Anatumika anapata % zake na na wazee wanapata % zao mambo ya kimjinimjiniShafii Dauda ni kama anajua kwenda sambamba na wakubwa
Mbona hatuoni digital content za TRA, wakihikiza tulipe kodi, hapa kuna upigajiJIFUNZE:
TRA ina kitengo cha elimu kwa umma na kina bajeti yake, ndio maana huwa unasikia matangazo yao kwenye vyomba vya habari (Inawezekana ulidhani wanatangaza bureπππ) au pengine hulipi kodi na hujawahi kukutana na tangazo la TRA so sikulaumu. Kutoka kitengo hicho TRA wanatumia mbinu kadhaa kufikia wananchi ikiwemo hii ya kwudhamini michezo ikiwemo NDONDO Cup,
Tena MILIONI 40 ni pesa ndogo sana
Karibu kwa maswali zaidi
hayo ni makusanyo ya kijana mmoja hapo kwa miezi miwili yanayoishia mfukoni mwakeNimeona leo TRA wamekuwa wafhamini wa ndondo cup.. watasema sijui wanataka kujitangaza?
TRA wanafanya biashara gani? Pesa za walipa kodi ndio wanatumia kwa upuuzi huu?
Sijasema ndondo cup ki upuuzi lakini Mil 40 zinajenga zahanati 1 kijijini?
Kazi ya TRA ni moja tuu, kukusanya mapato na kuyapeleka hazina .
Walipanga bajeti mapema kwa ajili ya kujumuika na jamii/kuileta karibu,kutoa elimu ya kulipa kodi,kuiburuidisha jamii,kukuza michezo na kuirudishia jamii kile wakiingizacho/fedha kutokana na walipakodi.Nimeona leo TRA wamekuwa wafhamini wa ndondo cup.. watasema sijui wanataka kujitangaza?
TRA wanafanya biashara gani? Pesa za walipa kodi ndio wanatumia kwa upuuzi huu?
Sijasema ndondo cup ki upuuzi lakini Mil 40 zinajenga zahanati 1 kijijini?
Kazi ya TRA ni moja tuu, kukusanya mapato na kuyapeleka hazina .
Wakati wanamiliki Timu ya Bandari pesa walikuwa wanatoa wapi?Nimeona leo TRA wamekuwa wafhamini wa ndondo cup.. watasema sijui wanataka kujitangaza?
TRA wanafanya biashara gani? Pesa za walipa kodi ndio wanatumia kwa upuuzi huu?
Sijasema ndondo cup ki upuuzi lakini Mil 40 zinajenga zahanati 1 kijijini?
Kazi ya TRA ni moja tuu, kukusanya mapato na kuyapeleka hazina .
Muelimishe.Usimuulize maswali kama mgambo feki.Wakati wanamiliki Timu ya Bandari pesa walikuwa wanatoa wapi?
KMC wanatoa wapi pesa? Mbeya City Je?