Deshbhakt
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 403
- 204
bando unayo nunua ni una uziwa na bwana Mark? au una uziwa na mfanyabiashara mwingine sijui tigo, airtel, voda etc? na una zitumia kwa Mr. Mark pekee?...
samahani mie simfahamu huyu Mark.
Je, hizo makampuni za Selcom, NMB, CRDB, DTB pia wanauza bundles? au?
Youtube: maoni yako ni sahihi.