wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,046
- 2,453
Bora wakati wa mkoloni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzalendo huyo huyo anatumia gari mln 500,mzalendo huyo huyo anawaminya wengine lkn yeye anaishi
Kibepari
Ova
Bora wakati wa mkoloni
Hizi kodi si wanakomeshwa CHADEMA tu? Huko CCM si ni mbele kwa mbele jamani? Imekuaje tena?
You gotcha keep it up fuckn cool nigaYou nailed it,got the same point of view
Kuna point nimeongea Kama jiwe angeipokea from kwa nyerere halafu akae madarakani for almost 50yrs Mana angeifanya hii nchi iwe Kama Libya ya Muammar GaddafiMkuu umeongea point tupu lkn kwenye swala barabara nafikiri km kungekua na system nzuri ya ukasanyaji Kodi na Kodi iwe ya Hali sio hii ya kukomoana barabara zingejengwa vzr mbona jiwe alionyesha kuwa kuna uwezekano.TRA kwa kweli Kodi ni pasua kichwa kabisa
All of that are shitImport duty
Excise duty
Excise duty due to age
VAT
Etc etc
Mbunge wa darasa la7: si ndio hao mawaziri hata awe na degree bila kujitofautisha ni walewalemkuu mtoa mada tatizo sio TRA..wao wanafata sheria iliyopitishwa na wabunge katika kutoza kodi..mwambie mbunge wako kwanza ndio wenye kuamua haya mambo!.
Hoyaa hii Ni Kodi tu ama hela ya kununulia.75m mpaka 85m maana kodi yake imeongezeka hizo fusso zenyewe ni tani 4
Kuna wakati nilimsikia jamaa mmoja mfanyabiashara wa Mbeya akilalamika kwa JPM kwenye kikao cha wafanyabiashara na rais Ikulu kwamba TRA wsnatoza kodi kubwa utadhani nao wamechangia mtaji wa biashara, mpaka Magufuli aliangua kicheko. Hivi inawezekanaje nchi ambayo haitengenezi hata baiskeli kodi ya kuingiza gari iwe sawa na gharama za kununua kodi?? How?? Sometimes tunamlaumu Mwigulu but unaweza kukuta hawa ma think tanks wa TRA ndiyo wanampa huu ushauri. Hivi haiwezekani kukodisha a well known and reputable tax consultant kutoka kokote duniani atusaidie wajameni?!!Hii nchi yetu vitu vingi unaweza kudhani vinafanyika kwa lengo la kutukomoa kabisa
Yaani kuingiza gari hapa kwetu ni kama kufanya anasa kabisa na sio usafiri
Ukiandaa 10M kuagiza kigali basi uandae 10M ya kodi, kama vile hatuna bandari yetu
Tumekuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe
So sad [emoji17] aiseeeeWeka akilini, lengo la TRA ni kuchukua 90%-110% ukiagiza gari hakikisha hela ulio nayo kama balance inafika 110% ya ile uliolipa Japan.
Hiki unachosema yule mnyalukolo wa makanikia (Chris Lukosi) ameshasema mara nyingi mpaka akatuma video clip Facebook kwamba kule Uingereza alipo kwenye yard ya magari ya kuja East Africa magari makali huenda Kenya [emoji1139] na nchi nyingine, yale kuukuu ndiyo huja Bongo..Inasikitisha sana ukiona waganda, wazambia, wacongoman, wanyarwanda, vyuma wanavyosukuma uje ulinganishe na matajiri wenye bandari utacheka tu na kusikitika
Mkuu kwahili ifike mda tubadilike Ina kera mnoo Kuna kamsemo wanasema ukinunua treni Jenga na reli yako"unaweza jiuliza yote haha Yana tokana nann? kunawatu Wana uwezo wa kufanya vitu vikubwa Ila Wana hofia t.r.a NI SEME MKOLONI MWEUPE BADO YUPO KWA SURA YA MKOLONI MWEUSI AU MZALIWANarudia kuandika tena,
Ifikie hatua muwe waelewa huwezi kujifanya una calculator ya kodi kwenye magari ambapo kodi yenyewe unatoza asilimia 80% hadi 100% ya manunuzi hii sio sawa.
Kwa mikodi yenu mikubwa ndio maana hamuwezi mkawa na walipa kodi wengi.
Mkumbuke kodi kubwa inawafanya kuathiri biashara ya mafuta kwa ujumla, biashara ya vipuri.
Hakuna sababu ya kodi asilimia 80 hadi 100 wakati ndani ya nchi hatuna uzalishaji wa magari au viwanda vya magari hakuna na kodi inakua ya kuumiza sio sawa.
Kweli mtanzania anunue gari dola 5000 kodi apigwe dola 4000 hadi 5000 halafu mtakuja na formular zenu za ajabu ajabu aibu sana hii.
Uchumi hauwezi ukakua kwa mtindo huo muelewe magari ni kifaa au chombo kinachorahisisha kuinua uchumi kwa namna moja au nyingine.
* Bandari Kuwepo Tanzania haimsaidii nafuu ya maisha mtanzania, kila bidhaa iko juu viongozi sio wabunifu wapo wapo tu.