Ndombe Mubele
JF-Expert Member
- May 19, 2019
- 242
- 529
Awamu Hii zamu ya Wanyonge kuishi Kama Mashetani 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunachotaka ni return za kodi zetu.Round hii hawa achi kitu [emoji38][emoji38][emoji38]
Ultimate consumer ndiye huwa muhanga"Lengo ni kufikia mahali huko mbeleni ili kampuni hiyo ichangie kodi kwa pesa inayopata kutokana na biashara inayofanyika hapa nchini kupitia mitandao, Wananchi hawatakiwi kuwa na hofu yoyote kwasababu hii inahusu biashara inayofanyika na kampuni hiyo katika Nchi mbalimbali.
mimi siku zite najuaga MB ndo pesa yenyw
mr bann: umeongea jambo kubwa sana hili! Tatizo tushakuwa wachangishwaji wa pesa na viongozi ili wao wakatumie!Ishu sio kutozwa kodi ishu kodi zetu zinaenda wapi na zinafanya nini tumechoka kupigwa
Si ipo siku nyingi tu hiyo ndo Road Licence na siku hizi hata wanaotumia jenereta wanailipa?bado kodi ya kutumia barabara
Kwani katika nchi zingine META hawatozwi kodi?Badala ya kubuni vyanzo vya maana wanapambana na wananchi wa mwisho
Nchi gani si utaje?Kwani katika nchi zingine META hawatozwi kodi?
Ila inatujenga sana , huko mbele hatutadanganyika kirahisi.Mitumbo mikubwaa akili hamna hapo wanafikiri jinsi ya kutukamua mpaka mavi wazee hawa Mama utatuua jomoniiii
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hauko sahihi.Iko hivi: Ukinunua bando unamlipa voda au tigo. Tigo anawalipa jamaa hao kwa kukuunganisha wewe ili upate huduma zao! Kiasi tigo/voda anavyowalipa inategemea umekaa muda gani kwenye mtandao wao na umetumia MB ngapi.
Hayo mahesabu yameandaliwa na pesa inagawika automatically! Kwa hiyo kila unapotumia mtandao jamaa wanaingiza pesa. Kwa kuwa waqtumiaji wa mtandao ni wengi sana, jamaa wanaingiza mamilioni kwa saa tu.
Kwa kuwa wanapata faida hapa nchini kwetu inabidi walipe kodi. Nchi iliyoanza kuwabana ni Australia na walilalamika sana lakini mwisho wa siku walikubali kulipa. Nchi nyingi zikafuatia kuwatoza!!