Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Nimeona leo TRA wamekuwa wafhamini wa ndondo cup.. watasema sijui wanataka kujitangaza?
TRA wanafanya biashara gani? Pesa za walipa kodi ndio wanatumia kwa upuuzi huu?
Sijasema ndondo cup ki upuuzi lakini Mil 40 zinajenga zahanati 1 kijijini?
Kazi ya TRA ni moja tuu, kukusanya mapato na kuyapeleka hazina .
TRA wanafanya biashara gani? Pesa za walipa kodi ndio wanatumia kwa upuuzi huu?
Sijasema ndondo cup ki upuuzi lakini Mil 40 zinajenga zahanati 1 kijijini?
Kazi ya TRA ni moja tuu, kukusanya mapato na kuyapeleka hazina .