DOKEZO TRA, kodi za kuingiza Magari ni kichefuchefu kwa Wananchi

DOKEZO TRA, kodi za kuingiza Magari ni kichefuchefu kwa Wananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mie naweza nikaongea lugha nyingine ya kitalaamu kuwa why Kodi kubwa. Inawezakana serikali Ina discourage private ownership ya vehicles ,why Ina discourage?

Sababu ya barabara aka level of services like A,B,C,D,E and F. Sasa uwezo wa serikali kujenga road Kama ya kiwango Cha LoS A Ni gharama mno yaani mno kwanza hatuna uwezo.

Wakiweks ushuru chini gari zitajazana road mno itapelekea tutakuwa na LoS E or F ambayo utakuwa unasafiri hata km 200 kwa saa nne badala ya mbili ama tatu.

Kuna namna ya watu husika ama mamlaka ku discourage kila nzi kumiliki gari like kuanzisha toll roads, high parking fees, muda huo huo inatakiwa public transportation iwe nzuri kinyama ndicho inachojitahidi kwa DART sema Naona wanashindwa Mana bado Ni karaha kwa wwsafiri.
Hebu waza gari moja inabeba watu mbili na je hao Mia mbili kila mmoja angekuwa na gari lake huko road kungekuwaje.

Nchi yetu ama zetu unapoambiwa Ni masikini Ni ukweli Mana ukitaka ushuru uwe chini mno hata 20% ya Bei uliyonunulia.

Inatakiwa tuwe mpaka na njia nane ama multi lanes roads, hii road unajua inaweza jengwa kwa Bei gani tutajiuza mpaka sie utumwani ndipo tujenge hii roads Mana madini Kuna watu wanakula perse mpaka vizazi vyao. Labda magufuli angeipokea nchi tokea kwa nyerere akomae na mwendo ule ule nchi iwe na hela na akae madarakani mpaka muda huu yaani zaidi ya miaka 50 ndipo tungeweza Ila kwa Hali hii bwawa linacheleweshwa ili watu wauze gesi zao Mana Wana hisa sio leo tusubirie kwanza.

Na tumeambiwa kuwa kuni na mkaa unaleta mapafu homa sijui Nini tutumie gesi ili kuwanenepesha akaunti zao,yaani we are like fodders to feed their bank accounts for their incoming generation.

Wakati miaka takribani Bilioni na mabilioni binadamu amekuwa alitumia kuni na mkaa.

Ila Sasa huyu kisa kiongozi anajua kuwa tunamuona Kama Mungu ana akili Sana kuliko yeyote. Kuna muda tajiri anawaza kuwa masikini Hana akili kabisa kisa ya yeye kumiliki pesa Ila sio wote lakini yaani Kuna watu wale wenye dharau.

Samahani kwa kuwachanganyia maada jamani tozo zimetuvuruga kinyama yaani huyu maza inabidi nimtumie maza alfu kumi kwa Basi Mana kwa tozo atapokea Kama alfu tano ya kutuma na kutolea.

Mana mchumia tumbo degree 12 Hana uwezo wa kuzalisha vyanzo vya uchumi ama uwekezeji ili akusanye Kodi Bali anacheki Ni wapi pa kukwapua huyu asiwe nacho kabisa.

Kama sio kuwa wanatengeneza tatizo halafu wanalitatua ili watt wamkubali baba na mama kuwa wako nondo I don't know.
Kama walivyoua reli ya Arusha wakaja wakaifufua wakajisifu kwa wananchi kuwa Ni wajanja nipeni mrija nizidi kuwannyonya damu mbakie skeletons...

I am lost
 
Nilishangaa jamaangu mmoja Mzambia aliagiza Scania Horse Truck ya 2016 ilikua 2020 alilipa kodi haikuzidi hata 12 m ya kitanzania hapo Malawi maroli kodi hazizidi 9m ya kitanzania juzi kati niliuliza eti kuagiza fusso tipper inafika 75m mpaka 85m maana kodi yake imeongezeka hizo fusso zenyewe ni tani 4 kwenye kadi tunaacha kuagiza gari za kubeba mizigo za ukweli kisa kodi yaani ni kama tunajifungia fursa nzuri wenyewe...

Tanzania kutokana na bandari kuwepo na mazao matruck mngepunguza kodi ili mpate kodi kwenye mafuta maana bado pana uhitaji mkubwa sana wa kusafirisha bidhaa kwenda Nchi jirani...
 
Nilishangaa jamaangu mmoja Mzambia aliagiza Scania Horse Truck ya 2016 ilikua 2020 alilipa kodi haikuzidi hata 12 m ya kitanzania hapo Malawi maroli kodi hazizidi 9m ya kitanzania juzi kati niliuliza eti kuagiza fusso tipper inafika 75m mpaka 85m maana kodi yake imeongezeka hizo fusso zenyewe ni tani 4 kwenye kadi tunaacha kuagiza gari za kubeba mizigo za ukweli kisa kodi yaani ni kama tunajifungia fursa nzuri wenyewe...
Tanzania kutokana na bandari kuwepo na mazao matruck mngepunguza kodi ili mpate kodi kwenye mafuta maana bado pana uhitaji mkubwa sana wa kusafirisha bidhaa kwenda Nchi jirani...

Kodi kubwa za trucks zimeua biashara kwa sasa wamalawi, zambia, Rwanda, Burundi, plus congo wana malori yao mengi ya mizigo ni mengi na ajira za watanzania kwisha habari yake ushindani hatutouweza kwenye usafiri miaka ijayo michahe ndio maana unaona wajanja wanakua watanzania anaenda kusajili gari zake uganda au zambia au malawi walau akimbizane kiushindani maana bila akili hawa watu unafilisika mapema .
 
Hesabu madini yote, mbuga za wanyama, fukwe zote, uvuvi, mifugo, ardhi yenye rutba bado bidhaa ziko juu wakati Tanzania ilikua iwe kituo kizuri cha biashara na bidhaa zipatikane kwa bei rafiki lakini sasa wana maajabu hawa watu uchumi waliosomea ni waujinga kabisa ndio maana nchi kila leo maskini afadhali ya jana
Ndio madhara ya akili ndogo kuwa mbele alafu kubwa nyuma
 
Mie naweza nikaongea lugha nyingine ya kitalaamu kuwa why Kodi kubwa. Inawezakana serikali Ina discourage private ownership ya vehicles ,why Ina discourage?
Sababu ya barabara aka level of services like A,B,C,D,E and F. Sasa uwezo wa serikali kujenga road Kama ya kiwango Cha LoS A Ni gharama mno yaani mno kwanza hatuna uwezo.

Wakiweks ushuru chini gari zitajazana road mno itapelekea tutakuwa na LoS E or F ambayo utakuwa unasafiri hata km 200 kwa saa nne badala ya mbili ama tatu.


.Kuna namna ya watu husika ama mamlaka ku discourage kila nzi kumiliki gari like kuanzisha toll roads, high parking fees, muda huo huo inatakiwa public transportation iwe nzuri kinyama ndicho inachojitahidi kwa DART sema Naona wanashindwa Mana bado Ni karaha kwa wwsafiri.
Hebu waza gari moja inabeba watu mbili na je hao Mia mbili kila mmoja angekuwa na gari lake huko road kungekuwaje.



Nchi yetu ama zetu unapoambiwa Ni masikini Ni ukweli Mana ukitaka ushuru uwe chini mno hata 20% ya Bei uliyonunulia.

Inatakiwa tuwe mpaka na njia nane ama multi lanes roads, hii road unajua inaweza jengwa kwa Bei gani tutajiuza mpaka sie utumwani ndipo tujenge hii roads Mana madini Kuna watu wanakula perse mpaka vizazi vyao. Labda magufuli angeipokea nchi tokea kwa nyerere akomae na mwendo ule ule nchi iwe na hela na akae madarakani mpaka muda huu yaani zaidi ya miaka 50 ndipo tungeweza Ila kwa Hali hii bwawa linacheleweshwa ili watu wauze gesi zao Mana Wana hisa sio leo tusubirie kwanza.

Na tumeambiwa kuwa kuni na mkaa unaleta mapafu homa sijui Nini tutumie gesi ili kuwanenepesha akaunti zao,yaani we are like fodders to feed their bank accounts for their incoming generation.

Wakati miaka takribani Bilioni na mabilioni binadamu amekuwa alitumia kuni na mkaa.

Ila Sasa huyu kisa kiongozi anajua kuwa tunamuona Kama Mungu ana akili Sana kuliko yeyote. Kuna muda tajiri anawaza kuwa masikini Hana akili kabisa kisa ya yeye kumiliki pesa Ila sio wote lakini yaani Kuna watu wale wenye dharau.



Samahani kwa kuwachanganyia maada jamani tozo zimetuvuruga kinyama yaani huyu maza inabidi nimtumie maza alfu kumi kwa Basi Mana kwa tozo atapokea Kama alfu tano ya kutuma na kutolea.

Mana mchumia tumbo degree 12 Hana uwezo wa kuzalisha vyanzo vya uchumi ama uwekezeji ili akusanye Kodi Bali anacheki Ni wapi pa kukwapua huyu asiwe nacho kabisa.

Kama sio kuwa wanatengeneza tatizo halafu wanalitatua ili watt wamkubali baba na mama kuwa wako nondo I don't know.
Kama walivyoua reli ya Arusha wakaja wakaifufua wakajisifu kwa wananchi kuwa Ni wajanja nipeni mrija nizidi kuwannyonya damu mbakie skeletons...




Am lost
Mkuu umeongea point tupu lkn kwenye swala barabara nafikiri km kungekua na system nzuri ya ukasanyaji Kodi na Kodi iwe ya Hali sio hii ya kukomoana barabara zingejengwa vzr mbona jiwe alionyesha kuwa kuna uwezekano.TRA kwa kweli Kodi ni pasua kichwa kabisa
 
Back
Top Bottom