia, wacongoman, wanyarwanda, vyuma wanavyosukuma uje ulinganishe na matajiri wenye bandari utacheka tu na kusikitika
 
Weka akilini, lengo la TRA ni kuchukua 90%-110% ukiagiza gari hakikisha hela ulio nayo kama balance inafika 110% ya ile uliolipa Japan.

Hesabu madini yote, mbuga za wanyama, fukwe zote, uvuvi, mifugo, ardhi yenye rutba bado bidhaa ziko juu wakati Tanzania ilikua iwe kituo kizuri cha biashara na bidhaa zipatikane kwa bei rafiki lakini sasa wana maajabu hawa watu uchumi waliosomea ni waujinga kabisa ndio maana nchi kila leo maskini afadhali ya jana
 
Inasikitisha sana ukiona waganda, wazambia, wacongoman, wanyarwanda, vyuma wanavyosukuma uje ulinganishe na matajiri wenye bandari utacheka tu na kusikitika
Tusharogwa tupo busy na vigari vidogo vidogo na vya zamani kisa kodi kubwa...inaumiza sana wakati sokoni used nyingi hazina bei kubwa tatizo kodi tuu
 
Tupaze sautu zetu katika hili kwa pamoja.. Together we can.

Kama kila mwana JF akikopi ujumbe huu na kuu-share katika ma-group yake ya WhatsApp, au katika mitandao mingine ya kijamii, naamini basi kelele hizi zitamfikia Bi mkubwa pale Magogoni au Chamwino ikulu.
Narudia kuandika tena,
Ifikie hatua muwe waelewa huwezi kujifanya una calculator ya kodi kwenye magari ambapo kodi yenyewe unatoza asilimia 80% hadi 100% ya manunuzi hii sio sawa.

Kwa mikodi yenu mikubwa ndio maana hamuwezi mkawa na walipa kodi wengi.

Mkumbuke kodi kubwa inawafanya kuathiri biashara ya mafuta kwa ujumla, biashara ya vipuri.

Hakuna sababu ya kodi asilimia 80 hadi 100 wakati ndani ya nchi hatuna uzalishaji wa magari au viwanda vya magari hakuna na kodi inakua ya kuumiza sio sawa.

Kweli mtanzania anunue gari dola 5000 kodi apigwe dola 4000 hadi 5000 halafu mtakuja na formular zenu za ajabu ajabu aibu sana hii.

Uchumi hauwezi ukakua kwa mtindo huo muelewe magari ni kifaa au chombo kinachorahisisha kuinua uchumi kwa namna moja au nyingine.
* Bandari Kuwepo Tanzania haimsaidii nafuu ya maisha mtanzania, kila bidhaa iko juu viongozi sio wabunifu wapo wapo tu.
 
Hii nchi yetu vitu vingi unaweza kudhani vinafanyika kwa lengo la kutukomoa kabisa

Yaani kuingiza gari hapa kwetu ni kama kufanya anasa kabisa na sio usafiri

Ukiandaa 10M kuagiza kigali basi uandae 10M ya kodi, kama vile hatuna bandari yetu

Tumekuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe

Fikra za kijamaa zinaua uchumi wetu hawana tena ubunifu wapo wapo tu wakiambiwa wanatoa macho kama panya
 
Tupaze sautu zetu katika hili kwa pamoja.. Together we can.

Kama kila mwana JF akikopi ujumbe huu na kuu-share katika ma-group yake ya WhatsApp, au katika mitandao mingine ya kijamii, naamini basi kelele hizi zitamfikia Bi mkubwa pale Magogoni au Chamwino ikulu.

Tupaze sauti tunaumizwa na tuko kimya hawa tukiwachekea watatuua kabisa
 
Inasikitisha SANA. Watanzania tunaishi kama mashetani yani...
Bandari ya Tanzania wanaufaika wakubwa kuhusu kupata gari nzuri ni Nchi jirani ila sio Watanzania maana tunatumia gari chakavu kutokana na gari zenye miaka ya karibuni kuwa na kodi kubwa sana...viongozi mnafurahia kuona IT nyingi ni nzuri kuliko zinazobaki Tanzania pana kodi ya Railway Levy toka miaka hiyo wakati hakuna hata Reli inayokarabatiwa au kujengwa..
Ukiwa Tunduma unashuhudia lundo la gari nzuri nzuri za aina tofauti tofauti na hizi yebo yebo zetu tulizozizoea kuziona hapa bongo zikivuka boda kwenda nchi jirani.
 
Back
Top Bottom