DOKEZO TRA, kodi za kuingiza Magari ni kichefuchefu kwa Wananchi

DOKEZO TRA, kodi za kuingiza Magari ni kichefuchefu kwa Wananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mie naweza nikaongea lugha nyingine ya kitalaamu kuwa why Kodi kubwa. Inawezakana serikali Ina discourage private ownership ya vehicles ,why Ina discourage?
Sababu ya barabara aka level of services like A,B,C,D,E and F. Sasa uwezo wa serikali kujenga road Kama ya kiwango Cha LoS A Ni gharama mno yaani mno kwanza hatuna uwezo.

Wakiweks ushuru chini gari zitajazana road mno itapelekea tutakuwa na LoS E or F ambayo utakuwa unasafiri hata km 200 kwa saa nne badala ya mbili ama tatu.


.Kuna namna ya watu husika ama mamlaka ku discourage kila nzi kumiliki gari like kuanzisha toll roads, high parking fees, muda huo huo inatakiwa public transportation iwe nzuri kinyama ndicho inachojitahidi kwa DART sema Naona wanashindwa Mana bado Ni karaha kwa wwsafiri.
Hebu waza gari moja inabeba watu mbili na je hao Mia mbili kila mmoja angekuwa na gari lake huko road kungekuwaje.



Nchi yetu ama zetu unapoambiwa Ni masikini Ni ukweli Mana ukitaka ushuru uwe chini mno hata 20% ya Bei uliyonunulia.

Inatakiwa tuwe mpaka na njia nane ama multi lanes roads, hii road unajua inaweza jengwa kwa Bei gani tutajiuza mpaka sie utumwani ndipo tujenge hii roads Mana madini Kuna watu wanakula perse mpaka vizazi vyao. Labda magufuli angeipokea nchi tokea kwa nyerere akomae na mwendo ule ule nchi iwe na hela na akae madarakani mpaka muda huu yaani zaidi ya miaka 50 ndipo tungeweza Ila kwa Hali hii bwawa linacheleweshwa ili watu wauze gesi zao Mana Wana hisa sio leo tusubirie kwanza.

Na tumeambiwa kuwa kuni na mkaa unaleta mapafu homa sijui Nini tutumie gesi ili kuwanenepesha akaunti zao,yaani we are like fodders to feed their bank accounts for their incoming generation.

Wakati miaka takribani Bilioni na mabilioni binadamu amekuwa alitumia kuni na mkaa.

Ila Sasa huyu kisa kiongozi anajua kuwa tunamuona Kama Mungu ana akili Sana kuliko yeyote. Kuna muda tajiri anawaza kuwa masikini Hana akili kabisa kisa ya yeye kumiliki pesa Ila sio wote lakini yaani Kuna watu wale wenye dharau.



Samahani kwa kuwachanganyia maada jamani tozo zimetuvuruga kinyama yaani huyu maza inabidi nimtumie maza alfu kumi kwa Basi Mana kwa tozo atapokea Kama alfu tano ya kutuma na kutolea.

Mana mchumia tumbo degree 12 Hana uwezo wa kuzalisha vyanzo vya uchumi ama uwekezeji ili akusanye Kodi Bali anacheki Ni wapi pa kukwapua huyu asiwe nacho kabisa.

Kama sio kuwa wanatengeneza tatizo halafu wanalitatua ili watt wamkubali baba na mama kuwa wako nondo I don't know.
Kama walivyoua reli ya Arusha wakaja wakaifufua wakajisifu kwa wananchi kuwa Ni wajanja nipeni mrija nizidi kuwannyonya damu mbakie skeletons...




Am lost
Mkuu hii hoja kila ninapokutana nayo kwanza lazima nimsikitikie anayeileta kwa kuwa na ufahamu finyu sana na sababu kubwa ya huo ufinyu ni kwamba Tanzania siyo mijini kwenye lami tuu jamani!!! Watanzania hawa tunaosema wako milioni 60 (hatujui sensa itasemaje maybe milioni 70) nearly 90 % wako huko vijijini na wao pia wanahitaji magari, hata kama barabara zao ni za vumbi au changarawe. Achaneni kabisa na hii mentality ya barabara za lami huko mijini kwenye watanzania asilimia 10 jamani, acheni kabisa!!! Sasa hivi nyie watu wa mijini (asilimia 10) na mnaojidai mnamiliki magari kwa sababu huko mijini kuna lami mmeanza kulalamika kweli kweli kwa mazao kupanda bei (mchele 2500, unga 1500,maharage 3000 etc) na kwamba eti mipaka ifungwe ili mkulima asiuze mazao yake kwa bei nzuri. Haya ni maajabu kwa sababu kama una gari unashindwaje kumudu kununua chakula?? Nirudi kwenye hoja ya msingi, acheni watu wa vijijini, ambao ni wakulima, wanunue magari yao kama pick up, Fuso, trekta, guta nk kwa bei nafuu ili waweze kuzalisha mazao mengi na kuwaletea huko mjini kwa bei poa. Hayo magari ya wakulima hayahitaji lami wala nini, na kama mimi ningekuwa kwenye maamuzi basi ningepitisha sheria kwamba magari na mashine kama trekta, pick up, Fuso na nyinginezo ambazo zinachangia uzalishaji shambani vingelipiwa kodi less than 15% ya gharama ya hiyo mashine ili kila mkulima amiliki trekta, powertiler, lori/Fuso, guta, water pump, harrow, planter, spray mashine etc...
 
Tupaze sautu zetu katika hili kwa pamoja.. Together we can.

Kama kila mwana JF akikopi ujumbe huu na kuu-share katika ma-group yake ya WhatsApp, au katika mitandao mingine ya kijamii, naamini basi kelele hizi zitamfikia Bi mkubwa pale Magogoni au Chamwino ikulu.
Sasa tukubaliane, kila siku asubuhi, kabla ya kuchangie uzi wowote tunaanza kuchangia huu kwanza, kama sala ya asubuhi vile, then ndio tunachangia zingine. Haiwezekana kufanywa mataahira wakati tuna akili timamu
 
Tupaze sauti tunaumizwa na tuko kimya hawa tukiwachekea watatuua kabisa
Ni kweli, ona unyama na ukatili wa tozo tunaofanyiwa kwenye miamala ya simu na benki, bado huku tena, hapana aisee, tukiendelea kujikaza watatuuawa hawa, this unbearable, kwenye mafuta ndio unyama kabisa tunafanyiwa
 
Nilishangaa jamaangu mmoja Mzambia aliagiza Scania Horse Truck ya 2016 ilikua 2020 alilipa kodi haikuzidi hata 12 m ya kitanzania hapo Malawi maroli kodi hazizidi 9m ya kitanzania juzi kati niliuliza eti kuagiza fusso tipper inafika 75m mpaka 85m maana kodi yake imeongezeka hizo fusso zenyewe ni tani 4 kwenye kadi tunaacha kuagiza gari za kubeba mizigo za ukweli kisa kodi yaani ni kama tunajifungia fursa nzuri wenyewe...
Tanzania kutokana na bandari kuwepo na mazao matruck mngepunguza kodi ili mpate kodi kwenye mafuta maana bado pana uhitaji mkubwa sana wa kusafirisha bidhaa kwenda Nchi jirani...
Unaona sasa??? This is a very serious problem with our taxing system... Hata siku moja mkulima nchi hii hawezi kumiliki hii mitambo ili aongeze productivity, tutaendelea kusubiri Ukraine, ambao wako vitani for nearly 8 months, watuletee ngano!!! We have a very serious problem, ndiyo maana nikasema kule juuu it's time kupata external tax consultant... Really
 
Unaona sasa??? This is a very serious problem with our taxing system... Hata siku moja mkulima nchi hii hawezi kumiliki hii mitambo ili aongeze productivity, tutaendelea kusubiri Ukraine, ambao wako vitani for nearly 8 months, watuletee ngano!!! We have a very serious problem, ndiyo maana nikasema kule juuu it's time kupata external tax consultant... Really
Watanzania wanaenda kununua magari waliyotumia wazambia na Malawi kwa sababu yaliingia kwa kodi ndogo hata wakiuza yatauzwa kwa bei nafuu na yeye anaagiza lingine anakuachia chakavu ambalo Tanzania litaonekana ni jipya ndio maana tupo busy na Fusso sijui Tandamu ni kwa sababu ya kodi gari tani 4 ila linabeba mzigo mpaka tani 15 harafu tunasema yana matatizo ya breki...wenzetu wapo na International na aina zingine za Truck na kwa ukubwa wake zinatunza vizuri bara bara sisi tumejikita na pick up na kuziita truck kisa kodi kubwa..imefikia Watanzania eti ukimwambia chukua Scania anasita anataka Fusso wakati ni vitu viwili tofauti kabisa..
 
Kwa
Nirudi kwenye hoja ya msingi, acheni watu wa vijijini, ambao ni wakulima, wanunue magari yao kama pick up, Fuso, trekta, guta nk kwa bei nafuu ili waweze kuzalisha mazao mengi na kuwaletea huko mjini kwa bei poa. Hayo magari ya wakulima hayahitaji lami wala nini, na kama mimi ningekuwa kwenye maamuzi basi ningepitisha sheria kwamba magari na mashine kama trekta, pick up, Fuso na nyinginezo ambazo zinachangia uzalishaji shambani vingelipiwa kodi less than 15% ya gharama ya hiyo mashine ili kila mkulima amiliki trekta, powertiler, lori/Fuso, guta, water pump, harrow, planter, spray mashine
Kwa mtizamo huu upo sahihi kiongozi yaani gari za kikazi ziwe na tax ndogo Mana zitakuwa zinafanya kazi na kurahisisha maisha Ila sio private.

Sema huko juu umeongea kwa hisia/beliefs zako so mtu akiwa na beliefs fulani Ni kazi mno kuiondoa na ku adapt nyingine.
Yaani we're hard katika behavior modifications. Mana hujui ukiongeacho hizi Ni fani za watu. Huwa Kuna research inafanyika na sio kuwa watu wanakurupuka. Unajua kuwa Kuna watu huwa wanakesha kihesabu idadi za magari zinazopita sehemu fulani kwa siku Saba za wiki mpaka mwezi mzima ama unaongea tu. Yaani Kuna kitu kinafanyika ili data fulani zipatikane ili ujenzi fulani ufanyike.


Yaani iko ivi bomba la maji haliendi tu sehemu Bali watalaamu wanajua Kuna watu wangapi so wanajua uwezo wa watu kutumia maji Ni muda gani matumizi yanakuwa makubwa ili wapeleke maji hayo yanayowatosheleza mahitaji.
Mtandao wa simu wanajua kuwa uwezo wa wateja wao kutumia signals zao unatosha sometime kunakuwa na traffic kubwa baadaye inakuwa jam or high density.


So hizi za road ziaje ishu Ni umasikini wa pesa,akili na mawazo watu wanawaza watamiliki lini v8 Ila hawakuwazii wewe Tena ujue.


Yaani kila roads zinajulikana uwezo wake ,uzito wake wa mzigo kubeba,uwongi wa gari,hata hizo roads za Kijijini mkizitembelea mno Kuna zile maintenance cost,unaona mvua ikinyesha corrugations,hizo pipe culverts ama box culverts unajua uwezo wake wa kupitisha Ni Tani ngapi.


Sasa Ni hivi vitu vyote vinakuja kwa kupiga hesabu sio Kama hizi tozo jemba anaamka anasema kuwa tukate na hela Benki ninunue hili la 560M nitembelee Mana saivi mie Nina value mno kuliko wa huko kijijini wakati jamaa majuzi tu hapa alikuwa mchunga ng'ombe Basi tu. Tuendeleze tozonia yetu.
 
Kodi kubwa za trucks zimeua biashara kwa sasa wamalawi, zambia, Rwanda, Burundi, plus congo wana malori yao mengi ya mizigo ni mengi na ajira za watanzania kwisha habari yake ushindani hatutouweza kwenye usafiri miaka ijayo michahe ndio maana unaona wajanja wanakua watanzania anaenda kusajili gari zake uganda au zambia au malawi walau akimbizane kiushindani maana bila akili hawa watu unafilisika mapema .
Zama huko sajili kampuni Kama muwekezaji agiza semi zako kibao unawabebea watanzania mizigo yao. Inapigwa chapa ya transit
 
Zama huko sajili kampuni Kama muwekezaji agiza semi zako kibao unawabebea watanzania mizigo yao. Inapigwa chapa ya transit

Mbona watu wanapambana maana mazingira ya biashara Tanzania kwa maneno ya wanasiasa ni mazuri lakini kwa uhalisia mazingira mabovu sana
 
Narudia kuandika tena,
Ifikie hatua muwe waelewa huwezi kujifanya una calculator ya kodi kwenye magari ambapo kodi yenyewe unatoza asilimia 80% hadi 100% ya manunuzi hii sio sawa.

Kwa mikodi yenu mikubwa ndio maana hamuwezi mkawa na walipa kodi wengi.

Mkumbuke kodi kubwa inawafanya kuathiri biashara ya mafuta kwa ujumla, biashara ya vipuri.

Hakuna sababu ya kodi asilimia 80 hadi 100 wakati ndani ya nchi hatuna uzalishaji wa magari au viwanda vya magari hakuna na kodi inakua ya kuumiza sio sawa.

Kweli mtanzania anunue gari dola 5000 kodi apigwe dola 4000 hadi 5000 halafu mtakuja na formular zenu za ajabu ajabu aibu sana hii.

Uchumi hauwezi ukakua kwa mtindo huo muelewe magari ni kifaa au chombo kinachorahisisha kuinua uchumi kwa namna moja au nyingine.
* Bandari Kuwepo Tanzania haimsaidii nafuu ya maisha mtanzania, kila bidhaa iko juu viongozi sio wabunifu wapo wapo tu.
Tatixo kubwa ni CCM chama kinachotutawala . Mwarobaini wa hata yote ni katiba mpya tuu. Wana mawazo mgando na nchi haiendelei. Muarobaini wa haya yote ni katiba mpya
 
Tatixo kubwa ni CCM chama kinachotutawala . Mwarobaini wa hata yote ni katiba mpya tuu. Wana mawazo mgando na nchi haiendelei. Muarobaini wa haya yote ni katiba mpya

Kabisa kabisa
 
Nimeghairi kuleta Gari safari hii ingawa £ imeshuka
Nimeangalia ushuru Tsh 65m
Wakati bei ni £7000 bado usafiri halafu 65 zinasubiriwa
Kwa kweli watuambie tu magari yote yatakuwa yanaletwa na wakala tu tujue moja na waache unafiki wa kuficha ukweli

Hadi hapa ni wengi wanaghairi na ina maana pia wanapoteza mapato mengi kuliko kawaida
 
Kwa

Kwa mtizamo huu upo sahihi kiongozi yaani gari za kikazi ziwe na tax ndogo Mana zitakuwa zinafanya kazi na kurahisisha maisha Ila sio private.

Sema huko juu umeongea kwa hisia/beliefs zako so mtu akiwa na beliefs fulani Ni kazi mno kuiondoa na ku adapt nyingine.
Yaani we're hard katika behavior modifications. Mana hujui ukiongeacho hizi Ni fani za watu. Huwa Kuna research inafanyika na sio kuwa watu wanakurupuka. Unajua kuwa Kuna watu huwa wanakesha kihesabu idadi za magari zinazopita sehemu fulani kwa siku Saba za wiki mpaka mwezi mzima ama unaongea tu. Yaani Kuna kitu kinafanyika ili data fulani zipatikane ili ujenzi fulani ufanyike.


Yaani iko ivi bomba la maji haliendi tu sehemu Bali watalaamu wanajua Kuna watu wangapi so wanajua uwezo wa watu kutumia maji Ni muda gani matumizi yanakuwa makubwa ili wapeleke maji hayo yanayowatosheleza mahitaji.
Mtandao wa simu wanajua kuwa uwezo wa wateja wao kutumia signals zao unatosha sometime kunakuwa na traffic kubwa baadaye inakuwa jam or high density.


So hizi za road ziaje ishu Ni umasikini wa pesa,akili na mawazo watu wanawaza watamiliki lini v8 Ila hawakuwazii wewe Tena ujue.


Yaani kila roads zinajulikana uwezo wake ,uzito wake wa mzigo kubeba,uwongi wa gari,hata hizo roads za Kijijini mkizitembelea mno Kuna zile maintenance cost,unaona mvua ikinyesha corrugations,hizo pipe culverts ama box culverts unajua uwezo wake wa kupitisha Ni Tani ngapi.


Sasa Ni hivi vitu vyote vinakuja kwa kupiga hesabu sio Kama hizi tozo jemba anaamka anasema kuwa tukate na hela Benki ninunue hili la 560M nitembelee Mana saivi mie Nina value mno kuliko wa huko kijijini wakati jamaa majuzi tu hapa alikuwa mchunga ng'ombe Basi tu. Tuendeleze tozonia yetu.

Hawakuzi uchumi wa mwananchi wanadidimiza uchumi haiwezekani guta, trekta, mashine za kupiga mpunga na mahindi navyo vina kodi halafu watasimamisha mashingo yao tunakuza kilimo how? Miaka yote mwanachi akuze kilimo kwa jembe la mkono
 
Narudia kuandika tena,
Ifikie hatua muwe waelewa huwezi kujifanya una calculator ya kodi kwenye magari ambapo kodi yenyewe unatoza asilimia 80% hadi 100% ya manunuzi hii sio sawa.

Kwa mikodi yenu mikubwa ndio maana hamuwezi mkawa na walipa kodi wengi.

Mkumbuke kodi kubwa inawafanya kuathiri biashara ya mafuta kwa ujumla, biashara ya vipuri.

Hakuna sababu ya kodi asilimia 80 hadi 100 wakati ndani ya nchi hatuna uzalishaji wa magari au viwanda vya magari hakuna na kodi inakua ya kuumiza sio sawa.

Kweli mtanzania anunue gari dola 5000 kodi apigwe dola 4000 hadi 5000 halafu mtakuja na formular zenu za ajabu ajabu aibu sana hii.

Uchumi hauwezi ukakua kwa mtindo huo muelewe magari ni kifaa au chombo kinachorahisisha kuinua uchumi kwa namna moja au nyingine.
* Bandari Kuwepo Tanzania haimsaidii nafuu ya maisha mtanzania, kila bidhaa iko juu viongozi sio wabunifu wapo wapo tu.
vile mwigulu na baadhi ya maofisa wa TRA wanamcheka mleta mada.
giphy.gif
 
Narudia kuandika tena,
Ifikie hatua muwe waelewa huwezi kujifanya una calculator ya kodi kwenye magari ambapo kodi yenyewe unatoza asilimia 80% hadi 100% ya manunuzi hii sio sawa.

Kwa mikodi yenu mikubwa ndio maana hamuwezi mkawa na walipa kodi wengi.

Mkumbuke kodi kubwa inawafanya kuathiri biashara ya mafuta kwa ujumla, biashara ya vipuri.

Hakuna sababu ya kodi asilimia 80 hadi 100 wakati ndani ya nchi hatuna uzalishaji wa magari au viwanda vya magari hakuna na kodi inakua ya kuumiza sio sawa.

Kweli mtanzania anunue gari dola 5000 kodi apigwe dola 4000 hadi 5000 halafu mtakuja na formular zenu za ajabu ajabu aibu sana hii.

Uchumi hauwezi ukakua kwa mtindo huo muelewe magari ni kifaa au chombo kinachorahisisha kuinua uchumi kwa namna moja au nyingine.
* Bandari Kuwepo Tanzania haimsaidii nafuu ya maisha mtanzania, kila bidhaa iko juu viongozi sio wabunifu wapo wapo tu.
Lucas mwashambwa njoo hapa. Usipite kimya kimya kama unaaga marehemu....na hili peleka.
Sio kila uchao nyie ni mapambio tu.
Amkeni!
 
Hii nchi yetu vitu vingi unaweza kudhani vinafanyika kwa lengo la kutukomoa kabisa

Yaani kuingiza gari hapa kwetu ni kama kufanya anasa kabisa na sio usafiri

Ukiandaa 10M kuagiza kigali basi uandae 10M ya kodi, kama vile hatuna bandari yetu

Tumekuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe
Bandari yetu imekuwa ya kuwafaidisha warundi, wanyarwanda, wazambia, wacongo na wamalawi sisi ni kutuumiza tu. Ukieleza kuwa kodi inatakiwa iwe chini kama majirani zetu, Mwigulu anajibu kikebehi kabisa kuwa tuhamie nchi hizo jirani
 
Back
Top Bottom