Sio kweli shida ni SI A SAWanaotuangusha Ni Wasomi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli shida ni SI A SAWanaotuangusha Ni Wasomi
Tatizo la nchi hii kodi zote wanataka zikajengee matundu ya choo na madarasa na kugharamia ufahari wa viongozi.Mkuu umeongea point tupu lkn kwenye swala barabara nafikiri km kungekua na system nzuri ya ukasanyaji Kodi na Kodi iwe ya Hali sio hii ya kukomoana barabara zingejengwa vzr mbona jiwe alionyesha kuwa kuna uwezekano.TRA kwa kweli Kodi ni pasua kichwa kabisa
Import duty
Excise duty
Excise duty due to age
VAT
Etc etc
Kwa mabilion yanayochezewa wangejikakamua wakajenga express ways hata 4 za inter regions watu wangepita kwa kulipia tolls, mfano DSM-Tunduma ambayo inachukua gari private na baadhi za biashara kama mabasi. Ukiweka 30,000 kwa basi kubwa 20,000 kwa coaster na 10,000 kwa rest of the cars za binafsi kwa siku wangekuwa wanakusanya hela nyingi sana.Mie naweza nikaongea lugha nyingine ya kitalaamu kuwa why Kodi kubwa. Inawezakana serikali Ina discourage private ownership ya vehicles ,why Ina discourage?
Sababu ya barabara aka level of services like A,B,C,D,E and F. Sasa uwezo wa serikali kujenga road Kama ya kiwango Cha LoS A Ni gharama mno yaani mno kwanza hatuna uwezo.
Wakiweks ushuru chini gari zitajazana road mno itapelekea tutakuwa na LoS E or F ambayo utakuwa unasafiri hata km 200 kwa saa nne badala ya mbili ama tatu.
.Kuna namna ya watu husika ama mamlaka ku discourage kila nzi kumiliki gari like kuanzisha toll roads, high parking fees, muda huo huo inatakiwa public transportation iwe nzuri kinyama ndicho inachojitahidi kwa DART sema Naona wanashindwa Mana bado Ni karaha kwa wwsafiri.
Hebu waza gari moja inabeba watu mbili na je hao Mia mbili kila mmoja angekuwa na gari lake huko road kungekuwaje.
Nchi yetu ama zetu unapoambiwa Ni masikini Ni ukweli Mana ukitaka ushuru uwe chini mno hata 20% ya Bei uliyonunulia.
Inatakiwa tuwe mpaka na njia nane ama multi lanes roads, hii road unajua inaweza jengwa kwa Bei gani tutajiuza mpaka sie utumwani ndipo tujenge hii roads Mana madini Kuna watu wanakula perse mpaka vizazi vyao. Labda magufuli angeipokea nchi tokea kwa nyerere akomae na mwendo ule ule nchi iwe na hela na akae madarakani mpaka muda huu yaani zaidi ya miaka 50 ndipo tungeweza Ila kwa Hali hii bwawa linacheleweshwa ili watu wauze gesi zao Mana Wana hisa sio leo tusubirie kwanza.
Na tumeambiwa kuwa kuni na mkaa unaleta mapafu homa sijui Nini tutumie gesi ili kuwanenepesha akaunti zao,yaani we are like fodders to feed their bank accounts for their incoming generation.
Wakati miaka takribani Bilioni na mabilioni binadamu amekuwa alitumia kuni na mkaa.
Ila Sasa huyu kisa kiongozi anajua kuwa tunamuona Kama Mungu ana akili Sana kuliko yeyote. Kuna muda tajiri anawaza kuwa masikini Hana akili kabisa kisa ya yeye kumiliki pesa Ila sio wote lakini yaani Kuna watu wale wenye dharau.
Samahani kwa kuwachanganyia maada jamani tozo zimetuvuruga kinyama yaani huyu maza inabidi nimtumie maza alfu kumi kwa Basi Mana kwa tozo atapokea Kama alfu tano ya kutuma na kutolea.
Mana mchumia tumbo degree 12 Hana uwezo wa kuzalisha vyanzo vya uchumi ama uwekezeji ili akusanye Kodi Bali anacheki Ni wapi pa kukwapua huyu asiwe nacho kabisa.
Kama sio kuwa wanatengeneza tatizo halafu wanalitatua ili watt wamkubali baba na mama kuwa wako nondo I don't know.
Kama walivyoua reli ya Arusha wakaja wakaifufua wakajisifu kwa wananchi kuwa Ni wajanja nipeni mrija nizidi kuwannyonya damu mbakie skeletons...
Am lost
You nailed it,got the same point of viewMie naweza nikaongea lugha nyingine ya kitalaamu kuwa why Kodi kubwa. Inawezakana serikali Ina discourage private ownership ya vehicles ,why Ina discourage?
Sababu ya barabara aka level of services like A,B,C,D,E and F. Sasa uwezo wa serikali kujenga road Kama ya kiwango Cha LoS A Ni gharama mno yaani mno kwanza hatuna uwezo.
Wakiweks ushuru chini gari zitajazana road mno itapelekea tutakuwa na LoS E or F ambayo utakuwa unasafiri hata km 200 kwa saa nne badala ya mbili ama tatu.
.Kuna namna ya watu husika ama mamlaka ku discourage kila nzi kumiliki gari like kuanzisha toll roads, high parking fees, muda huo huo inatakiwa public transportation iwe nzuri kinyama ndicho inachojitahidi kwa DART sema Naona wanashindwa Mana bado Ni karaha kwa wwsafiri.
Hebu waza gari moja inabeba watu mbili na je hao Mia mbili kila mmoja angekuwa na gari lake huko road kungekuwaje.
Nchi yetu ama zetu unapoambiwa Ni masikini Ni ukweli Mana ukitaka ushuru uwe chini mno hata 20% ya Bei uliyonunulia.
Inatakiwa tuwe mpaka na njia nane ama multi lanes roads, hii road unajua inaweza jengwa kwa Bei gani tutajiuza mpaka sie utumwani ndipo tujenge hii roads Mana madini Kuna watu wanakula perse mpaka vizazi vyao. Labda magufuli angeipokea nchi tokea kwa nyerere akomae na mwendo ule ule nchi iwe na hela na akae madarakani mpaka muda huu yaani zaidi ya miaka 50 ndipo tungeweza Ila kwa Hali hii bwawa linacheleweshwa ili watu wauze gesi zao Mana Wana hisa sio leo tusubirie kwanza.
Na tumeambiwa kuwa kuni na mkaa unaleta mapafu homa sijui Nini tutumie gesi ili kuwanenepesha akaunti zao,yaani we are like fodders to feed their bank accounts for their incoming generation.
Wakati miaka takribani Bilioni na mabilioni binadamu amekuwa alitumia kuni na mkaa.
Ila Sasa huyu kisa kiongozi anajua kuwa tunamuona Kama Mungu ana akili Sana kuliko yeyote. Kuna muda tajiri anawaza kuwa masikini Hana akili kabisa kisa ya yeye kumiliki pesa Ila sio wote lakini yaani Kuna watu wale wenye dharau.
Samahani kwa kuwachanganyia maada jamani tozo zimetuvuruga kinyama yaani huyu maza inabidi nimtumie maza alfu kumi kwa Basi Mana kwa tozo atapokea Kama alfu tano ya kutuma na kutolea.
Mana mchumia tumbo degree 12 Hana uwezo wa kuzalisha vyanzo vya uchumi ama uwekezeji ili akusanye Kodi Bali anacheki Ni wapi pa kukwapua huyu asiwe nacho kabisa.
Kama sio kuwa wanatengeneza tatizo halafu wanalitatua ili watt wamkubali baba na mama kuwa wako nondo I don't know.
Kama walivyoua reli ya Arusha wakaja wakaifufua wakajisifu kwa wananchi kuwa Ni wajanja nipeni mrija nizidi kuwannyonya damu mbakie skeletons...
Am lost
Wenzetu wazambia unakuta dereva tuu umempa kazi ila gari anayoendesha wewe unaempa kazi huwezi kumiliki...Kama kodi ni himilivu unadhani kuna wa kuendesha chuma chakavu?
sijui kama hawa jamaa huwa tunawasema kwa haki. ukisoma sheria yao inawataka kusimamia sheria waliopewa,kukusanya na kusifikisha kapu kuu.hawahusiki na kutunga hizo sheria hata kidogo.unakuta mtu anatoka huko ooo wameongeza kodi .hiyo calculator walichokifanya ni kurahisisha tu kitendea kazi kwa kufata sheria nini ninataka.kenya ukiagiza gari zaidi ya miaka mitano mtumba huwezi ingiza huku sisi wameona waweke hiyo ex on age ili kufanya watu washindwe wenyewe. pili hizi rates ni kutokana na makubaliano ya jumuiya ya afrika mashariki kuanzia ushuru wa ushuru wa forodha na ushuru wa bidhaa. shida ninayoiona ni kila mtu atataka kuwa na kodi yake na hapo zamani ndiyo ilikuwa hivo na tulilalamika kwanini A kaleta rav 4 sawa na mimi lakini kodi yake tofauti na yangu ndipo naona walipobudi kikokotoo hicho na kweli kimetufanya tujue tukiagiza kiasi gani tutalipia. na siyo kweli kuwa kodi inaongezeka tu pia kuna wakati pia zinapungua kutokana na aina ya magari yalivyo sokoni. mfano IST ipo sokoni hata kodi yake unaweza ona tofauti na Vitz zile za mwanzo.mkuu mtoa mada tatizo sio TRA..wao wanafata sheria iliyopitishwa na wabunge katika kutoza kodi..mwambie mbunge wako kwanza ndio wenye kuamua haya mambo!.
Wenzetu wazambia unakuta dereva tuu umempa kazi ila gari anayoendesha wewe unaempa kazi huwezi kumiliki...
sijui kama hawa jamaa huwa tunawasema kwa haki. ukisoma sheria yao inawataka kusimamia sheria waliopewa,kukusanya na kusifikisha kapu kuu.hawahusiki na kutunga hizo sheria hata kidogo.unakuta mtu anatoka huko ooo wameongeza kodi .hiyo calculator walichokifanya ni kurahisisha tu kitendea kazi kwa kufata sheria nini ninataka.kenya ukiagiza gari zaidi ya miaka mitano mtumba huwezi ingiza huku sisi wameona waweke hiyo ex on age ili kufanya watu washindwe wenyewe. pili hizi rates ni kutokana na makubaliano ya jumuiya ya afrika mashariki kuanzia ushuru wa ushuru wa forodha na ushuru wa bidhaa. shida ninayoiona ni kila mtu atataka kuwa na kodi yake na hapo zamani ndiyo ilikuwa hivo na tulilalamika kwanini A kaleta rav 4 sawa na mimi lakini kodi yake tofauti na yangu ndipo naona walipobudi kikokotoo hicho na kweli kimetufanya tujue tukiagiza kiasi gani tutalipia. na siyo kweli kuwa kodi inaongezeka tu pia kuna wakati pia zinapungua kutokana na aina ya magari yalivyo sokoni. mfano IST ipo sokoni hata kodi yake unaweza ona tofauti na Vitz zile za mwanzo.
Mhimu kupaza SAUTI juu ya hili la mleta Uzi. Kumiliki gari ifike mahali mtu achague mwenyewe kumiliki au kutomiliki kutokana na kumudu gharama za umiliki na sio kununua. Tatizo pengine tutakosa umoja ikiwa Kuna wengine wanataka wamiliki wao TU...japo hata iwe Bei ya kawaida sio wote wataweza ila atleast Kuna wale wenye uwezo Fulani wataweza tu na hivyo serikali kuongeza mapato kupitia mafuta nk. Kuweka Kodi 80-110 % ya Bei ya gari sio sawa kabisa
Ubunifu kwa viongozi haupo,wanachowaza ni kumbana mwananchi kwa kila sehemu na ndio maana kila siku tozo mpya inaibuka badala ya kuangalia vyanzo vipya.
Mzalendo huyo huyo anatumia gari mln 500,mzalendo huyo huyo anawaminya wengine lkn yeye anaishiWanakariri mambo hadi sasa inakua aibu wakielezwa wanajificha kwenye kivuli cha uzalendo uchwara, wanahubiri uzalendo ambao hata wao hawana