TRA Kuanza Kuzitoza Kodi, Facebook, Instagram na Whatsapp
TRA leo wamafanya mazungumzo na wawakikishi wa Mitandao hiyo ya kijamii kuona namna Mitandao hiyo inaweza kulipa kodi kutokana na hiduma wanazotumia wananchi.

=====

DARESSALAAM: Timu ya Wataalam wa Kampuni ya meta inayomiliki mitandao ya @facebookapp instagram pamoja na Whatsapp leo 21 Aprili, 2022 imefanya mazungumzo ya awali na TRA kuhusu namna ya kutoza kodi katika huduma zao nchini. Mazungumzo hayo yamefanyika jijini Dar es Salaam.
View attachment 2195427View attachment 2195428View attachment 2195429View attachment 2195430
Ha! Nchi hii!!!! Tumeambiwa tuende Burundi tumeng'ang'ania tu kubaki!!!!
 
N LA
Badala ya kubuni vyanzo vya maana wanapambana na wananchi wa mwisna lil
Na lile fala waziri la fedha limeenda mpaka Marekani limeshindwa kujua Ile movie inaingiza Hela kiasi gani huko Amazon,lilienda Dubai expo limeacha ruby Iliyochimbwa tanzania inapigwa mnada lenyewe linaangalia posho ya safari tu,lile limtu Kazi linayoiweza hapa Duniani ukiliambia huyu Mtu mbishi anapinga ccm linakuletea viroba ambayo ukifunikwa tu unajikuta upo mto ruvu.
 
Tujiandae business account zote Whatsapp, Facebook, Instagram etc tutaanza kusajili kwa TIN , plus mitandao ya kijamii kukata Kodi na kuwapa TRA...wale mnaotangaza mitandaoni jiandaeni hapo ongezeko la Kodi pia
 
Badala ya kubuni vyanzo vya maana wanapambana na wananchi wa mwisho
... wakati jiwe lenye thamani ya TZS 250b/- kutoka Tanzania limeonekana Dubai huku serikali ikiwa imelala usingizi wa pono hadi mitandao hiyo hiyo ya kijamii wanayotaka kuifuta ikiwaamsha usingizini! Yanatoroshwa mawe ya aina hiyo mangapi kwa mwaka? Wanyama na nyara nyingine je? Hell of money!
 
Back
Top Bottom