Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera mother unaupiga mwingi sana. Kazi iendelee, kodi tutalipa tutake tusitake... Au tukazikwe naye?TRA leo wamafanya mazungumzo na wawakikishi wa Mitandao hiyo ya kijamii kuona namna Mitandao hiyo inaweza kulipa kodi kutokana na hiduma wanazotumia wananchi...
Watasema ni magufuri,kaanzisha maana sasahivi kila baya lilianza wakati wa MagufuriTRA leo wamafanya mazungumzo na wawakikishi wa Mitandao hiyo ya kijamii kuona namna Mitandao hiyo inaweza kulipa kodi kutokana na hiduma wanazotumia wananchi...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kodi ipi tena jamani wakati wanamsaidia mama kuifungua nchi
Kufungua uchi
Tukomae tu Mkuu. 😂Bahati mbaya ahera hakuendeki.
Hahahaa. Tutakuwa hatuendi mbele sasa Baba Mchungaji.Watoze tu hata pumzi..😎
Kama ni mawasiliano, tutarudi kwenye S.L.P....🤨
Kaa hapa hapa dunianiBahati mbaya ahera hakuendeki.
bado kodi ya kutumia barabaraTRA leo wamafanya mazungumzo na wawakikishi wa Mitandao hiyo ya kijamii kuona namna Mitandao hiyo inaweza kulipa kodi kutokana na hiduma wanazotumia wananchi...
Mitumbo mikubwaa akili hamna hapo wanafikiri jinsi ya kutukamua mpaka mavi wazee hawa Mama utatuua jomoniiiiBenjamin Netanyahu:
Kuna mambo yanafikirisha sana mkuu. Hawa watu wanalipwa pesa nyingi hawana ubunifu wowote/hawana suluhisho la muda mrefu.
mimi siku zite najuaga MB ndo pesa yenywHeheeheh swali lako limenifurahisha sana.
Mkuu internet haiingizi chochote wewe unapotumia data,,, Yaaani kama hivi tunavotumia JF hakuna hela yoyote Maxence Melo anapata kwa sisi kutumia hizi Mbs...
[emoji23][emoji23]Sasa Lita moja ya kifurushi tshs 5000/=