Ha! Nchi hii!!!! Tumeambiwa tuende Burundi tumeng'ang'ania tu kubaki!!!!
 
N LA
Badala ya kubuni vyanzo vya maana wanapambana na wananchi wa mwisna lil
Na lile fala waziri la fedha limeenda mpaka Marekani limeshindwa kujua Ile movie inaingiza Hela kiasi gani huko Amazon,lilienda Dubai expo limeacha ruby Iliyochimbwa tanzania inapigwa mnada lenyewe linaangalia posho ya safari tu,lile limtu Kazi linayoiweza hapa Duniani ukiliambia huyu Mtu mbishi anapinga ccm linakuletea viroba ambayo ukifunikwa tu unajikuta upo mto ruvu.
 
Tujiandae business account zote Whatsapp, Facebook, Instagram etc tutaanza kusajili kwa TIN , plus mitandao ya kijamii kukata Kodi na kuwapa TRA...wale mnaotangaza mitandaoni jiandaeni hapo ongezeko la Kodi pia
 
Badala ya kubuni vyanzo vya maana wanapambana na wananchi wa mwisho
... wakati jiwe lenye thamani ya TZS 250b/- kutoka Tanzania limeonekana Dubai huku serikali ikiwa imelala usingizi wa pono hadi mitandao hiyo hiyo ya kijamii wanayotaka kuifuta ikiwaamsha usingizini! Yanatoroshwa mawe ya aina hiyo mangapi kwa mwaka? Wanyama na nyara nyingine je? Hell of money!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…